Huna tofauti na yule aliejitetea kashindwa kutayarisha bajeti kinzani kisa hana wafanyakazi,hiyo ruzuku mnayoletewa mnalipa watu wa kutukana mitandaoniNi kweli kabisa CCM ina uwezo wa kumuita mtu yeyote kwenye kikao. Tatizo, Mrisho Gambo sio CCM, ni mwana CCM!
Lema hana jimbo mkuu!Wanalitaka jimbo LA Lema
Lakini wenye akili wameelewa namaanisha niniLema hana jimbo mkuu!
Tupo pamojaPicha ya kuvimba baada ya kichapo plzzz
Ukisikia mbwa kala mbwa ndo hiyo we baki unajiuliza mwenzio ndo hivyo anauguza minundu,ndo maana Leo sijamuona ofisini kwake.Fake news; RC anayelindwa na bunduki 7.kama sio zaidi unaanzaanza vipi mpaka umshambulie kimwili kwa ngumi, teke au kichwa?! Leta picha hapa tukuelewe vinginevyo wewe ni mchochezi na sheria iko wazi!
Hahah hii habari bila picha hainogi, bila shaka huyo RC amechezea ndoo moja matata sana iliomvujisha fasta.Picha ya kuvimba baada ya kichapo plzzz
Ngumi huleta heshima weweJamani kupigana hadharani ni jinai, tunajifuza nini kwa hawa viongozi kuvimbishana pua?
Bro unashabikia fake news!Ukisikia mbwa kala mbwa ndo hiyo we baki unajiuliza mwenzio ndo hivyo anauguza minundu,ndo maana Leo sijamuona ofisini kwake.
Hahahah atakuwa alikutana na mfuweni wa hatari af unajua ukipigwa header ya ghafla ata hamu ya ngumi inakata mzee unabaki kushika pua na mdomo uliopasuka.Mrisho Rambo hukulusha mateke kama Rambo na komando kipensi ,kweli kifo cha nyani baunsa huzima taa
Kama fake news basi nadhani ni utabiri mzuri tui maana si unajua tena lisemwalo so ni dua njema tu wala usijali ila km ni kweli heshima kwa Katibu naziwasilisha kwa bashasha kabisa.Bro unashabikia fake news!
Mkuu wa Mkoa WA Arusha Mrisho Gambo amepokea kipigo kutoka kwa Katibu wa Ccm Mkoani Arusha Elias Mpanda Mara baada ya kulazimisha wajumbe wasiohusika kuingia kikao cha kamati ya siasa mkoa ambao yeye mkuu wa mkoa ni mjumbe lakini huku akilazimisha waingie kamanda wa TAKUKURU ARUSHA na AFISA USALAMA TAIFA MKOA ambao kiitifaki si wajumbe wa kikao hicho.
Gambo amepokea kichapo hicho na kumsababisha kuvimba pua na Mdomo baadaya ya kulazimisha wajumbe hao ambao kimsingi si wajumbe kutaka washiriki kiako na kuanza kumporomoshea matusi ya nguoni katibu wa mkoa ccm bwana Elias Mpanda,
hata hivyo baada ya kipigo kikao hicho kilichokuwa ofisi ya mkoa Arusha kilivunjika,baada ya kuvunjika mkuu wa mkoa alituma Askari wakuu akiwemo RCO wa Arusha kumkamata Katibu huyo lakini busara za RCO aliyekaa kikao na pande zote mbili kutuliza hasira zao.
Hata hivyo haijulikani kikao hicho kitafanyila lini tena huku Mwenyekiti akitafakari namna itakavyo endelea.
Gambo ambaye alipachika wagombea wake kila eneo lakini walishindwa na kambi ya mkiti aliyeshinda mh Sanare amekuwa kwenye wakati ngumu katika vikao hivyo.
Hadi sasa imekua siri kwa wanachama wa Chama cha mapinduzi Ccm Mkoa wa Arusha kuwa kitendo hicho ni cha aibu sana,
Msimamo wa kamati ya siasa ni kuwa wateule na viongozi wakuchaguliwa kutekeleza ilani ya chama badala ya kuingilia maamuzi ama kuendesha chama kwa mgongo wa uteuzi wao
Gambo alifika katika kikao kikao hicho na Afisa usalama wa Mkoa Rso pamoja na kamanda wa Takukuru Mkoa Wa Arusha
Nimekusoma loud and clearKama fake news basi nadhani ni utabir mzuri tui maana si unajua tena lisemwalo so ni dua njema tu wala usijali ila km ni kweli heshima kwa Katibu naziwasilisha kwa bashasha kabisa.