Uchaguzi 2020 RC Gambo adaiwa kusuka mpango wa kuandaa wazee wa mila ili wamwombe agombee ubunge Arusha

Uchaguzi 2020 RC Gambo adaiwa kusuka mpango wa kuandaa wazee wa mila ili wamwombe agombee ubunge Arusha

Katika hali isiyo ya kawaida mkuu wa mkoa wa Arusha,Mrisho Gambo anadaiwa kuandaa wazee wa mila ya kimasai maarufu kama Laigwanan ili waweze kumwomba agombee ubunge katika jimbo la Arusha Mjini.

Wazee hao wa mila wanaodaiwa kukusanywa kutoka maeneo mbambali jijini Arusha ambayo ni Terat,Muriet,Mkonoo,Mateves,Oljoro,Sakina na kata ya kati ambapo wametengewa zaidi ya sh,20 milioni ili kukamilisha zoezi hilo.

Mkakati huo unasukwa kwa kushirikiana na baadhi ya viongozi wa Ccm akiwemo mwenyekiti wa Ccm mkoa wa Arusha, Stephen Zelothe sanjari na mwenyekiti wa Ccm wilaya Joseph Masawe.

Taaarifa za uhakika zimeeleza kwamba wazee hao wa kimila wamepanga Mara baada ya bunge la jamhuri kuvunjwa rasmi watafika nyumbani kwake na kumwangukia ili agombee ubunge wa jimbo la Arusha Mjini.

Mmoja wa wazee wa kimila anayetoka kata ya Terat,Baraka Kivuyo ameelezea kwamba wameambiwa wafike nyumbani kwa kiongozi huyo eneo la Muriet huku wakiwa na mbuzi na kondoo kama ishara ya kumwomba kwa heshima ombi lao.

Hatahivyo,kiongozi Hugo ameelezea kwamba kumekuwa na nguvu kubwa inayoyumika kuwasukuma baadhi ya kiongozi wa kimila ili waende nyumbani kwa Gambo jambo ambalo limeibua sintofahamu katika mkakati huo.

"Kila wiki wanafika viongozi wa Ccm hapa ili kujua tunaendeleaje na mpango wetu wa kujikusanya na kwenda kumwomba Mkuu wa mkoa agombee ubunge" alieleza Kivuyo

Hatahivyo,alienda mbali zaidi na kudai kwamba pia kuna mkakati unaosukwa ili wazee hao wafike mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dk John Magufuli ili wamwombe amruhusu Gambo agombee ubunge.

"Ikitokea kwamba Rais Magufuli anafanya ziara hapa Arusha basi sisi wazee tumeombwa na Gambo kwamba atatengeneza mazingira tufike mbele yake na kumwomba amruhusu kijana agombee ubunge" alisisitiza kiongozi Hugo

Mbio za ubunge katika jimbo la Arusha Mjini zinazidi kushika kasi ambapo mbali na Gambo baadhi ya makada wanaotajwa kulimezea mate jimbo hilo ni pamoja na mfanyabiashara maarufu,Philemon Mollel maarufu kama Monaban,wakili wa kujitegemea Albert Msando,wakili wa kujitegemea Edmund Mgemela,meya aliyejiuzulu Calist Lazaro,Dkt Batilda Buriani na wengine mbalimbali.

Mwisho

.View attachment 1453897
We mtu wa chadema, akigombea unaumia nn? Sio haki yake?? Acha wivu wa kike

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika hali isiyo ya kawaida mkuu wa mkoa wa Arusha,Mrisho Gambo anadaiwa kuandaa wazee wa mila ya kimasai maarufu kama Laigwanan ili waweze kumwomba agombee ubunge katika jimbo la Arusha Mjini.

Wazee hao wa mila wanaodaiwa kukusanywa kutoka maeneo mbambali jijini Arusha ambayo ni Terat,Muriet,Mkonoo,Mateves,Oljoro,Sakina na kata ya kati ambapo wametengewa zaidi ya sh,20 milioni ili kukamilisha zoezi hilo.

Mkakati huo unasukwa kwa kushirikiana na baadhi ya viongozi wa Ccm akiwemo mwenyekiti wa Ccm mkoa wa Arusha, Stephen Zelothe sanjari na mwenyekiti wa Ccm wilaya Joseph Masawe.

Taaarifa za uhakika zimeeleza kwamba wazee hao wa kimila wamepanga Mara baada ya bunge la jamhuri kuvunjwa rasmi watafika nyumbani kwake na kumwangukia ili agombee ubunge wa jimbo la Arusha Mjini.

Mmoja wa wazee wa kimila anayetoka kata ya Terat,Baraka Kivuyo ameelezea kwamba wameambiwa wafike nyumbani kwa kiongozi huyo eneo la Muriet huku wakiwa na mbuzi na kondoo kama ishara ya kumwomba kwa heshima ombi lao.

Hatahivyo,kiongozi Hugo ameelezea kwamba kumekuwa na nguvu kubwa inayoyumika kuwasukuma baadhi ya kiongozi wa kimila ili waende nyumbani kwa Gambo jambo ambalo limeibua sintofahamu katika mkakati huo.

"Kila wiki wanafika viongozi wa Ccm hapa ili kujua tunaendeleaje na mpango wetu wa kujikusanya na kwenda kumwomba Mkuu wa mkoa agombee ubunge" alieleza Kivuyo

Hatahivyo,alienda mbali zaidi na kudai kwamba pia kuna mkakati unaosukwa ili wazee hao wafike mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dk John Magufuli ili wamwombe amruhusu Gambo agombee ubunge.

"Ikitokea kwamba Rais Magufuli anafanya ziara hapa Arusha basi sisi wazee tumeombwa na Gambo kwamba atatengeneza mazingira tufike mbele yake na kumwomba amruhusu kijana agombee ubunge" alisisitiza kiongozi Hugo

Mbio za ubunge katika jimbo la Arusha Mjini zinazidi kushika kasi ambapo mbali na Gambo baadhi ya makada wanaotajwa kulimezea mate jimbo hilo ni pamoja na mfanyabiashara maarufu,Philemon Mollel maarufu kama Monaban,wakili wa kujitegemea Albert Msando,wakili wa kujitegemea Edmund Mgemela,meya aliyejiuzulu Calist Lazaro,Dkt Batilda Buriani na wengine mbalimbali.

Mwisho

.View attachment 1453897
Ni habari njema,ikiwa wazee wameona kwamba anafaa na wakamwombe tu,
Na hii inamaanisha kwamba wazee wamemwona kwa sababu hata hao wenyeviti Zelothe na Masawe ni wazee pia.
Na kwa sababu tunahitaji wabunge makini si vibaya huyo Gambo ni makini na anafaa
 
Ccm mnajiangusha sana jimbo la Arusha miaka yote,hamjifunzi!!
Migogoro kila inapokaribia uchaguzi,ndio maana mnapigwa chini kirahisi sana.
Mmedadisi wana Arusha wanamtaka nani?
Tatizo mnajifikiria wenyewe viongozi mnafaa wakati wananchi wana lao moyoni,kamwe hamtoboi.
 
CCM kama wanataka kushinda ubunge Arusha wawe na mgombea sahihi ila sio Gambo ... Waangalie vigezo ambavyo vikubwa ni awe Mchuganiani means amezaliwa na kukulia Arusha (mwenye meno ya dhahabu na lafudhi ya peponi) au awe mchaga mwenye influence na matajiri kwa CCM Right candidates ni Alberth Msando, Jastin Nyari, Deo, au Bananga akiunga juhudi, Muhindi wa Bushbuck, Benson, Double Cola, Kaburu wa Kibo, Mtumwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rudia tena kusoma kuna vitu hujaelewa mpwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Nafikiri unkol unataka nielewe na kuamini kama ww ulivyoamin kuwa;

"RC Gambo asuka mpango wa kuwashawishi wazee wa Arusha wamuombe agombee ubunge"


"Wazee hao wa mila wanaodaiwa kukusanywa kutoka maeneo mbambali jijini Arusha ambayo ni Terat,Muriet,Mkonoo,Mateves,Oljoro,Sakina na kata ya kati ambapo wametengewa zaidi ya sh,20 milioni ili kukamilisha zoezi hilo."

Ndo nasema hata wakimshawishi sio mbaya anatosha sana Arusha.[emoji41]

(Uncle B hizi ni siasa za kashfa na foul kama Msigwa alizomchezea Kinana)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah madaraka ivi kwann watu wanapenda sana madaraka aisee

121.
 
Kikubwa ni kufutwa kwa Chadema Arusha mjini

Chadema imechelewesha maendeleo Arusha

Chadema wanahusika vipi katika kupeleka maendeleo jimboni? ulikuta wapi watu wakipeleka kodi zao kwenye ofisi za chadema? Mwenye kukusanya kodi ndo mwenye jukumu la kupeleka maendeleo sehemu husika.
 
Katika hali isiyo ya kawaida mkuu wa mkoa wa Arusha,Mrisho Gambo anadaiwa kuandaa wazee wa mila ya kimasai maarufu kama Laigwanan ili waweze kumwomba agombee ubunge katika jimbo la Arusha Mjini.

Wazee hao wa mila wanaodaiwa kukusanywa kutoka maeneo mbambali jijini Arusha ambayo ni Terat,Muriet,Mkonoo,Mateves,Oljoro,Sakina na kata ya kati ambapo wametengewa zaidi ya sh,20 milioni ili kukamilisha zoezi hilo.

Mkakati huo unasukwa kwa kushirikiana na baadhi ya viongozi wa Ccm akiwemo mwenyekiti wa Ccm mkoa wa Arusha, Stephen Zelothe sanjari na mwenyekiti wa Ccm wilaya Joseph Masawe.

Taaarifa za uhakika zimeeleza kwamba wazee hao wa kimila wamepanga Mara baada ya bunge la jamhuri kuvunjwa rasmi watafika nyumbani kwake na kumwangukia ili agombee ubunge wa jimbo la Arusha Mjini.

Mmoja wa wazee wa kimila anayetoka kata ya Terat,Baraka Kivuyo ameelezea kwamba wameambiwa wafike nyumbani kwa kiongozi huyo eneo la Muriet huku wakiwa na mbuzi na kondoo kama ishara ya kumwomba kwa heshima ombi lao.

Hatahivyo,kiongozi Hugo ameelezea kwamba kumekuwa na nguvu kubwa inayoyumika kuwasukuma baadhi ya kiongozi wa kimila ili waende nyumbani kwa Gambo jambo ambalo limeibua sintofahamu katika mkakati huo.

"Kila wiki wanafika viongozi wa Ccm hapa ili kujua tunaendeleaje na mpango wetu wa kujikusanya na kwenda kumwomba Mkuu wa mkoa agombee ubunge" alieleza Kivuyo

Hatahivyo,alienda mbali zaidi na kudai kwamba pia kuna mkakati unaosukwa ili wazee hao wafike mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dk John Magufuli ili wamwombe amruhusu Gambo agombee ubunge.

"Ikitokea kwamba Rais Magufuli anafanya ziara hapa Arusha basi sisi wazee tumeombwa na Gambo kwamba atatengeneza mazingira tufike mbele yake na kumwomba amruhusu kijana agombee ubunge" alisisitiza kiongozi Hugo

Mbio za ubunge katika jimbo la Arusha Mjini zinazidi kushika kasi ambapo mbali na Gambo baadhi ya makada wanaotajwa kulimezea mate jimbo hilo ni pamoja na mfanyabiashara maarufu,Philemon Mollel maarufu kama Monaban,wakili wa kujitegemea Albert Msando,wakili wa kujitegemea Edmund Mgemela,meya aliyejiuzulu Calist Lazaro,Dkt Batilda Buriani na wengine mbalimbali.

Mwisho

.View attachment 1453897
Hii taarifa mbona inafanana na taarifa za Peter Msigwa, halafu baadaye mje kumuomba radhi Gambo kwa kusema uongo siyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom