RC Hapi aswalisha suala ya Ijumaa katika Msikiti Mkuu wa Musoma Mara

RC Hapi aswalisha suala ya Ijumaa katika Msikiti Mkuu wa Musoma Mara

Hamna kitu hapo, ujinga mtupu yeye ni kiongozi wa kisiasa asiingilie mambo ya dini, kama anaenda kuswali akaswali ila sio kujificha kwenye kivuli cha dini. asitafute huruma
unaweza ukaenda msikitini kwa lengo la kuswari Kama muumini wa kawaida Kama wengine lkn kutokana na position yako ,utapewa tu muda wa kutoa neno ,hata Kama hukuomba hiyo time,ukiwa kiongozi Mara nyngi watu hupenda waskie Jambo .so ni kawaida mkuu .
 
Huyo ni kiongozi lazima akipata nafasi atoe neno. Hutaki kajinyonge.
Hamna kitu hapo, ujinga mtupu yeye ni kiongozi wa kisiasa asiingilie mambo ya dini, kama anaenda kuswali akaswali ila sio kujificha kwenye kivuli cha dini. asitafute huruma
 
Mara pa kawaida tu wala siyo pagumu kwa kuongoza kama unavyofikiri
Huyu mjomba sema kila mkoa anaokwenda yeye hudili na misikiti tuu ila watu wa kanisa kinyongee ila hiyo ni mara ukicheza tu imekula kwako
 
Wewe huijui dini ya kiislamu bora kutulia kimya....imam ndio kiongozi mkuu wa ibada anamamlaka ya kumchagua mtu yeyote aswalishe hata mwanafunzi mdogo anayejua tu kusoma qur ani na kuifahamu swala, basi rukhsa kuswalisha usipagawe sana mkuu ni kawaida...hujawahi kumuona Erdogan anasoma Qur an kwa ahkam Tajweed kama sh. Abdulbasit abdusamad uislamu hauangalii cheo wala nyadhifa zako.
Asante kwanza kwa kutokua na jazba halafu kwa elm.
 
Wadau wa JF

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mheshimiwa Ally Hapi ameshiriki Swala ya Ijumaa katika Msikiti Mkuu wa Ijumaa uliopo Musoma Mkoani Mara

Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Mara Msabaha Kassimu alimpa nafasi ya Kuswalisha Mheshimiwa Hapi

Mheshimiwa Hapi baada ya suala alitoa hotuba na alihimiza Umoja, Mshikamano na Ushieikiano ili kuujenga Mkoa wa Mara

Mheshimiwa Hapi aliwaomba wana Mara kuliombea Taifa na Rais Samia Suluhu Hassani

Hongera sana RC Hapi kwa kuwa mnyenyekevu mbele za Mungu

View attachment 1823390
Dini haijachanganywa na siasa ?? Nimeuliza kujiridhisha....! Siku akisimama mtu humo akasema tofauti na matarajio ya serikali...??!!
 
Sina shari yoyote ndugu kwani hajulikani alivyo, mtu akiwa kiongozi ndo wamsujudu adi viongozi wa dini wanampa nafasi zao
We unajua kama ni vibaya mtu yeyote kuswalisha kama ana elimu ya swala?
 
Hawa mashehe ubwabwa wanatia aibu.
Ina maana Musoma Kuna uhaba wa maimamu kiasi hicho? Si mje Sumbawanga mvhukue hata watatu.....
Sumbawanga yule Sheikh alikua anasumbuliwa na RPC kuhusu ujenzi wa msikiti mpaka aligoma enzi za utawala wa moto namkubali sana sijui anaitwa nani alikua Sheihk Mkuu wa Mkoa...
 
Unyenyekevu kaanza kuujua lini huyo mhuni!? Si yeye huyo aliyetishia kumtwanga Kikwete!?

Wadau wa JF


Mkuu wa Mkoa wa Mara Mheshimiwa Ally Hapi ameshiriki Swala ya Ijumaa katika Msikiti Mkuu wa Ijumaa uliopo Musoma Mkoani Mara

Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Mara Msabaha Kassimu alimpa nafasi ya Kuswalisha Mheshimiwa Hapi

Mheshimiwa Hapi baada ya suala alitoa hotuba na alihimiza Umoja, Mshikamano na Ushieikiano ili kuujenga Mkoa wa Mara

Mheshimiwa Hapi aliwaomba wana Mara kuliombea Taifa na Rais Samia Suluhu Hassani

Hongera sana RC Hapi kwa kuwa mnyenyekevu mbele za Mungu

View attachment 1823390
 
Back
Top Bottom