Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Huyu comedian simuelewagi ila katika hili yupo sahihi, ukivunja sheria huna haki tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sure aiseeHe's a criminal so far!
Two wrongs don't make one right
Baada ya kusikia matamshi ya huyu kichaa makamu wa Rais alijibu nini kwenye hotuba yake? Au ndio kama wasemavyo wahenga kuwa “ Ndege wafananao huruka pamoja!”Huyu mtu kweli kichwani bado Yuko mzima???
Mtu kuugua kichaa siyo lazima mpaka avae chupi kichwani, wakati mwingine matendo au maneno yake tu ni uthibitisho tosha kuwa mtu fulani anaugua kichaa.
Huyu comedian simuelewagi ila katika hili yupo sahihi, ukivunja sheria huna haki tena
Are you out of mind?Huyu comedian simuelewagi ila katika hili yupo sahihi, ukivunja sheria huna haki tena
Kuna mda ili mambo yaende inabidi iwe hivoAisee
Hiyo kauli tu ilitakiwa atenguliwe huo ukuu wa mkoa..Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Mhe. Albert Chalamila amesema vitendo vya wizi wa mafuta ya transfoma katika mkoa wa Dar es salaam vilikirthiri, hivyo ili kukomesha vitendo hivyo waliamua kuwa yeyote atakayekamatwa anafanya vitendo hivyo atanyweshwa mafuta ya transfoma na mpaka sasa hakuna wizi wa transfoma Dar es Salaam
RC Chalamila amesema hayo katika ufunguzi wa kongamano la 10 la Jotoardhi linalooendelea katika ukumbi wa mikutano wa JNICC, jijini Dar es salaam, lililofunguliwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango leo Oktoba 23, 2024.
View attachment 3133318
Pia Soma
Mkuu wa Mkoa Chalamila: Wezi wa mafuta ya transfoma wanyeshwe mafuta yake
Mkuu wa mkoa wa dar es salaam ataka wezi wa mafuta ya transfoma wanyeshwe mafuga yake hadi wafe. --- Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amesema kuwa wizi wa transfoma' za umeme unafanywa na vijana ambao wanafahamu kazi zake, kwani hakuna anayeweza kuziiba akiwa hajui namna ya...www.jamiiforums.com
Eb toa porojo zako hapa yaan uibe transfoma watu wakose huduma ukidakwa useme Kuna haki za binadamu?Are you out of mind?
Sidhani kama una utulivu kichwani mwako, I'm not sure.
Hata Watuhumiwa ambao tayari wamehukumiwa kunyongwa hadi kufa na ambao bado wanaendelea kusubiri utekelezaji wa adhabu zao nao pia bado Wana haki zote kabisa za binadamu.
Hata Mkataba wa Kimataifa kuhusu Haki za Binadamu unatamka wazi kwamba:-
"Every prisoner must be fed."
Na wao SI walikuwa wanaiba ili wakanywea?Hamuoni kuwa mlijichukulia sheria mkononi kunywesha wezi hao mafuta hayo kinyume na sheria?
Haki yako ni hukumu ya kitaaHuyu comedian simuelewagi ila katika hili yupo sahihi, ukivunja sheria huna haki tena
Haki yako ni hukumuHuyu comedian simuelewagi ila katika hili yupo sahihi, ukivunja sheria huna haki tena
kama ni mwizi anauwawa tu?Hiyo kauli tu ilitakiwa atenguliwe huo ukuu wa mkoa..
Ikiwa unaweza kumnywesha mtu mafuta ya transformer basi hawezi kushindwa kuuwa mtu kwa aina nyingine ya mateso pia.
Kuna mda ili mambo yaende inabidi iwe hivo
Kusingiziwa ni rare kwenye matukio kama hayo.Hamna kateleza huyo
Nchi bado haina mifumo sahihi ya kutoa haki
Hata kipindi cha panya road waliua watu wengi ambao hawakuwa wezi wa vibaka
So hagujawa na vyombo thabiti vya kuotafuta haki
Unaweza kusingiziwa na ukauliwa kizembe.
Kama ulivyoona kifo cha Mandojo