Rais ni mkuu wa the executive, ni head of state na amiri jeshi mkuu, mawaziri ni political appointee tuu, hawana executive powers, wakuu wa mikoa ni executive positions, waziri hapigiwi saluti, RC anapigiwa saluti.
Ma RC ndio wakuu wa kamati za ulinzi na usalama
ana tuma report yake direct to No.1. Waziri ni mtu mdogo in terms of power kumlinganisha na RC.
Japo structurally Waziri ni mkubwa, lakini application RC kimkoa ni mkubwa kuliko Waziri, huyu kwa mkoa ni rais wa mkoa, waziri sio rais wa popote. Hapa tunazungunzia powers na sio responsibilities.
P