RC Chalamila: Wanaume wengi wa Mkoani Mbeya wanapenda kulelewa

Yan ni noma mimi sinamuona maza yangu ashatwanga watu mtaani kama wawili hivi ...vijana walitaka kumendea binamu zangu mwaka jana likizo walikuja wakiwa form 6 now wanaingia chuo batch hii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwahiyo Mzee hapo hutikisa mguu tu haaa haa
 
Umeona eeh! Huyu jamaa ni mshenzi mshenzi tu
 
Ni vizuri. mchepuko si ni mwanamke pia km mke mtu? Anastahili matunzo ubaya uko wapi? Ange honga me kweli ni mbaya!

Familia zote Duniani zinalishwa na kiumbe mama. Kinyume na hapo me utachekesha.

Falsafa ya wanyama/ndege ni mfano bora
Jogoo analea vifaranga?
Tangu lini Nyau dume analea vitoto paka?
Hapa Duniani. Ukiwa mjinga utahangaika sana wamama mkibweteka mkamsikiliza wanasiasa km Dc Fake mtahangaika sana.wakati yeye Dc analishwa na mke anaongea. Kilimbwatalimbwata huyu
 
Acha kumlisha mumeo alishwe na house girl.
Kupanulia mapaja jiko unalopikia chakula cha mumeo, kupumulia chakula kutoka jasho upikapo ni mwili wako unaingia humo.

ni dawa tosha ya kuunda mshikamano Na familia yako ikiwa ni pamoja na mume,ukisikia chakula kitamu hiki ni majasho ya house girl ndo matamu.

kuonja chumvi kwenye mboga ufanye ivo miaka 10 mume amesha kula tani za majasho yako za kutosha.
Ukiacha? house girl anamlisha hayo yote. mate na majasho yake wanakuwa mwili mmoja.
akimpenda ooh!wanaume hawa ni ma mbwa!
 
Wanaume wa mikaoni ndiyo zao...



Cc: mahondaw
Siyo Mbeya mkuu, wale kwa asilimia kubwa wanajituma sana, si wanawake si wanaume. Inawezekana wakawepo wachache wenye hulka hiyo haswa huko maporini, lakini kwa picha ya jumla, ni watu wa kazi kweli kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…