Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wadau wa JF
Mkuu wa Mkoa wa Mara Mheshimiwa Ally Hapi ameshiriki Swala ya Ijumaa katika Msikiti Mkuu wa Ijumaa uliopo Musoma Mkoani Mara
Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Mara Msabaha Kassimu alimpa nafasi ya Kuswalisha Mheshimiwa Hapi
Mheshimiwa Hapi baada ya suala alitoa hotuba na alihimiza Umoja, Mshikamano na Ushieikiano ili kuujenga Mkoa wa Mara
Mheshimiwa Hapi aliwaomba wana Mara kuliombea Taifa na Rais Samia Suluhu Hassani
Hongera sana RC Hapi kwa kuwa mnyenyekevu mbele za Mungu
Mkuu wa Mkoa wa Mara Mheshimiwa Ally Hapi ameshiriki Swala ya Ijumaa katika Msikiti Mkuu wa Ijumaa uliopo Musoma Mkoani Mara
Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Mara Msabaha Kassimu alimpa nafasi ya Kuswalisha Mheshimiwa Hapi
Mheshimiwa Hapi baada ya suala alitoa hotuba na alihimiza Umoja, Mshikamano na Ushieikiano ili kuujenga Mkoa wa Mara
Mheshimiwa Hapi aliwaomba wana Mara kuliombea Taifa na Rais Samia Suluhu Hassani
Hongera sana RC Hapi kwa kuwa mnyenyekevu mbele za Mungu