Doctizo Mtengwa
JF-Expert Member
- Feb 16, 2019
- 828
- 1,513
Hujui wafugaji walivo wasumbufu na waharibifu wewe
Cariha"
Usumbu wa mfugaji na mkulima na ufahamu ,
Ila kwenye swala la kutoa ahadi za vitisho kwa wahusika ili tu wahame ,
Tena vitisho, Silaha za Moto kwa wafugaji , wenye mikuki?
Hii inadhihirisha
Kiongozi hana kauli ya kushawishi watu, kutawala
Ikiwa tu kwa busara atashindwa kungumzma mazungumzo ya amani dhidi ya wafugaji ...
Kiasi kutumia nguvu?
Vip? Kuhusu majambazi yenya Silaha za Moto yakakidhiri
Si atapigasimu[ UN]?