Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
RC Chongolo amejulishwa kuwa Wilaya hiyo ina wastani wa Asilimia 84 ya Watoto walioenda shule wakati wa ziara ya kukagua miradi ya maendeleo na kuzungumza na Wananchi Wilaya ya Mbozi Mkoani Songwe.
Amewataka Wazazi na Walezi kupeleka Watoto Shule na kuacha kuwatumikisha kwenye mashamba.
Pia soma:
~ Wanafunzi Wilaya ya Mbozi (Songwe) wanalimishwa kwenye mashamba binafsi ya Walimu
~ RC Chongolo: Mkoa wetu una shida ya Ubakaji, Ulawiti na mauaji