GIRITA
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 4,432
- 5,864
Aje Gwajima.Aje na kanisani kuhubiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aje Gwajima.Aje na kanisani kuhubiri
unaweza ukaenda msikitini kwa lengo la kuswari Kama muumini wa kawaida Kama wengine lkn kutokana na position yako ,utapewa tu muda wa kutoa neno ,hata Kama hukuomba hiyo time,ukiwa kiongozi Mara nyngi watu hupenda waskie Jambo .so ni kawaida mkuu .Hamna kitu hapo, ujinga mtupu yeye ni kiongozi wa kisiasa asiingilie mambo ya dini, kama anaenda kuswali akaswali ila sio kujificha kwenye kivuli cha dini. asitafute huruma
Hamna kitu hapo, ujinga mtupu yeye ni kiongozi wa kisiasa asiingilie mambo ya dini, kama anaenda kuswali akaswali ila sio kujificha kwenye kivuli cha dini. asitafute huruma
Hahahahahahahahaa....ila wewe best dah...kichwa chako moto mno🤣🤣Hawa mashehe ubwabwa wanatia aibu.
Ina maana Musoma Kuna uhaba wa maimamu kiasi hicho? Si mje Sumbawanga mvhukue hata watatu.....
Huyu mjomba sema kila mkoa anaokwenda yeye hudili na misikiti tuu ila watu wa kanisa kinyongee ila hiyo ni mara ukicheza tu imekula kwako
BakwataCcmHamna kitu hapo, ujinga mtupu yeye ni kiongozi wa kisiasa asiingilie mambo ya dini, kama anaenda kuswali akaswali ila sio kujificha kwenye kivuli cha dini. asitafute huruma
Asante kwanza kwa kutokua na jazba halafu kwa elm.Wewe huijui dini ya kiislamu bora kutulia kimya....imam ndio kiongozi mkuu wa ibada anamamlaka ya kumchagua mtu yeyote aswalishe hata mwanafunzi mdogo anayejua tu kusoma qur ani na kuifahamu swala, basi rukhsa kuswalisha usipagawe sana mkuu ni kawaida...hujawahi kumuona Erdogan anasoma Qur an kwa ahkam Tajweed kama sh. Abdulbasit abdusamad uislamu hauangalii cheo wala nyadhifa zako.
Sina shari yoyote ndugu kwani hajulikani alivyo, mtu akiwa kiongozi ndo wamsujudu adi viongozi wa dini wanampa nafasi zaoFicha shari ulizozibeba moyoni mwako dada.
Dini haijachanganywa na siasa ?? Nimeuliza kujiridhisha....! Siku akisimama mtu humo akasema tofauti na matarajio ya serikali...??!!Wadau wa JF
Mkuu wa Mkoa wa Mara Mheshimiwa Ally Hapi ameshiriki Swala ya Ijumaa katika Msikiti Mkuu wa Ijumaa uliopo Musoma Mkoani Mara
Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Mara Msabaha Kassimu alimpa nafasi ya Kuswalisha Mheshimiwa Hapi
Mheshimiwa Hapi baada ya suala alitoa hotuba na alihimiza Umoja, Mshikamano na Ushieikiano ili kuujenga Mkoa wa Mara
Mheshimiwa Hapi aliwaomba wana Mara kuliombea Taifa na Rais Samia Suluhu Hassani
Hongera sana RC Hapi kwa kuwa mnyenyekevu mbele za Mungu
View attachment 1823390
We unajua kama ni vibaya mtu yeyote kuswalisha kama ana elimu ya swala?Sina shari yoyote ndugu kwani hajulikani alivyo, mtu akiwa kiongozi ndo wamsujudu adi viongozi wa dini wanampa nafasi zao
Sumbawanga yule Sheikh alikua anasumbuliwa na RPC kuhusu ujenzi wa msikiti mpaka aligoma enzi za utawala wa moto namkubali sana sijui anaitwa nani alikua Sheihk Mkuu wa Mkoa...Hawa mashehe ubwabwa wanatia aibu.
Ina maana Musoma Kuna uhaba wa maimamu kiasi hicho? Si mje Sumbawanga mvhukue hata watatu.....
Wadau wa JF
Mkuu wa Mkoa wa Mara Mheshimiwa Ally Hapi ameshiriki Swala ya Ijumaa katika Msikiti Mkuu wa Ijumaa uliopo Musoma Mkoani Mara
Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Mara Msabaha Kassimu alimpa nafasi ya Kuswalisha Mheshimiwa Hapi
Mheshimiwa Hapi baada ya suala alitoa hotuba na alihimiza Umoja, Mshikamano na Ushieikiano ili kuujenga Mkoa wa Mara
Mheshimiwa Hapi aliwaomba wana Mara kuliombea Taifa na Rais Samia Suluhu Hassani
Hongera sana RC Hapi kwa kuwa mnyenyekevu mbele za Mungu
View attachment 1823390