Ili kuleta usawa kwa vyama vyote Tz, Wenyeviti wa vyama vyote wawe na ukomo sio Mkiti wa chama miaka nenda rudi ni yeye tu. Kamuchezo ka design hii kako sana kule Vyama vya upinzani ndo mana na wenzenu wanatamani wakacheze.
Hiyo haijatokea bahati mbaya haya yanapangwa taratibu taratibu kuna siku agenda itafikishwa bungeni na spika Ndugai atasikika akisema "waliosema Magufuli atawale milele wameshinda" ndo mtalia na kusaga meno
RAIS MAGUFULI,ANASTAHILI PONGEZI.
Lokote, inabidi wajue hakuna asiyetaka uongozi kama Mwanadamu. Hapa inaonekana tu ni vibaya kwa Mkiti akiwa yuko madarakani lakini huko Vyama vinavyosubiri kuchukua madaraka, kama Mwenyekiti wake kila uchaguzi ni yeye tu unafikiri siku akibahatika kuwa Rais wa nchi utamulazimisha sasa ndo aanze kuacha kutamani madaraka? haiwezekani lazima Wenyeviti wote wa vyama vyote vya siasa wajifunze mapema kuachiana madaraka. Labda Tume yenyewe sasa iingilie katiba za vyama vyote ili hata kama unapendwa kiasi gani lazima kuwe na ukomo. Mzungu anasema "Practice makes perfect"Hili nalo ni tatizo.
yaani sisi maCCM tuna mambo ya kitoto na kishamba mno!!Nimeisikia hii kupitia ITV huko mkoani Mbeya wilayani Kyela.
Ngoja niitafakari kidogo hii kauli ya RC Chalamila....... Nijiridhishe alichomaanisha.
Maendeleo hayana vyama!
ALICHOJIBU RAIS:
Rais Magufuli amesema mkuu wa mkoa Albert Chalamila anatamani tuwe na mfumo wa chama kimoja lakini yeye (Dr Magufuli) matamanio yake ni kuwa na mfumo wa vyama vingi lakini CCM iendelee kupata ushindi.
Rais Magufuli Magufuli anasema katika hilo anatofautiana na Mkuu wa Mkoa na kwa maana hiyo kila mmoja wao abakie na msimamo wake.
Hongera Rais Magufuli kwa kulitolea ufafanuzi wa haraka sana swala hili!
====================
Habari zaidi kutoka kwa Mdau mwingine
Katika ziara ya Raisi inayofanyika leo hapa Kyela, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila amesikika akisema "Natamani kuwe na Chama kimoja Magufuli Ruling Party".
Akifafanua kauli hiyo Mkuu wa mkoa amesema "Kila mwezi unatusaidia kuwalipa watumishi 2471 wanao lipwa zaidi ya bil.1, pesa ambazo wewe mh. raisi Magufuli unazileta katika mji wa Kyela.
Ninacho shangaa unapokuta tunaendeleza malumbano katika mazuri hayo unayoyafanya, ambayo hatuna mahali popote pakuyalinganisha. Sioni sababu ya kua na mfumo wa vyama vingi Kyela zaidi ya kua na chama kimoja kinachoitwa "Magufuli Ruling party katika mazuri"
Akijibu hoja hiyo mh: raisi amesema "Mkuu wa mkoa anatamani kuwa na chama kimoja, lakini mimi natamani kuwe na vyama vingi sana vitakavyoleta ushindani lakini siku zote Ccm ndio iwe inashinda kwasababu ni kwa mujibu wa katiba yetu".
Unatumia komoni ya mama nani?.Mwalimu wa kiswahili huyo, bingwa wa kuchomekea maneno. wanambeya wanamkubali sana huyo mwamba wa lugha, hapo kawaacha CHADEMA , ACT, na wengine kuitafakari kauli hiyo bila majibu
Hili nalo takataka tu kujikomba kama jike!Nimeisikia hii kupitia ITV huko mkoani Mbeya wilayani Kyela.
Ngoja niitafakari kidogo hii kauli ya RC Chalamila....... Nijiridhishe alichomaanisha.
Maendeleo hayana vyama!
ALICHOJIBU RAIS:
Rais Magufuli amesema mkuu wa mkoa Albert Chalamila anatamani tuwe na mfumo wa chama kimoja lakini yeye (Dr Magufuli) matamanio yake ni kuwa na mfumo wa vyama vingi lakini CCM iendelee kupata ushindi.
Rais Magufuli Magufuli anasema katika hilo anatofautiana na Mkuu wa Mkoa na kwa maana hiyo kila mmoja wao abakie na msimamo wake.
Hongera Rais Magufuli kwa kulitolea ufafanuzi wa haraka sana swala hili!
====================
Habari zaidi kutoka kwa Mdau mwingine
Katika ziara ya Raisi inayofanyika leo hapa Kyela, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila amesikika akisema "Natamani kuwe na Chama kimoja Magufuli Ruling Party".
Akifafanua kauli hiyo Mkuu wa mkoa amesema "Kila mwezi unatusaidia kuwalipa watumishi 2471 wanao lipwa zaidi ya bil.1, pesa ambazo wewe mh. raisi Magufuli unazileta katika mji wa Kyela.
Ninacho shangaa unapokuta tunaendeleza malumbano katika mazuri hayo unayoyafanya, ambayo hatuna mahali popote pakuyalinganisha. Sioni sababu ya kua na mfumo wa vyama vingi Kyela zaidi ya kua na chama kimoja kinachoitwa "Magufuli Ruling party katika mazuri"
Akijibu hoja hiyo mh: raisi amesema "Mkuu wa mkoa anatamani kuwa na chama kimoja, lakini mimi natamani kuwe na vyama vingi sana vitakavyoleta ushindani lakini siku zote Ccm ndio iwe inashinda kwasababu ni kwa mujibu wa katiba yetu".
Amemtolea nje kwa vipi? Lisu 38, Azory, Ben coco beach and many more yanafanyika kufanikisha nini?. Never trust Jiwe at all. Huyu ni dikiteita, never trust a dictator!Rais Magufuli kamtolea nje live!
Bila kusahau pia ccm ipigwe chini kibaki magufuli ruling partyMwalimu wa kiswahili huyo, bingwa wa kuchomekea maneno. wanambeya wanamkubali sana huyo mwamba wa lugha, hapo kawaacha CHADEMA , ACT, na wengine kuitafakari kauli hiyo bila majibu
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Kuna watu wanajua kujikomba jamani.[emoji23]
Ni nani amekuambia wanamkubali? Tena umesema sana,umewapima wapi? Sema wewe unamkubaliMwalimu wa kiswahili huyo, bingwa wa kuchomekea maneno. wanambeya wanamkubali sana huyo mwamba wa lugha, hapo kawaacha CHADEMA , ACT, na wengine kuitafakari kauli hiyo bila majibu
KAMWACHA MAGU AMBAYE AMXEMA VYAMA VIGI VIPO KIKATIBA AU WEWE KAKUACHA TULIA KIJANAMwalimu wa kiswahili huyo, bingwa wa kuchomekea maneno. wanambeya wanamkubali sana huyo mwamba wa lugha, hapo kawaacha CHADEMA , ACT, na wengine kuitafakari kauli hiyo bila majibu
Ndio maana yake!Bila kusahau pia ccm ipigwe chini kibaki magufuli ruling party