Lisemwalo lipo na kama halipo basi laja. Nadhani huu ni mkakati uliopangwa vyema tu kwamba; Hebu ropokeni kila mahali; Bungeni yupo Kibajaji &Co, nje yupo Ng'wanri na Chalamila & Co. Huku mtu akikataa kataa kumbe anaimezea mate hiyo siku ije mtakapokosea muandike katiba mpya kuwa; Tuwe na chama kipya kimoja tu MRP ambacho kitaua vyama vingine vyote hadi ccm ili kuonesha kuwa; Hatuna upendeleo. Nawasilisha