RC Geita awachimba mkwara waliopanga kwenda kufanya tambiko kwenye kaburi la Magufuli

RC Geita awachimba mkwara waliopanga kwenda kufanya tambiko kwenye kaburi la Magufuli

Kila chifu atazikwa kichifu, sasa samia aliingia mtego akakubali,siku mungu akimuita utaratibu wa machifu utafatwa😂😂😂
Ngoma inachomolewa kwenye ubao inatiwa kwenye kaniki alafu inazungushiwa ngozi ya kondoo inashikishwa mkuki kwenye mkono then inafukiwa 😂
 
RC Geita amezungumzia sakata la wananchi waliopanga kwenda kufanya tambiko kubwa kwenye kaburi la Magufuli.

Amewachimba mkwara wale wote waliopanga kufanya hivyo na amewaambia maswala ya matambiko ni naswala ya kifamilia na hayawezi kufanywa huku yeye kama RC akiwa hana taarifa yoyote.

Amewataka wasitishe mara moja zoezi hilo la kufanya tambiko kwenye kaburi la Magufuli na kuwataka mambo hayo wawaachie familia ya Magufuli na pia wawasiliane na familia ya marehemu Magufuli na sio tu kukurupuka na kutaka kufanya tambiko.

Chanzo: Wasafi Media.
Kama Wana hamu na tambiko wawasiliane na familia yao Ili wao ndio watoe kibali sio tuu kukurupuka from no where.

Unajuaje kama ni tambiko? Je kama wameenda kutaka kufukua kaburi wasepe na fuvu je.
 
Kuna sababu kuna watu huwa hawazikwi kwenye makaburi yanayojulikana, huwa inaleta shida baadae.
 
Hangaya huku anaruhusu machifu,,,, huku mteule wake anakataza matambiko..

Watamlaza nje huyo mkuu wa mkoa hadi ashangae,,,asicheze na hao watu
 
Back
Top Bottom