Volatility
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 3,935
- 7,513
Kwani sasa chini yake CCM inaendeshwaje?LOoo, naona umempa ushauri wa ajabu huu.
Hicho chama kitakuwa kinaendeshwa na jeshi/polisi na vyombo vyote vya dola au sio?
Mbali ya hapo, kitakuwa ni chama cha kushangaza sana!
waambie ccm hayomuacheni apige kazi
Hivyo hivyo nilivyoeleza.Kwani sasa chini yake CCM inaendeshwaje?
Point, afufue hata hiki.Kile chama cha CCJ hakiwezi fufuliwa?
Mpigie simu mwambie 0754-777777Wewe ndio wewe haujaribiwi, kama hawa CCM wanaona wewe si kitu si chochote huku wanajua chama chenyewe bila nguvu za ikulu ni kama mlenda wapige chini.
Tumia mamlaka yako kama ambavyo umeishajua namna unavyoweza kuyatumia bila wasiwasi, anzisha chama chako.
Alafu tuone nguvu zao ni nini?
Katiba sio msahafu,ukiwa na dola ndio katiba yenyewe.Magufuli ruling party zidumu fikra za mwenyekiti.Wakati unaandika hivi umesoma Katiba?
Ndio maana nasema aachane nao alafu tuone nani atakuwa anamuita mshamba huko ccm.Hivyo hivyo nilivyoeleza.
Kwani leo CCM inaungwa mkono na nani? wewe unadhani ccm iko madarakani sababu inaungwa mkono na wananchi?Thubutuuuuu aanzishe aone ataungwa mkono na hao hao jamaa zake wa wapi sijui....
Kwani leo CCM inaungwa mkono na nani? wewe unadhani ccm iko madarakani sababu inaungwa mkono na wananchi?
Kwa vile atawakandamiza kwa kutumia 'vifaa' vyake au sio?Ndio maana nasema aachane nao alafu tuone nani atakuwa anamuita mshamba huko ccm.
Hapo CCM ndio inaisha ndugu yangu, hata leo hii magufuri akiamua kuwaachilia TAKUKURU waingie CCM, alafu kesho yake awaachilie TRA nao waende, CCM inakufa.Kwa vile atawakandamiza kwa kutumia 'vifaa' vyake au sio?
Aiiiseeee!Hapo CCM ndio inaisha ndugu yangu, hata leo hii magufuri akiamua kuwaachilia TAKUKURU waingie CCM, alafu kesho yake awaachilie TRA nao waende, CCM inakufa.
inasemaje mkuu.Wakati unaandika hivi umesoma Katiba?
Hunaga hoja nyingine zaidi ya hii ya surprise.Mmeona kumung'oa Urais 2020 ni ngumu sasa mumekuja na ngojera nyingine. Subirini awape surprise mtarudi mlikotoka.
Naamiini Ikifikia hapo hata Mkapa ataongea hadharani. Halafu hicho Chama kinaweza kuungwa Mkono na sehemu tu TISS, Policcm na Wanachato. Mtu gani na kila aliyeko mbele yake zaidi ya Nyamitako na kampuni yake.Wewe ndio wewe haujaribiwi, kama hawa CCM wanaona wewe si kitu si chochote huku wanajua chama chenyewe bila nguvu za ikulu ni kama mlenda wapige chini.
Tumia mamlaka yako kama ambavyo umeishajua namna unavyoweza kuyatumia bila wasiwasi, anzisha chama chako.
Alafu tuone nguvu zao ni nini?
Hicho ni cha Nape.Kile chama cha CCJ hakiwezi fufuliwa?