RC Kafulila awanyoosha wachina wa CHICCO, ni wale waliotaka kutupiga TZS 15BL kwenye ujenzi wa barabara ya Mwigumbi-Maswa kilometa 57 kwa TZS 75BL

hiki chuma kinapiga sana kazi huko simiyuu
 
Huyu sio mda ,cheo kitayeyuka, amefanya vizuri, ila lazima ziuliza kwamba Iyo kitu imetokea KWa bahati mbaya? Kama sio ajue nyuma Kuna watu wameshiriki, na kupata 10 % je watakubali? Mda ni mwalim, kuwa smart katika Taifa hili inabidi ujipange kweli, vinginevyo ni shida tupu
 
Haya matender ni bomu sana!
Maana wachina wanaweka bei za chini alafu pesa ya kuhonga mwanzo wa tender ni nyingi mno! Kwa hiyo lazima wapate wao tender na matokeo yake ndio ushenzi mtupu [emoji2959]
 
Nimepita hapo juzi, ni hovyo sana, walichukua udongo wa shambani wakaweka barabarani, badala ya changarawe, halafu sasahivi wamekwangua lami wakaacha, mkifika hapo mnakula chocho aka diversion, juzi nusura basi niingie kwenye nyumba ya bibi mmoja, hivi kwanini tusitunge sheria ya kuwanyonga Hawa wa china,
 
hawahawa wanajenga ofisi ya hal Mashauri magu, miaka mitano hata kupaua wameshindwa, hivi kujenga jengo la gorofa mbili tunahitaji wa china? Hii kazi mbona hata sumajkt wanaweza
 
Tukumbushane.

Agenda kuu nchini Kwa sasa ni KATIBA mpya.

Rasimu ya Judge Warioba irudi mezani, Tuanzie mjadala hapo.

Amen.
 
Mwendokasi Mbagara ni uharibifu wa pesa
 
Kafulila njema Sana,
 

Kwani wachina nao ni mabeberu? Au hii ni ile mambo yetu ya RC au washirika wake kujianzishia nyuzi?
 
Kawanyoosha vipi?kwa kuwaambia waludie kujenga?umejiuliza walipataje hiyo tenda?wao ndio wanatunyoosha,wanatoa Rushwa tenda inakuwa ya bei kubwa,Cha juu wanakula watendaji serikalini,mwishoni ni mwananch ndio ananyooshwa
 
Kawanyoosha vipi?kwa kuwaambia waludie kujenga?umejiuliza walipataje hiyo tenda?wao ndio wanatunyoosha,wanatoa Rushwa tenda inakuwa ya bei kubwa,Cha juu wanakula watendaji serikalini,mwishoni ni mwananch ndio ananyooshwa
Hiyo 15b ni ndogo kama sio kunyooshwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…