Tetesi: RC Gambo adaiwa kupigwa kwenye Mkutano wa CCM Arusha

Status
Not open for further replies.
Ni kweli kabisa CCM ina uwezo wa kumuita mtu yeyote kwenye kikao. Tatizo, Mrisho Gambo sio CCM, ni mwana CCM!
Huna tofauti na yule aliejitetea kashindwa kutayarisha bajeti kinzani kisa hana wafanyakazi,hiyo ruzuku mnayoletewa mnalipa watu wa kutukana mitandaoni
 
Fake news; RC anayelindwa na bunduki 7.kama sio zaidi unaanzaanza vipi mpaka umshambulie kimwili kwa ngumi, teke au kichwa?! Leta picha hapa tukuelewe vinginevyo wewe ni mchochezi na sheria iko wazi!
Ukisikia mbwa kala mbwa ndo hiyo we baki unajiuliza mwenzio ndo hivyo anauguza minundu,ndo maana Leo sijamuona ofisini kwake.
 
Jamani kupigana hadharani ni jinai, tunajifuza nini kwa hawa viongozi kuvimbishana pua?
 
Kwa nini hawakuchomana visu? Daah hakuna hata aliyekuwa na kiwembe akamcharaza mwenzake bahati mbaya tena hii.
 
Hii taarifa haina viashiria vya ukweli.

Sanasana labda kutupiana maneno lakini hapo kwenye ndondi unaongeza chumvi tu.
 
Mrisho Rambo hukulusha mateke kama Rambo na komando kipensi ,kweli kifo cha nyani baunsa huzima taa
Hahahah atakuwa alikutana na mfuweni wa hatari af unajua ukipigwa header ya ghafla ata hamu ya ngumi inakata mzee unabaki kushika pua na mdomo uliopasuka.
 
Bro unashabikia fake news!
Kama fake news basi nadhani ni utabiri mzuri tui maana si unajua tena lisemwalo so ni dua njema tu wala usijali ila km ni kweli heshima kwa Katibu naziwasilisha kwa bashasha kabisa.
 
Siku ukuta ukizinduliwa asipoonekana ntajua nikwel
 
This is too good to be true.

Hii chai, mpaka umfikie mkuu wa mkoa kumvimbisha mdomo walinzi wake wako wapi?

 
Kama fake news basi nadhani ni utabir mzuri tui maana si unajua tena lisemwalo so ni dua njema tu wala usijali ila km ni kweli heshima kwa Katibu naziwasilisha kwa bashasha kabisa.
Nimekusoma loud and clear
 
Walisha sema ukimtoa naekusumbua hiyo damu ya uasi itawatafuna na nyie mtoane mwisho wa siku mjimalize wenyewe
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…