MKANDAHARI
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 5,727
- 6,615
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watusogezee picha.Wachapane tu, maana washazoea kupiga wasio na hatia
Ha ha ha...!God is great!
Zidumu fikra za waasisi wa JF.Habari za kweli hazifutwi mjomba
Usalama wa taifa waliingizwa na Gambo kwa sababu G.Lema alisema tunajua na taarifa tunazipata kwa kila kinachofanyika ktk vikao vya ccmKuna tetesi zinadai kwamba, Mkuu wa Mkoa WA Arusha Mrisho Gambo amepokea kipigo kutoka kwa Katibu wa Ccm Mkoani Arusha Elias Mpanda Mara baada ya kulazimisha wajumbe wasiohusika kuingia kikao cha kamati ya siasa mkoa ambao yeye mkuu wa mkoa ni mjumbe lakini huku akilazimisha waingie kamanda wa TAKUKURU ARUSHA na AFISA USALAMA TAIFA MKOA ambao kiitifaki si wajumbe wa kikao hicho.
Gambo amepokea kichapo hicho na kumsababisha kuvimba pua na Mdomo baadaya ya kulazimisha wajumbe hao ambao kimsingi si wajumbe kutaka washiriki kiako na kuanza kumporomoshea matusi ya nguoni katibu wa mkoa ccm bwana Elias Mpanda,
hata hivyo baada ya kipigo kikao hicho kilichokuwa ofisi ya mkoa Arusha kilivunjika,baada ya kuvunjika mkuu wa mkoa alituma Askari wakuu akiwemo RCO wa Arusha kumkamata Katibu huyo lakini busara za RCO aliyekaa kikao na pande zote mbili kutuliza hasira zao.
Hata hivyo haijulikani kikao hicho kitafanyila lini tena huku Mwenyekiti akitafakari namna itakavyo endelea.
Gambo ambaye alipachika wagombea wake kila eneo lakini walishindwa na kambi ya mkiti aliyeshinda mh Sanare amekuwa kwenye wakati ngumu katika vikao hivyo.
Hadi sasa imekua siri kwa wanachama wa Chama cha mapinduzi Ccm Mkoa wa Arusha kuwa kitendo hicho ni cha aibu sana,
Msimamo wa kamati ya siasa ni kuwa wateule na viongozi wakuchaguliwa kutekeleza ilani ya chama badala ya kuingilia maamuzi ama kuendesha chama kwa mgongo wa uteuzi wao
Gambo alifika katika kikao kikao hicho na Afisa usalama wa Mkoa Rso pamoja na kamanda wa Takukuru Mkoa Wa Arusha
Mpanda kampandia RC ArushaHahahahaha...kumbe anavyotoaga vile vitisho nguvu yake inakuaga Ni kwa Polisi. Nilitaka nishangae kwa jicho lile anaanzaje kupata nguvu ya kuzipanga na kidume mwenzake.
Mara nyingi watu wenye vitisho vingi ndo wanakuaga waoga halafu hawana nguvu.
Pongezi nyingi zikuendeee bwana Mpanda
Sijui kwa nini na mimi huu wimbo wiki hii nimeukumbuka! .Nimekumbuka nyimbo za jeshini Enzi za mwalimu; Iddi amini akifaa, mimi siwezi kuliaa, tutamtupa kageraa awe chakula cha mambaa'.
Ukifanya hivyo utakuwa umeitendea mema JFNimedokezwa kwamba video ya kipondo hicho iko mitaani , ngoja tuone kama naweza kuiweka humu jf kunogesha mambo .
Malipo ni hapahapa .
Huwezi kufanya kazi pekee yako.Kama ana dhamira nzuri, angewashirikisha viongozi wa chama.RSO angefanya kwa mfumo wa taasisi yao.Usalama wa taifa waliingizwa na Gambo kwa sababu G.Lema alisema tunajua na taarifa tunazipata kwa kila kinachofanyika ktk vikao vya ccm