RC Chalamila: Wanaume wengi wa Mkoani Mbeya wanapenda kulelewa

RC Chalamila: Wanaume wengi wa Mkoani Mbeya wanapenda kulelewa

Mkuu wa mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila, amesema kuwa asilimia kubwa ya wanawake wa mkoa wa Mbeya, wameachiwa jukumu la kuendesha familia zao huku wanaume wakiongoza kufanya vitendo vya dhuluma dhidi ya mali zinazotafutwa na wake zao.

Chalamila ameyasema hayo wakati akifunga kongamano la sita la jinsia ngazi ya wilaya, ambalo limefanyika katika Halmashauri ya wilaya ya Mbeya.

RC Chalamila amesema kuwa wanawake wengi mkoani humo, ndiyo wanaobeba majukumu ya kutunza na kulea familia, ambapo hufanya shughuli mbalimbali za ujasiriamali ikiwemo kuuza mboga na matunda, wakati wanaume wakitumia mwanya huo kuwafanyia vitendo vya ukatili wa kijinsia ikiwa ni pamoja na kunyang'anya fedha wanazopata kwenye biashara na kwenda kuhonga michepuko.

"Idadi kubwa ya wanaume mkoani Mbeya, wanapenda kulelewa hawapendi kujishughulisha, wanawategemea wanawake kulisha familia na kufanya kila kitu, mbaya zaidi huwashinikiza wake zao kuomba mkopo kwa kutumia account zao ili wadhulumu hizo hela, nawaambia wanawake msikubali kutumika kama ndoa yako ina shida ondoka kaanzishe maisha mengine", amesema RC Chalamila.

EATV
Amechemka kukaa mbeya huyu na shida yake kubwa ukiona anatamka haya ujue siku hiyo chupa iliamka ba Chai.
 
Mkuu wa mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila, amesema kuwa asilimia kubwa ya wanawake wa mkoa wa Mbeya, wameachiwa jukumu la kuendesha familia zao huku wanaume wakiongoza kufanya vitendo vya dhuluma dhidi ya mali zinazotafutwa na wake zao.

Chalamila ameyasema hayo wakati akifunga kongamano la sita la jinsia ngazi ya wilaya, ambalo limefanyika katika Halmashauri ya wilaya ya Mbeya.

RC Chalamila amesema kuwa wanawake wengi mkoani humo, ndiyo wanaobeba majukumu ya kutunza na kulea familia, ambapo hufanya shughuli mbalimbali za ujasiriamali ikiwemo kuuza mboga na matunda, wakati wanaume wakitumia mwanya huo kuwafanyia vitendo vya ukatili wa kijinsia ikiwa ni pamoja na kunyang'anya fedha wanazopata kwenye biashara na kwenda kuhonga michepuko.

"Idadi kubwa ya wanaume mkoani Mbeya, wanapenda kulelewa hawapendi kujishughulisha, wanawategemea wanawake kulisha familia na kufanya kila kitu, mbaya zaidi huwashinikiza wake zao kuomba mkopo kwa kutumia account zao ili wadhulumu hizo hela, nawaambia wanawake msikubali kutumika kama ndoa yako ina shida ondoka kaanzishe maisha mengine", amesema RC Chalamila.

EATV
Hajafika kwa wagogo huyo

Mbona wanyakyusa wanapambana sana
 
Sisi wanaume wa kinyakyusa kiutamaduni wa zamani ni waheshimiwa nyumbani kwaio malafyale anapokua nyumbani anatakiwa kupewa taarifa ya chochote kinachoendelea na kutolea maaumuzi
Kwa dunia hii ya kuchanganya tamaduni na kutojua tamaduni za watu toka zamani ndio hapo watu wanapokuja kusema wanaume wa mbeya wanalelewa especially kwa kabila langu unakuta wanawake wenyewe wanao jua hizo tamaduni hata kununua vitu vya nyumbani wananunua wenyewe yani usiposhtuka unaweza kukuta hata nyumba bibie ashakujengea anakwambia mume wangu tuhamie
Kwaio tamaduni mala nyingi haziwezi kufa
Kuhusu unyanyasaji wa kijinsia wakuu wanawake wa mbeya ndio maana Mungu kawapa miili jumba mzee wana nguvu wale watu huwezi mpiga yani mtapigana
Kwaio mpuuzi huyu apuuzwe haraka dunia nzima mapenzi hayahamuliwagi mahakamani ni chumbani tena na watu wa wili

Wanaume wa mbeya ndio kawaida yao kutuchafua .
 
Kamanda umeandika pumba na upumbavu,hii ni uthibitisho makamanda wengi hamna akili, mnatuaibisha sana tunaojitambua.
Wewe ndo mpumbafu yaani unachopinga ni nini hasa au huyu kakosea wapi. Mbeya siyo pwani wanaume tuna miradi yetu maarifa na kazi zetu wapi na wapi mambo ya kulelewa.

Tena unajiona unaijua Chadema huna lolote kabisa.
 
wanaume wa Mbeya mbona mnacheka cheka na huyu . Wakina Mwasakafyuka, Mwambipile, Mwasomola kweli mnalelewa nyie?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbeya tuna mashamba na mazao ya kudumu kama migomba lakini pia nchi inategemea ndizi, viazi,karoti, parachichi, mbao, maharage toka mbeya na kila siku tunasafirisha tani nyingi ina maana vyote hivyo vinalimwa na wanawake.

Ifike hatua ujinga wa mtu mmoja usitumike kutuhukumu wote. Atuombe radhi.
 
Pale Rungwe na Uyole mepita nkakuta kina mama wengi wamebeba watoto mgongoni huku wakiuza matunda na mazao mbali mbali ya mashambani. Nkashangaa, kuuliza wakaniambia vijana/wanaume wako nyumbani wakisubiri kipato cha mama.
 
Wanaume wamikoani mnatuangusha yaani sisi majemedari wa DSM tunapambana alafu nyie mna lelewa hadi viongozi wenu wanachukia hii ni aibu kubwa sana yaani ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
[emoji23][emoji23][emoji23] kumbe mnajuana eee, yeye alisha acha kulelewa sasa anawambia wenzie waache kulelewa
Hakuna mwanambogamboga asiyelelewa.
Chama chenyewe kinalelewa na vyombo vya dola,ndio utegemee wafuasi wake wasilelewe!!??
 
Pale Rungwe na Uyole mepita nkakuta kina mama wengi wamebeba watoto mgongoni huku wakiuza matunda na mazao mbali mbali ya mashambani. Nkashangaa, kuuliza wakaniambia vijana/wanaume wako nyumbani wakisubiri kipato cha mama.
Acha uongo wewe
 
yeye mbona analelewa na mwanaume mwenzake, Magufuri anamlea sana huyo kijana, huyo kijana aache kujidhalilisha akumbuke ni kheri mume anayelelewa na mkewe kuliko yeye anayelelewa na Dr Magu (mwanaume mwenzake). Mbeya wote watafutaji..ukiona mzee hajishuhulishi wamepokezana majukumu kwa muda..aache kiherehere atuachie mbeya yetu arudi iringa kwao. Wanawake wa Mbeya pigeni kazi acheni kusikiliza maneno ya kwenye kanga na maneno ya kitaarabu taraabu
Point
 
Mkuu wa mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila, amesema kuwa asilimia kubwa ya wanawake wa mkoa wa Mbeya, wameachiwa jukumu la kuendesha familia zao huku wanaume wakiongoza kufanya vitendo vya dhuluma dhidi ya mali zinazotafutwa na wake zao.

Chalamila ameyasema hayo wakati akifunga kongamano la sita la jinsia ngazi ya wilaya, ambalo limefanyika katika Halmashauri ya wilaya ya Mbeya.

RC Chalamila amesema kuwa wanawake wengi mkoani humo, ndiyo wanaobeba majukumu ya kutunza na kulea familia, ambapo hufanya shughuli mbalimbali za ujasiriamali ikiwemo kuuza mboga na matunda, wakati wanaume wakitumia mwanya huo kuwafanyia vitendo vya ukatili wa kijinsia ikiwa ni pamoja na kunyang'anya fedha wanazopata kwenye biashara na kwenda kuhonga michepuko.

"Idadi kubwa ya wanaume mkoani Mbeya, wanapenda kulelewa hawapendi kujishughulisha, wanawategemea wanawake kulisha familia na kufanya kila kitu, mbaya zaidi huwashinikiza wake zao kuomba mkopo kwa kutumia account zao ili wadhulumu hizo hela, nawaambia wanawake msikubali kutumika kama ndoa yako ina shida ondoka kaanzishe maisha mengine", amesema RC Chalamila.

EATV
Wanaume wa Mbeya bwana si Wanyakyusa si Wasafwa....yaani wavivu mno, wao wanafikiri kulewa na kulawitiana migombani pamoja na kurogana ndiyo maisha.
 
Nafasi za uongozi za kuteuliwa (na sasa za ubunge,udiwani na urais) ni kulelewa kama kulelewa kwingine.
Yeye kwa kuwa ni "me" aliyepo Mbeya,basi naye ni wa kulelewa.
Huyu dogo asitake tutoe mambo yake ya kulelewa kule Moro enzi hizo,tena na mama muuza ndizi.
Huwa najiuliza hivi hawa watu bila kuwa na hivyo vyeo wangeweza kutoboa kama mengi(rip), moe, nk japo wapo waliopata ubunge kutokana na pesa wanazomiliki kama kishimba,Jah people, Sauli nk, lakini wengi wanategemea hizo nafasi siku wakitolewa huwa wanapotea jumla huhuwasikii tena kuvuma ktk nyanja za kiabiashara, michezo, nk kwa nini? Chalamila akitolewa kwenye hicho cheo hutamsikia tena labda ndugu zake tu ndio watamfahamu.
 
Hakuna mwanambogamboga asiyelelewa.
Chama chenyewe kinalelewa na vyombo vya dola,ndio utegemee wafuasi wake wasilelewe!!??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ngoja zitafutwe mbeleko tu za chuma
 
Wanaume wa Mbeya bwana si Wanyakyusa si Wasafwa....yaani wavivu mno, wao wanafikiri kulewa na kulawitiana migombani pamoja na kurogana ndiyo maisha.
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
 
Mbona mapovu sana kisu kimegusa mfupa nini!!?
 
Sisi wanaume wa kinyakyusa kiutamaduni wa zamani ni waheshimiwa nyumbani kwaio malafyale anapokua nyumbani anatakiwa kupewa taarifa ya chochote kinachoendelea na kutolea maaumuzi
Kwa dunia hii ya kuchanganya tamaduni na kutojua tamaduni za watu toka zamani ndio hapo watu wanapokuja kusema wanaume wa mbeya wanalelewa especially kwa kabila langu unakuta wanawake wenyewe wanao jua hizo tamaduni hata kununua vitu vya nyumbani wananunua wenyewe yani usiposhtuka unaweza kukuta hata nyumba bibie ashakujengea anakwambia mume wangu tuhamie
Kwaio tamaduni mala nyingi haziwezi kufa
Kuhusu unyanyasaji wa kijinsia wakuu wanawake wa mbeya ndio maana Mungu kawapa miili jumba mzee wana nguvu wale watu huwezi mpiga yani mtapigana
Kwaio mpuuzi huyu apuuzwe haraka dunia nzima mapenzi hayahamuliwagi mahakamani ni chumbani tena na watu wa wili

Wanaume wa mbeya ndio kawaida yao kutuchafua .
[emoji23][emoji23] kwahiyo ukicheza unakula mkono haa haa kweli wananguvu wale wamama, kazi wanazofanya zinawapa stamina
 
[emoji23][emoji23] kwahiyo ukicheza unakula mkono haa haa kweli wananguvu wale wamama, kazi wanazofanya zinawapa stamina
Yan ni noma mimi sinamuona maza yangu ashatwanga watu mtaani kama wawili hivi ...vijana walitaka kumendea binamu zangu mwaka jana likizo walikuja wakiwa form 6 now wanaingia chuo batch hii
 
Back
Top Bottom