RC Kafulila: Rais Samia ni shujaa mpya wa Afrika anayechomoza kwa kasi ya ajabu

Mama anakuja juu Sana, kimataifa, Tumwombee sana
 
Nakubaliana na Kafulila Rais Samia ni shujaa wa Africa Mpya
 
Nafasi ya wizara ya fedha na nishati zitakuwa wazi soon, Nan anafit kukaa hapo?
 
Tumbili alicikili akiwa chawa kwa mama ndiyo atadumu,
Arudi tu aungane na Mbatia.
 

Attachments

  • 20220712_172114.jpg
    18.9 KB · Views: 5
Kafulila nafikiriaa kwa mbaaali Escrow ipo mtamboni imehusika na ajiandae kwa makubwa zaidi maana kwa sasa wanaopareti mfumo
 
Duh pamoja na na kusifu kote bado haikusaidia.Bora niendelee kulima vitunguu huku Dongobesh
 
Hakuna kama Mama Samia
 
Ila Kafulila atateuliwa kuwa balozi. Sepa yule Hapi ndo asahau kabisa kama Makonda.
 
Daaah ,natamani ile Milembo ihamie Ufipa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…