Naona unaanza kukubali matokeo.Kule Mtwara wameagizwa kuwa na mashamba ya korosho,
Arusha kule ni viboko tu,
Haya yetu macho.
Wasabato mtafanya jumapili mbona vyuoni etc mnafanya mitihani jumapili wakati wenzenu wanafanya jumamosi..Na waambao jumamos ndio siku ya ibada je wao watafanyweje?
Wasabato watafanya jumapili.....Kuna Watu wanaenda kusali Jmosi. Apange siku nyingine.
Naunga mkono hio siku ya kazi.Hiki kitoto kinakurupuka tena..
Jumamosi ni siku ya mapumziko
Angekuwa serious angefanya siku ya kazi
Mzee Mgaya amesema tutegemea vihoja zaidi ya ivi kwani hata wewe akili zimeanza kurudiKule Mtwara wameagizwa kuwa na mashamba ya korosho,
Arusha kule ni viboko tu,
Haya yetu macho.
Siku ya familia hiyo. Ndio siku pekee kuna nafasi ya kukaa na familia kama familia esp walioajiriwa sekta binafsi kazi mpaka Jumamosi. Apange siku nyingine.Wasabato watafanya jumapili.....
It's simple.. Mfanye jumamosi kama kawaida, Wasabato Mfanye jumapili peke yenu. Kwanza Wasabato wengi mazoezi wanafanya jumapili asubuhi hii inafanyika maeneo mengi nchini. Pili penye excuse ya jumamosi Wasabato huwa wanafanya jumapili either makazini au mashuleni hadi mitihani wanafanya wenyewe jumapili wakati wenzao walifanya jumamosiSiku ya familia hiyo. Ndio siku pekee kuna nafasi ya kukaa na familia kama familia esp walioajiriwa sekta binafsi kazi mpaka Jumamosi. Apange siku nyingine.
Mkuu umeona uliokuwa unawatetea ujinga wanaofanya? Najua hata wew imekuuma hiyoKule Mtwara wameagizwa kuwa na mashamba ya korosho,
Arusha kule ni viboko tu,
Haya yetu macho.
Ulikuwa wawashabikiaKule Mtwara wameagizwa kuwa na mashamba ya korosho,
Arusha kule ni viboko tu,
Haya yetu macho.
Kuna mambo katika maisha ni behavioural, it needs physiological change to individual. Mazoezi ni moja ya jambo linalohitaji utayari physiological. Bila kuwabadilisha wananchi kwa namna hiyo itakuwa ni kazi bure.Mkuu wa mkoa wa Iringa Salum Happi amesema jopo la madaktari wa mkoa wa Iringa wamemweleza kuwa mkoa huo unanyemelewa na magonjwa nyemelezi kama kisukari nk.
Kufuatia hali hiyo RC Happi amewaagiza Wakuu wa wilaya mkoani humo kuhakikisha kila Jumamosi ya pili ya kila mwezi inakuwa ni siku ya mazoezi ya Umma ambapo watumishi wote na wananchi kwa ujumla watapaswa kufanya mazoezi.
Watakaopuuza hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.
Chanzo: Channel ten
Maendeleo hayana vyama!
Haiwezekani.It's simple.. Mfanye jumamosi kama kawaida, Wasabato Mfanye jumapili peke yenu. Kwanza Wasabato wengi mazoezi wanafanya jumapili asubuhi hii inafanyika maeneo mengi nchini. Pili penye excuse ya jumamosi Wasabato huwa wanafanya jumapili either makazini au mashuleni hadi mitihani wanafanya wenyewe jumapili wakati wenzao walifanya jumamosi
Sheria namba ngapi ya mwaka gani na adhabu yake inasemaje? Kama hakuna basi hayo ni maagizo ya kijinga yaliyotolewa na mjingaMkuu wa mkoa wa Iringa Salum Happi amesema jopo la madaktari wa mkoa wa Iringa wamemweleza kuwa mkoa huo unanyemelewa na magonjwa nyemelezi kama kisukari nk.
Kufuatia hali hiyo RC Happi amewaagiza Wakuu wa wilaya mkoani humo kuhakikisha kila Jumamosi ya pili ya kila mwezi inakuwa ni siku ya mazoezi ya Umma ambapo watumishi wote na wananchi kwa ujumla watapaswa kufanya mazoezi.
Watakaopuuza hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.
Chanzo: Channel ten
Maendeleo hayana vyama!
Hata ya tunda LA mti WA katikati in mazoezi piaMazoezi ya aina gani kwani?
Ova
Ya chumbani nayo ni mojawapoMazoezi mbalimbali bwashee!
Kule Mtwara wameagizwa kuwa na mashamba ya korosho,
Arusha kule ni viboko tu,
Haya yetu macho.