Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Alifanya kosa, kosa la pili ni kuropoka siri. Lakini naelewa kwa nini walideal na hao wapuuzi kwa njia hiyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Damu za watu waliodhulumiwa uhai wao huwa zina kawaida ya kunena.Kiongozi wa ngazi yake anahitaji hekima,si yote yaliyotendeka yatamkwe hadharani.
Wezi wa mafuta ya transformers utawajuwa tu.Yaani nimesikitika sana, kwa kauli yake hii alipaswa kabla hajaridisha Mic awe amesha tumbuliwa...☹️
Anahamasisha na kuhalalisha wananchi kujichukulia sheria mkononi, hatari sana hii.Yaani kiongozi anakosa hekima anakuwa kama mhuni wa mtaani tu.
Hao wezi wanaowakamata wanatakiwa kufikishwa mahakamani ndipo maamuzi ya kisheria na haki yalipo.
Ni sawa na kuwaambia watu wa Dar es salaam kuwa watuhumiwa wa wizi wauawe bila hata kufikishwa mahakamani.
"Injustice somewhere is the threat to justice everywhere."Wezi wa mafuta ya transformers utawajuwa tu.
Huyu mzee! Hii si jinai🤣Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Mhe. Albert Chalamila amesema vitendo vya wizi wa mafuta ya transfoma katika mkoa wa Dar es salaam vilikirthiri, hivyo ili kukomesha vitendo hivyo waliamua kuwa yeyote atakayekamatwa anafanya vitendo hivyo atanyweshwa mafuta ya transfoma na mpaka sasa hakuna wizi wa transfoma Dar es Salaam
RC Chalamila amesema hayo katika ufunguzi wa kongamano la 10 la Jotoardhi linalooendelea katika ukumbi wa mikutano wa JNICC, jijini Dar es salaam, lililofunguliwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango leo Oktoba 23, 2024.
View attachment 3133318
Pia Soma
Mkuu wa Mkoa Chalamila: Wezi wa mafuta ya transfoma wanyeshwe mafuta yake
Mkuu wa mkoa wa dar es salaam ataka wezi wa mafuta ya transfoma wanyeshwe mafuga yake hadi wafe. --- Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amesema kuwa wizi wa transfoma' za umeme unafanywa na vijana ambao wanafahamu kazi zake, kwani hakuna anayeweza kuziiba akiwa hajui namna ya...www.jamiiforums.com
Walienda kuiba kwa sheria gani? Wamelikoroga walinywe.Hamuoni kuwa mlijichukulia sheria mkononi kunywesha wezi hao mafuta hayo kinyume na sheria?