Tetesi: RC Gambo adaiwa kupigwa kwenye Mkutano wa CCM Arusha

Status
Not open for further replies.
Dunia ya leo huwezi kuja na kahoja kako tu bira ushahidi,kapicha mkuu tafadhari.
 
Habari kubwa kama hii bila picha ni sawa na kula mkate bila chai.



Picha tafadhali...!
 
Siyo tetesi ni kweli kulitokea sintofahamu ila ni kati ya mwenyekiti wa CCM mkoa na Mrisho, RC huyo msanii aliingia ukumbini akiwa ameambatana na maafisa hao wa takukuru na Tiss kwenye kikao ambacho akiwahusu.

Alipoulizwa kulikoni na mwenyekiti, akajibu kwamba najua hapa kuna watu wananichukia ikiwemo wewe mwenyekiti na katibu wako, kwa taarifa yenu siyo lazima niwe mkuu wa mkoa wa Arusha hata Rais akinihamisha bado nitakuwa mkuu wa mkoa.

Mrisho ni kama vile hajitambui yeye ni nani na nafasi yake ni ipi katika jamii.
 
Usalama wa taifa waliingizwa na Gambo kwa sababu G.Lema alisema tunajua na taarifa tunazipata kwa kila kinachofanyika ktk vikao vya ccm
 
Mpanda kampandia RC Arusha
 
Siamini kuwa kuna kitu kama hicho kutokea lakini kama ndo hivyo ni budi Mhe. Rais kachukua hatua mara moja kumuondoa RC wa Arusha kwenye nafasi yake.
 
Hii habari mpaka leo haina updates za picha wala video.
 
Ngumi ya mdomo naijua aisee mixa kuvimba hahaha
 
Usalama wa taifa waliingizwa na Gambo kwa sababu G.Lema alisema tunajua na taarifa tunazipata kwa kila kinachofanyika ktk vikao vya ccm
Huwezi kufanya kazi pekee yako.Kama ana dhamira nzuri, angewashirikisha viongozi wa chama.RSO angefanya kwa mfumo wa taasisi yao.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…