Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,654
- 35,887
Kikubwa ni kufutwa kwa Chadema Arusha mjini
Chadema imechelewesha maendeleo Arusha
Ni kweli maendeleo ya Tanga,Sumbawanga,Kighoma na Lindi yanaonekana dhahiri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kikubwa ni kufutwa kwa Chadema Arusha mjini
Chadema imechelewesha maendeleo Arusha
Kama ww viti maalumu unavyomtumikia bwana wako Dj Mbowe[emoji6]Wewe endelea kumtumikia mumeo
In God we Trust
Ubunge ukuu wa mkoaa ni ma police tu yale ndo unamilikiUbunge na Ukuu wa Mkoa upi una thamani zaidi kwa madaraka na kipato?
Ukiona mtu anaota ndoto mchana kweupe ni dalili tosha ya uchuroLema mwenyewe yuko mbioni kumuacha Mbowe chama chake,anastaafu siasa anarudi kwenye biashara ya magari
Kwani Lema alikuwa anafanya Nini miaka 10 yote????Huyo anataka aende bungeni kufanya nini?
Biashara ya Magari au Wizi wa Magari???nitakuwa wa Kwanza kumpiga Risasi huyu jambaziLema mwenyewe yuko mbioni kumuacha Mbowe chama chake,anastaafu siasa anarudi kwenye biashara ya magari
Na uchawi sanaUmefika muda wa fitna na kuchafuana kwenye siasa.
Njozi yako Ni nzuri,Tatizo muda uliyoota hiyo njoziCcm haitakiwi hapa Arusha, bakini huko huko dodoma
In God we Trust
Njozi yako Ni nzuri,Tatizo muda uliyoota hiyo njozi
Kikubwa ni kufutwa kwa Chadema Arusha mjini
Chadema imechelewesha maendeleo Arusha
Alikuwa anawatetea watzKwani Lema alikuwa anafanya Nini miaka 10 yote????
Ivi kat ya ubunge na ukuu wa mkoa kipi kina maslahi??? MsaadaKatika hali isiyo ya kawaida mkuu wa mkoa wa Arusha,Mrisho Gambo anadaiwa kuandaa wazee wa mila ya kimasai maarufu kama Laigwanan ili waweze kumwomba agombee ubunge katika jimbo la Arusha Mjini.
Wazee hao wa mila wanaodaiwa kukusanywa kutoka maeneo mbambali jijini Arusha ambayo ni Terat,Muriet,Mkonoo,Mateves,Oljoro,Sakina na kata ya kati ambapo wametengewa zaidi ya sh,20 milioni ili kukamilisha zoezi hilo.
Mkakati huo unasukwa kwa kushirikiana na baadhi ya viongozi wa Ccm akiwemo mwenyekiti wa Ccm mkoa wa Arusha, Stephen Zelothe sanjari na mwenyekiti wa Ccm wilaya Joseph Masawe.
Taaarifa za uhakika zimeeleza kwamba wazee hao wa kimila wamepanga Mara baada ya bunge la jamhuri kuvunjwa rasmi watafika nyumbani kwake na kumwangukia ili agombee ubunge wa jimbo la Arusha Mjini.
Mmoja wa wazee wa kimila anayetoka kata ya Terat,Baraka Kivuyo ameelezea kwamba wameambiwa wafike nyumbani kwa kiongozi huyo eneo la Muriet huku wakiwa na mbuzi na kondoo kama ishara ya kumwomba kwa heshima ombi lao.
Hatahivyo,kiongozi Hugo ameelezea kwamba kumekuwa na nguvu kubwa inayoyumika kuwasukuma baadhi ya kiongozi wa kimila ili waende nyumbani kwa Gambo jambo ambalo limeibua sintofahamu katika mkakati huo.
"Kila wiki wanafika viongozi wa Ccm hapa ili kujua tunaendeleaje na mpango wetu wa kujikusanya na kwenda kumwomba Mkuu wa mkoa agombee ubunge" alieleza Kivuyo
Hatahivyo,alienda mbali zaidi na kudai kwamba pia kuna mkakati unaosukwa ili wazee hao wafike mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dk John Magufuli ili wamwombe amruhusu Gambo agombee ubunge.
"Ikitokea kwamba Rais Magufuli anafanya ziara hapa Arusha basi sisi wazee tumeombwa na Gambo kwamba atatengeneza mazingira tufike mbele yake na kumwomba amruhusu kijana agombee ubunge" alisisitiza kiongozi Hugo
Mbio za ubunge katika jimbo la Arusha Mjini zinazidi kushika kasi ambapo mbali na Gambo baadhi ya makada wanaotajwa kulimezea mate jimbo hilo ni pamoja na mfanyabiashara maarufu,Philemon Mollel maarufu kama Monaban,wakili wa kujitegemea Albert Msando,wakili wa kujitegemea Edmund Mgemela,meya aliyejiuzulu Calist Lazaro,Dkt Batilda Buriani na wengine mbalimbali.
Mwisho
.View attachment 1453897
Jokes???Alikuwa anawatetea watz
Utasubiri SanaThe same to you
In God we Trust
Wanaakili sana hao wazee. Arusha mjini inamuhitaji Gambo
Utasubiri Sana
Ccm ilikuwa miaka 50Kikubwa ni kufutwa kwa Chadema Arusha mjini
Chadema imechelewesha maendeleo Arusha
Hataki kuteuliwa ili awe waziri wa misafara ya rais hivyo akiwa mbunge tiyari hiyo nafasi anaipewa kabla ya jioniUbunge na Ukuu wa Mkoa upi una thamani zaidi kwa madaraka na kipato?