Uchaguzi 2020 RC Gambo adaiwa kusuka mpango wa kuandaa wazee wa mila ili wamwombe agombee ubunge Arusha

Lema mwenyewe yuko mbioni kumuacha Mbowe chama chake,anastaafu siasa anarudi kwenye biashara ya magari
Biashara ya Magari au Wizi wa Magari???nitakuwa wa Kwanza kumpiga Risasi huyu jambazi
 
Kikubwa ni kufutwa kwa Chadema Arusha mjini

Chadema imechelewesha maendeleo Arusha

Wamechelewesha vipi wakati kodi inachukuliwa na serikali. Ubunge hauna uhusiano wa moja kwa moja na maendeleo. Mbunge ni mpiga debe tu. Kama anataka kuleta maendeleo abakie kama mkuu wa mkoa. Mbunge hana maamuzi yeyote zaidi ya uwakilishi. Vilevile walisema Meya kafanya kazi nzuri sasa atafanyaje kazi nzuri halafu alaumiwe mbunge ambaye ni mwakilishi tu. Cha kujiuliza je mbunge kaongelea bungeni matatizo ya Arusha mjini au hajaongea. Wabunge Tanzania haina faida hivyo kwasababu bugeti ya bunge hata wakipanga inatekelezwa kwa asilimia 30% tu. Yaani hata ukipiga kelele wakaweka budget inaweza hata isije! hiyo ndiyo Tanzania sasa kubadilisha mbunge itasaidia nini
 
CCM watapoteza Jimbo la Arusha Mjini tena wakimpendekeza RC Gambo kugombea.
 
Ivi kat ya ubunge na ukuu wa mkoa kipi kina maslahi??? Msaada

Its not over until its over...[emoji769]
 
Ubunge na Ukuu wa Mkoa upi una thamani zaidi kwa madaraka na kipato?
Hataki kuteuliwa ili awe waziri wa misafara ya rais hivyo akiwa mbunge tiyari hiyo nafasi anaipewa kabla ya jioni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…