RC Kafulila awanyoosha wachina wa CHICCO, ni wale waliotaka kutupiga TZS 15BL kwenye ujenzi wa barabara ya Mwigumbi-Maswa kilometa 57 kwa TZS 75BL

Endelea na moto ule ule wa kupandisha nyuzi za kafulila humu ndio tutajiridhisha kuwa wewe hukuwa chawa wake. Kwisha habari yenu kmmmk. Na bado!!!!!!
Kafulila hana pesa ya kunipa mimi,

Mimi ni mzalendo napenda viongozi wanaosimamia masilahi ya Watanzania haijalisha nini kitawapata kwa kusimamia kwao hayo masilahi,
 
Mkurugenzi wa TANROADS alikuwa wapi

Waziri wa ujenzi naye alikuwa wapi

Team ya ufundi ya TANROADS inafanya nini mpaka RC abaini makosa yote hayo tena ya kitaalamu
maajabu matupu aise
 
Kazi nzuri sana Kafulila
 
Mheshimiwa kafulilt ni mzalendo kwelikweli.apewe tu nafasi ya kurejea Bungeni hapo mwakani maana sauti na mchango wake unahitajika sana.
 
machawa wa Ngedere ni wale wale na ID zao ni zile zile hapa JF;
Mwanahabari wa taifa
CM 1774858
Lucas Mwashamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…