RC Chalamila: Tulidhibiti Wizi wa Transfoma kwa kuwanywesha Wezi Mafuta ya Transfoma

RC Chalamila: Tulidhibiti Wizi wa Transfoma kwa kuwanywesha Wezi Mafuta ya Transfoma

Ukiona hadi Mwenyekiti wa Kamati ya Usalama ya Mkoa anafanya vitu vya aibu Kwa kiwango hichi, je wale MaRPC na Wasiojulikana watafanya nini??

Utasema hajui Mahakama zipo Kwa kazi gani, kama yeye mwenyewe RC anaamua kuua Wezi Kwa style hiyo 🙌
 
Huyu mtu kweli kichwani bado Yuko mzima???
Mtu kuugua kichaa siyo lazima mpaka avae chupi kichwani, wakati mwingine matendo au maneno yake tu ni uthibitisho tosha kuwa mtu fulani anaugua kichaa.
Baada ya kusikia matamshi ya huyu kichaa makamu wa Rais alijibu nini kwenye hotuba yake? Au ndio kama wasemavyo wahenga kuwa “ Ndege wafananao huruka pamoja!”
 
Huyu comedian simuelewagi ila katika hili yupo sahihi, ukivunja sheria huna haki tena
Are you out of mind?

Sidhani kama una utulivu kichwani mwako, I'm not sure.

Hata Watuhumiwa ambao tayari wamehukumiwa kunyongwa hadi kufa na ambao bado wanaendelea kusubiri utekelezaji wa adhabu zao nao pia bado Wana haki zote kabisa za binadamu.

Hata Mkataba wa Kimataifa kuhusu Haki za Binadamu unatamka wazi kwamba:-
"Every prisoner must be fed."
 
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Mhe. Albert Chalamila amesema vitendo vya wizi wa mafuta ya transfoma katika mkoa wa Dar es salaam vilikirthiri, hivyo ili kukomesha vitendo hivyo waliamua kuwa yeyote atakayekamatwa anafanya vitendo hivyo atanyweshwa mafuta ya transfoma na mpaka sasa hakuna wizi wa transfoma Dar es Salaam

RC Chalamila amesema hayo katika ufunguzi wa kongamano la 10 la Jotoardhi linalooendelea katika ukumbi wa mikutano wa JNICC, jijini Dar es salaam, lililofunguliwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango leo Oktoba 23, 2024.
View attachment 3133318

Pia Soma

Hiyo kauli tu ilitakiwa atenguliwe huo ukuu wa mkoa..
Ikiwa unaweza kumnywesha mtu mafuta ya transformer basi hawezi kushindwa kuuwa mtu kwa aina nyingine ya mateso pia.
 
Are you out of mind?

Sidhani kama una utulivu kichwani mwako, I'm not sure.

Hata Watuhumiwa ambao tayari wamehukumiwa kunyongwa hadi kufa na ambao bado wanaendelea kusubiri utekelezaji wa adhabu zao nao pia bado Wana haki zote kabisa za binadamu.

Hata Mkataba wa Kimataifa kuhusu Haki za Binadamu unatamka wazi kwamba:-
"Every prisoner must be fed."
Eb toa porojo zako hapa yaan uibe transfoma watu wakose huduma ukidakwa useme Kuna haki za binadamu?
 
Kuna mda ili mambo yaende inabidi iwe hivo

Hamna kateleza huyo

Nchi bado haina mifumo sahihi ya kutoa haki


Hata kipindi cha panya road waliua watu wengi ambao hawakuwa wezi wa vibaka

So hagujawa na vyombo thabiti vya kuotafuta haki

Unaweza kusingiziwa na ukauliwa kizembe.

Kama ulivyoona kifo cha Mandojo
 
Huo msemo wa huo mwandishi aliyesema "tulimuua mungu ili tuwe mungu sisi" unahisianaje na hayo anayoelezea hapo ya mafuta ya transfoma??
 
Hamna kateleza huyo

Nchi bado haina mifumo sahihi ya kutoa haki


Hata kipindi cha panya road waliua watu wengi ambao hawakuwa wezi wa vibaka

So hagujawa na vyombo thabiti vya kuotafuta haki

Unaweza kusingiziwa na ukauliwa kizembe.

Kama ulivyoona kifo cha Mandojo
Kusingiziwa ni rare kwenye matukio kama hayo.
Kwenye suala la panya road kama walioshughulikiwa hawakua wahusika kwanini yale matukio yaliisha?
 
Back
Top Bottom