RC Chalamila: Tunaweza kuwa na ‘Magufuli Ruling Party’ na mambo yakaenda vizuri kabisa

RC Chalamila: Tunaweza kuwa na ‘Magufuli Ruling Party’ na mambo yakaenda vizuri kabisa

Toka aambiwe aache kutamanitamani ovyo wake za watu naona akili bado hazijarudi.
Mpaka leo hajamtumbua tu? Maana Makosa yake Ni haya hapa:
1:Utovu wa nidhamu Kwa Rais_Alisema analipwa pesa nyingi kiasi cha kuweza kuwa Na mchepuko
2: Udhalilishaji dhidi ya wanawake _Alisema wakati mwingine ana mtamani DC huku akijua Ni mke wa mtu
3:Tamaa_Kitendo cha kuashiria kutamani wasaidizi wake wa chini,mfano DC
4:Utani usiozingatia mipaka_Kujitoa ufahamu Na kaonyesha udhaifu wake wa kimapenzi Bila kujali rais Ni mtu mkubwa sana Na muhimu,yuko kazini akisikiliza kero za watu
5:Uchanganishi-Kitendo cha kusema kuwe Na chama kimoja cha Magufuli Ruling party Ni dalili za uchochezi
6:Hana akiba ya maneno Kwa kuzingatia muktadha uliopo
 
Matendo ya jiwe yanathibitisha hiyo kauli ya mkuu wa mkoa, yaani sio tena serikali ya ccm aka gambas ni ya mafufuli, jiwe party.
 
Chalamila ni mjinga kabisa ccm ikishajifia zamani 2015 Magufuli aliibeba amegeuka kuwa na serikali ya wauaji majambazi mafisadi wakubwa magufuli ruling party mawe labda owe chato
 
Nimeisikia hii kupitia ITV huko mkoani Mbeya wilayani Kyela.

Ngoja niitafakari kidogo hii kauli ya RC Chalamila....... Nijiridhishe alichomaanisha.

Maendeleo hayana vyama!

ALICHOJIBU RAIS:

Rais Magufuli amesema mkuu wa mkoa Albert Chalamila anatamani tuwe na mfumo wa chama kimoja lakini yeye (Dr Magufuli) matamanio yake ni kuwa na mfumo wa vyama vingi lakini CCM iendelee kupata ushindi.

Rais Magufuli Magufuli anasema katika hilo anatofautiana na Mkuu wa Mkoa na kwa maana hiyo kila mmoja wao abakie na msimamo wake.

Hongera Rais Magufuli kwa kulitolea ufafanuzi wa haraka sana swala hili!

====================

Habari zaidi kutoka kwa Mdau mwingine

Katika ziara ya Raisi inayofanyika leo hapa Kyela, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila amesikika akisema "Natamani kuwe na Chama kimoja Magufuli Ruling Party".

Akifafanua kauli hiyo Mkuu wa mkoa amesema "Kila mwezi unatusaidia kuwalipa watumishi 2471 wanao lipwa zaidi ya bil.1, pesa ambazo wewe mh. raisi Magufuli unazileta katika mji wa Kyela.

Ninacho shangaa unapokuta tunaendeleza malumbano katika mazuri hayo unayoyafanya, ambayo hatuna mahali popote pakuyalinganisha. Sioni sababu ya kua na mfumo wa vyama vingi Kyela zaidi ya kua na chama kimoja kinachoitwa "Magufuli Ruling party katika mazuri"

Akijibu hoja hiyo mh: raisi amesema "Mkuu wa mkoa anatamani kuwa na chama kimoja, lakini mimi natamani kuwe na vyama vingi sana vitakavyoleta ushindani lakini siku zote Ccm ndio iwe inashinda kwasababu ni kwa mujibu wa katiba yetu".
Huyu hata rais akimwambia ale mavi atakula.
Ni mvuta bangi huyo akisindikizwa na sifa ya kijinga ya kula bangi kama mboga
 
qqqqqqqqqqqqq
Mpaka leo hajamtumbua tu? Maana Makosa yake Ni haya hapa:
1:Utovu wa nidhamu Kwa Rais_Alisema analipwa pesa nyingi kiasi cha kuweza kuwa Na mchepuko
2: Udhalilishaji dhidi ya wanawake _Alisema wakati mwingine ana mtamani DC huku akijua Ni mke wa mtu
3:Tamaa_Kitendo cha kuashiria kutamani wasaidizi wake wa chini,mfano DC
4:Utani usiozingatia mipaka_Kujitoa ufahamu Na kaonyesha udhaifu wake wa kimapenzi Bila kujali rais Ni mtu mkubwa sana Na muhimu,yuko kazini akisikiliza kero za watu
5:Uchanganishi-Kitendo cha kusema kuwe Na chama kimoja cha Magufuli Ruling party Ni dalili za uchochezi
6:Hana akiba ya maneno Kwa kuzingatia muktadha uliopo
Labda wanatuzuga hawa kumbe lao moja.
 
Nimeisikia hii kupitia ITV huko mkoani Mbeya wilayani Kyela.

Ngoja niitafakari kidogo hii kauli ya RC Chalamila....... Nijiridhishe alichomaanisha.

Maendeleo hayana vyama!

ALICHOJIBU RAIS:

Rais Magufuli amesema mkuu wa mkoa Albert Chalamila anatamani tuwe na mfumo wa chama kimoja lakini yeye (Dr Magufuli) matamanio yake ni kuwa na mfumo wa vyama vingi lakini CCM iendelee kupata ushindi.

Rais Magufuli Magufuli anasema katika hilo anatofautiana na Mkuu wa Mkoa na kwa maana hiyo kila mmoja wao abakie na msimamo wake.

Hongera Rais Magufuli kwa kulitolea ufafanuzi wa haraka sana swala hili!

====================

Habari zaidi kutoka kwa Mdau mwingine

Katika ziara ya Raisi inayofanyika leo hapa Kyela, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila amesikika akisema "Natamani kuwe na Chama kimoja Magufuli Ruling Party".

Akifafanua kauli hiyo Mkuu wa mkoa amesema "Kila mwezi unatusaidia kuwalipa watumishi 2471 wanao lipwa zaidi ya bil.1, pesa ambazo wewe mh. raisi Magufuli unazileta katika mji wa Kyela.

Ninacho shangaa unapokuta tunaendeleza malumbano katika mazuri hayo unayoyafanya, ambayo hatuna mahali popote pakuyalinganisha. Sioni sababu ya kua na mfumo wa vyama vingi Kyela zaidi ya kua na chama kimoja kinachoitwa "Magufuli Ruling party katika mazuri"

Akijibu hoja hiyo mh: raisi amesema "Mkuu wa mkoa anatamani kuwa na chama kimoja, lakini mimi natamani kuwe na vyama vingi sana vitakavyoleta ushindani lakini siku zote Ccm ndio iwe inashinda kwasababu ni kwa mujibu wa katiba yetu".
Kapumbafu sana haka ka RC
 
As if zamani walikua hawalipwi mishahara, au as if mbeya haikuwahi kuwa na RC.

Haya mawazo mfu ya ccm yanaiua nchi na wao wataonekana mazezeta
Katika ziara ya Raisi inayofanyika leo hapa Kyela, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila amesikika akisema "Natamani kuwe na Chama kimoja Magufuli Ruling Party".

Akifafanua kauli hiyo Mkuu wa mkoa amesema "Kila mwezi unatusaidia kuwalipa watumishi 2471 wanao lipwa zaidi ya bil.1, pesa ambazo wewe mh. raisi Magufuli unazileta katika mji wa Kyela.

Ninacho shangaa unapokuta tunaendeleza malumbano katika mazuri hayo unayoyafanya, ambayo hatuna mahali popote pakuyalinganisha. Sioni sababu ya kua na mfumo wa vyama vingi Kyela zaidi ya kua na chama kimoja kinachoitwa "Magufuli Ruling party katika mazuri"

Akijibu hoja hiyo mh: raisi amesema "Mkuu wa mkoa anatamani kuwa na chama kimoja, lakini mimi natamani kuwe na vyama vingi sana vitakavyoleta ushindani lakini siku zote Ccm ndio iwe inashinda kwasababu ni kwa mujibu wa katiba yetu".

MY TAKE: viongozi wa Ccm acheni kujipendejeza hamumsaidii raisi wala nchi mnaharibu dhana zima ya uzalendo.
 
Bado sina imani kama anakanusha serious.

Kama mwenyekiti wa Chama na mkuu wa nchi angekuwa tayari amekemea haya mambo juu ya subordinates wake.

Mambo mengi tu anakemea na hayazungumzwi tena.

Ila hili la utawala wa milele analikanusha kwa Kibaji, Chalamila analileta. Kuna jinsi hapa.

Itaenda hivi mwisho wa siku utasikia anasema basi wananchi wameamua niendelee japo nilikuwa sitaki, kama anavyosemaga alisukumiwa urais ata hili atasema alisukumiwa.
Nitamtwanda na AK 47 yangu niliyoitunza kwa muda sasa
 
Njaa mbaya sana, unaweza sema usilo tarajia..
 
Hajamtolea nje wala nini bali anawazuga mabwege. Rais katunga sheria ya vyama vya siasa ili hayo matamshi ya mkuu wa mkoa yatimie vizuri.
Wee, kwanza alimwambia aache vitamaatamaa va hovyo, pili akamwambia hakubaliani na mawazo potofu ya kuunda chama cha kiukoo cha makufuli ruling party, tatu atamtumbua, au atatengua uteuzi wake kwasababu kamvunjia heshima sana.
 
Jamaa anajipendekeza mpaka anapitiliza hata CCM inayompa chakula anataka ifutwe ije MRP hatari halafu katibu mkuu wa CCM kaa kimya tu huku mwanachama wake anaongea pumba hadharani kweli kuelekea 2020 tutaona mengi.
 
Jamaa anajipendekeza mpaka anapitiliza hata CCM inayompa chakula anataka ifutwe ije MRP hatari halafu katibu mkuu wa CCM kaa kimya tu huku mwanachama wake anaongea pumba hadharani kweli kuelekea 2020 tutaona mengi.
Dr Bashiru atakuwa amenuna sana!
 
Back
Top Bottom