mujunwa
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 425
- 555
Katibu ni boss wa RC ktk kikao tajwa na RC ni mjumbe tu . Kiprotokali Katibu wa Chama Tawala haamrishwi na RC maana Chama ni msimamizi wa Serikali , nd'o kusema Serikali ni mtoto wa Chama . RC anaweza kuwaamrisha wakuu wa vyombo vya dola mkoani mwake .Habari ya kupikwa hii,Katibu wa CCM Mkoa hayupo Arusha na hata angekuwepo, RC ana ulinzi si rahisi kumpiga isitoshe RC ndo Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa akitoa amri iwe kwa RPC,RSO na wengine lazima waitekeleze hakuna cha eti RSO alitumia busara, amri za majeshi huwa ni utekelezaji tu na si vinginevyo huwezi kupingana na Boss wako akishatoa amri, mleta taarifa hizi za uongo inaonekana hujui majeshi yanaendeshwaje