RC Chalamila: Tunaweza kuwa na ‘Magufuli Ruling Party’ na mambo yakaenda vizuri kabisa

RC Chalamila: Tunaweza kuwa na ‘Magufuli Ruling Party’ na mambo yakaenda vizuri kabisa

Wewe ndio wewe haujaribiwi, kama hawa CCM wanaona wewe si kitu si chochote huku wanajua chama chenyewe bila nguvu za ikulu ni kama mlenda wapige chini.
Tumia mamlaka yako kama ambavyo umeishajua namna unavyoweza kuyatumia bila wasiwasi, anzisha chama chako.
Alafu tuone nguvu zao ni nini?
Nadhani hii haijakaa vizuri kikatiba,maana chama ndicho kinachotoa Rais,sasa akihama chama,nau-rais nao itabidi auteme,na hakuna sababu yeyote ya msingi.

The best option ni kutumia mamlaka yake kama Rais na Mwenyekiti wa chama.Awafukuze kwenye chama,na kama ikionekana ni threat kubwa wasukumwe ndani for an uspecified period mpaka itakaponekana kwamba they are no longer a threat.Tukiwachekea hawa jamaa tutakula mabua,ni watu hatari sana kwa ustawi wa taifa letu.Action is required immediately.
 
Wewe ndio wewe haujaribiwi, kama hawa CCM wanaona wewe si kitu si chochote huku wanajua chama chenyewe bila nguvu za ikulu ni kama mlenda wapige chini.
Tumia mamlaka yako kama ambavyo umeishajua namna unavyoweza kuyatumia bila wasiwasi, anzisha chama chako.
Alafu tuone nguvu zao ni nini?
Mkuu kwani sasa hivi CCM ipo tena? Ngoja niishie hapa.
 
HAWAMTAKI CHUMA KWASABABU ANAZUIA MIANYA YA UPIGAJI.

Viva wizi viva returns
 
Wewe ndio wewe haujaribiwi, kama hawa CCM wanaona wewe si kitu si chochote huku wanajua chama chenyewe bila nguvu za ikulu ni kama mlenda wapige chini.
Tumia mamlaka yako kama ambavyo umeishajua namna unavyoweza kuyatumia bila wasiwasi, anzisha chama chako.
Alafu tuone nguvu zao ni nini?
Eti bwana chama chenyewe kimesimama kwa nguvu ya Siro, kipilimba na Mabeyo tu. Hawa wote ni watu wako Rais Magufuli.
 
Tunaanza kumwelewa sasa alichosema Ndugai anabaki kongwa kwa kz nzuri akiyofanya washakunaku wa siasa vpdamu changa korofi yote inaondoka wanabaki wale watakao sema You Must love your leaders kwa sauti ya IDDI AMIN DADA
 
Nimeisikia hii kupitia ITV huko mkoani Mbeya wilayani Kyela.

Ngoja niitafakari kidogo hii kauli ya RC Chalamila....... Nijiridhishe alichomaanisha.

Maendeleo hayana vyama!

ALICHOJIBU RAIS:

Rais Magufuli amesema mkuu wa mkoa Albert Chalamila anatamani tuwe na mfumo wa chama kimoja lakini yeye (Dr Magufuli) matamanio yake ni kuwa na mfumo wa vyama vingi lakini CCM iendelee kupata ushindi.

Rais Magufuli Magufuli anasema katika hilo anatofautiana na Mkuu wa Mkoa na kwa maana hiyo kila mmoja wao abakie na msimamo wake.

Hongera Rais Magufuli kwa kulitolea ufafanuzi wa haraka sana swala hili!

====================

Habari zaidi kutoka kwa Mdau mwingine

Katika ziara ya Raisi inayofanyika leo hapa Kyela, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila amesikika akisema "Natamani kuwe na Chama kimoja Magufuli Ruling Party".

Akifafanua kauli hiyo Mkuu wa mkoa amesema "Kila mwezi unatusaidia kuwalipa watumishi 2471 wanao lipwa zaidi ya bil.1, pesa ambazo wewe mh. raisi Magufuli unazileta katika mji wa Kyela.

Ninacho shangaa unapokuta tunaendeleza malumbano katika mazuri hayo unayoyafanya, ambayo hatuna mahali popote pakuyalinganisha. Sioni sababu ya kua na mfumo wa vyama vingi Kyela zaidi ya kua na chama kimoja kinachoitwa "Magufuli Ruling party katika mazuri"

Akijibu hoja hiyo mh: raisi amesema "Mkuu wa mkoa anatamani kuwa na chama kimoja, lakini mimi natamani kuwe na vyama vingi sana vitakavyoleta ushindani lakini siku zote Ccm ndio iwe inashinda kwasababu ni kwa mujibu wa katiba yetu".
mijitu ya kusini inakuwa mishamba namna hii, tena lijamaa sijui ni dokta, mbona haijifunzi kwa wachagga n?
yani hata kumtawaza mtu linaweza tawaza mradi tu ni lijinga.
jitu zima lishamba
 
Nimeisikia hii kupitia ITV huko mkoani Mbeya wilayani Kyela.

Ngoja niitafakari kidogo hii kauli ya RC Chalamila....... Nijiridhishe alichomaanisha.

Maendeleo hayana vyama!

ALICHOJIBU RAIS:

Rais Magufuli amesema mkuu wa mkoa Albert Chalamila anatamani tuwe na mfumo wa chama kimoja lakini yeye (Dr Magufuli) matamanio yake ni kuwa na mfumo wa vyama vingi lakini CCM iendelee kupata ushindi.

Rais Magufuli Magufuli anasema katika hilo anatofautiana na Mkuu wa Mkoa na kwa maana hiyo kila mmoja wao abakie na msimamo wake.

Hongera Rais Magufuli kwa kulitolea ufafanuzi wa haraka sana swala hili!

====================

Habari zaidi kutoka kwa Mdau mwingine

Katika ziara ya Raisi inayofanyika leo hapa Kyela, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila amesikika akisema "Natamani kuwe na Chama kimoja Magufuli Ruling Party".

Akifafanua kauli hiyo Mkuu wa mkoa amesema "Kila mwezi unatusaidia kuwalipa watumishi 2471 wanao lipwa zaidi ya bil.1, pesa ambazo wewe mh. raisi Magufuli unazileta katika mji wa Kyela.

Ninacho shangaa unapokuta tunaendeleza malumbano katika mazuri hayo unayoyafanya, ambayo hatuna mahali popote pakuyalinganisha. Sioni sababu ya kua na mfumo wa vyama vingi Kyela zaidi ya kua na chama kimoja kinachoitwa "Magufuli Ruling party katika mazuri"

Akijibu hoja hiyo mh: raisi amesema "Mkuu wa mkoa anatamani kuwa na chama kimoja, lakini mimi natamani kuwe na vyama vingi sana vitakavyoleta ushindani lakini siku zote Ccm ndio iwe inashinda kwasababu ni kwa mujibu wa katiba yetu".
Huyu pimbi hatimaye amemwagwa leo na rais Samia Suluhu Hassan. sintomsahau kwa hii kauli chafua aliyoitoa Mbeya mwaka 2019 alisema "Natamani kuwe na Chama kimoja Magufuli Ruling Party".
 
Mwalimu wa kiswahili huyo, bingwa wa kuchomekea maneno. wanambeya wanamkubali sana huyo mwamba wa lugha, hapo kawaacha CHADEMA , ACT, na wengine kuitafakari kauli hiyo bila majibu
KARLO MWILAPWA ulimtetea huyu hayawani kwa uropokaji wake ukaona ni bingwa wa Kiswahili. Leo ametemeshwa kibarua. Je unasemaje?
 
Back
Top Bottom