Tetesi: RC Gambo adaiwa kupigwa kwenye Mkutano wa CCM Arusha

Tetesi: RC Gambo adaiwa kupigwa kwenye Mkutano wa CCM Arusha

Status
Not open for further replies.
Fake news; RC anayelindwa na bunduki 7.kama sio zaidi unaanzaanza vipi mpaka umshambulie kimwili kwa ngumi, teke au kichwa?! Leta picha hapa tukuelewe vinginevyo wewe ni mchochezi na sheria iko wazi!
analindwa wakati gani, mbona tunawaona tu wenyewe humu mitaani
 
Mkuu wa mkoa ni mkubwa kuliko waziri, waziri ni mteule wa rais, mkuu wa mkoa ni mwakilishi wa rais, au rais wa mkoa. Waziri hana mamlaka ya kuviamuru vyombo vya dola, mkuu wa mkoa, anamamlaka ya kumtia mtu ndani. Mkuu wa mkoa anatembea na bendera, waziri hana. Mkuu wa mkoa anamuona rais direct, Waziri anaanzia kwa Waziri Mkuu.
P

Sio kweli bro Paskali

Hata wewe unashindwa jua Mkuu wa Mkoa ni mdogo kwa Waziri? Eeehh hujui hata basic structure ya Government? Kaka Paskali.. Eeehh

Mkuu wa Mkoa ni mdogo kwa Waziri kabisa..!! Waziri eg wa Tamisemi, wakuu wa mikoa na wilaya na wakurugenzi wote wako chini yake na wanapokea amri toka kwake. Yaani Waziri wa TAMISEMI ndio mkubwa wa Mikoa na wilaya na halmashauri zote Tanzania, Hii haimaanishi Waziri wa TAMISEMI ni mkubwa kuliko mawaziri wengine.. Hii ni basic Civics bana..!! Civics au hukuipitia vema? Au Paskal umepitiwa nn kuhusu hili ? Waziri anaweza amrisha vyombo vya dola inategemeana yuko position gani..!! Waziri ana nguvu kubwa kuliko Mkuu wa Mkoa yeyote .

Suala la Gambo sidhani kama ni kweli mtoa mada hajui vema nadhani maana hili halipo..!!
 
habari nzuri sana haka kajamaa kana sifa sana
 
Sio kweli bro Paskali

Hata ww unashindwa jua Mkuu wa Mkoa ni mdogo kwa Waziri? Eeehh Hujui hata basic structure ya Government? Kaka Paskali.. Eeehh

Mkuu wa Mkoa ni mdogo kwa Waziri kabisa..!! Waziri eg wa Tamisemi, wakuu wa mikoa na wilaya na wakurugenzi wote wako chini yake na wanapokea amri toka kwake. Yaani Waziri wa TAMISEMI ndio mkubwa wa Mikoa na wilaya na halmashauri zote Tanzania, Hii haimaanishi Waziri wa TAMISEMI ni mkubwa kuliko mawaziri wengine.. Hii ni basic Civics bana..!! Civics au hukuipitia vema? Au Paskal umepitiwa nn kuhusu hili ? Waziri anaweza amrisha vyombo vya dola inategemeana yuko position gani..!! Waziri ana nguvu kubwa kuliko Mkuu wa Mkoa yeyote .

Suala la Gambo sidhani kama ni kweli mtoa mada hajui vema nadhani maana hili halipo..!!
Rais ni mkuu wa the executive, ni head of state na amiri jeshi mkuu, mawaziri ni political appointee tuu, hawana executive powers, wakuu wa mikoa ni executive positions, waziri hapigiwi saluti, RC anapigiwa saluti.

Ma RC ndio wakuu wa kamati za ulinzi na usalama
ana tuma report yake direct to No.1. Waziri ni mtu mdogo in terms of power kumlinganisha na RC.
Japo structurally Waziri ni mkubwa, lakini application RC kimkoa ni mkubwa kuliko Waziri, huyu kwa mkoa ni rais wa mkoa, waziri sio rais wa popote. Hapa tunazungunzia powers na sio responsibilities.

P
 
Rais ni mkuu wa the executive, ni head of state na amiri jeshi mkuu, mawaziri ni political appointee tuu, hawana executive powers, wakuu wa mikoa ni executive positions, waziri hapigiwi saluti, RC anapigiwa saluti.

Ma RC ndio wakuu wa kamati za ulinzi na usalama
ana tuma report yake direct to No.1. Waziri ni mtu mdogo in terms of power kumlinganisha na RC.
Japo structurally Waziri ni mkubwa, lakini application RC kimkoa ni mkubwa kuliko Waziri, huyu kwa mkoa ni rais wa mkoa, waziri sio rais wa popote. Hapa tunazungunzia powers na sio responsibilities.

P
Paskali
Unaamanisha hata PM hana madaraka zaidi ya RC's.Kupigiwa saluti ni ujeuri wa askari lakini kila waziri na mbunge anatakiwa kupigiwa saluti. Na Kama kupigiwa Saluti ni hoja ya madaraka kwa hiyo Waziri Mwinyi ni mkubwa kuliko mawaziri wote, Mwingulu Je na vipi kuhusu Kigwangwala?

Kivyovyote vile waziri ni mkubwa kuliko RC kinachofanya RC aonekane ni mkubwa ni ule ukaribu wake na mamlaka ya utezi, rejea kipindi cha JK PM alishindwa kumuwajibisha katibu wa wizara sababu ya ukaribu kati ya katibu na mamlaka ya uteuzi.
 
Mkuu Bwana Mapesa, kuna vitu vingine, unapaswa kutumia tuu logical thinking, yaani kwa Gambo apigwe ngumi, atoke nundu, halafu huyo mtu akalale kwake?!. Kumbe sii wengi mnaotambua kilichomkuta Lema kuozea mahabusu, chanzo ni Gambo!.

Tukio hili lingekuwa kweli, by now hilo neno tetesi lisingekuwepo. Threads kama hizi ndizo zinazoshusha credibility ya jf na kutufanya sisi sote tuliomo humu kuonekana wajinga!.

Mode, please do the needful.

P

Anaweza kulala kwake kama tumezaliwa 'tumbo' moja kama wa kufikia lazima aende akalale kwenye jengo linalomhusu.
 
Sio kweli bro Paskali

Hata ww unashindwa jua Mkuu wa Mkoa ni mdogo kwa Waziri? Eeehh Hujui hata basic structure ya Government? Kaka Paskali.. Eeehh

Mkuu wa Mkoa ni mdogo kwa Waziri kabisa..!! Waziri eg wa Tamisemi, wakuu wa mikoa na wilaya na wakurugenzi wote wako chini yake na wanapokea amri toka kwake. Yaani Waziri wa TAMISEMI ndio mkubwa wa Mikoa na wilaya na halmashauri zote Tanzania, Hii haimaanishi Waziri wa TAMISEMI ni mkubwa kuliko mawaziri wengine.. Hii ni basic Civics bana..!! Civics au hukuipitia vema? Au Paskal umepitiwa nn kuhusu hili ? Waziri anaweza amrisha vyombo vya dola inategemeana yuko position gani..!! Waziri ana nguvu kubwa kuliko Mkuu wa Mkoa yeyote .

Suala la Gambo sidhani kama ni kweli mtoa mada hajui vema nadhani maana hili halipo..!!

Wizara mama ni 2 ambazo ni TAMISEMI na UTUMISHI hivyo kufanya mawaziri wake kuwa ni wakubwa zaidi kwa wakuu wa Mikoa
Mawaziri wote tofauti na hizo wizara 2 wako sawa na Wakuu wa Mikoa.
I stand to be corrected.
 
kile kijamaa kikuda kinoma we angalia tu hata kisura chake yaan kimekaa kiunafki unafki tu ndo maana kuna siku lema alitaka kukinyoosha ashukuru tu policcm..
 
Paskali
Unaamanisha hata PM hana madaraka zaidi ya RC's.Kupigiwa saluti ni ujeuri wa askari lakini kila waziri na mbunge anatakiwa kupigiwa saluti. Na Kama kupigiwa Saluti ni hoja ya madaraka kwa hiyo Waziri Mwinyi ni mkubwa kuliko mawaziri wote, Mwingulu Je na vipi kuhusu Kigwangwala?

Kivyovyote vile waziri ni mkubwa kuliko RC kinachofanya RC aonekane ni mkubwa ni ule ukaribu wake na mamlaka ya utezi, rejea kipindi cha JK PM alishindwa kumuwajibisha katibu wa wizara sababu ya ukaribu kati ya katibu na mamlaka ya uteuzi.
Hapana PM ni no.3 kwa ukubwa kisha linafuata Baraza la Mawaziri in terms of political rulling, lakini kwenye executive powers, hata ma PS kwenye wizara ndio wakuu, where executive powers lies, ndio kwenye nguvu.

P
 
Nimekumbuka nyimbo za jeshini Enzi za mwalimu; Iddi amini akifaa, mimi siwezi kuliaa, tutamtupa kageraa awe chakula cha mambaa'.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom