Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
Ni wenye roho za kishetani tu kama wewe....usilitie najisi taifa letu.👍👍💯Taifa zima linasubiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni wenye roho za kishetani tu kama wewe....usilitie najisi taifa letu.👍👍💯Taifa zima linasubiri
Bwana'ko yupi huyo unaemuongelea?Mungu amlinde huyu mama. Ujasiri wa kujitangaza katika nchi hii hakuna. Ameweka ajira yake kwenye mstari kwa kujitangaza. Yule bwana akimsikia sijui kama atamwacha.
Hatuwachukii wana CCM wao kama wao bali tabia zao za kishetaniMiccm siipendi sana lkn Huyu mama amekua humble na muwazi sana. Namtakia afya njema apone haraka...
Kaa kimya....Wewe sio mtz. Ni mtu kutoka JAMHURI YA WATU WA CHATO...Ni wenye roho za kishetani tu kama wewe....usilitie najisi taifa letu.
Na ikiisha corona wanaendeleza ushetani wao.....hiki ni chama Cha kigaidi kabisa
Wamejitangaza kina Pierre liquid unashangaa huyoMungu amlinde huyu mama. Ujasiri wa kujitangaza katika nchi hii hakuna. Ameweka ajira yake kwenye mstari kwa kujitangaza. Yule bwana akimsikia sijui kama atamwacha.
Msukule naona umecharukwa vp mwezi mchanga nini?Miccm siipendi sana lkn Huyu mama amekua humble na muwazi sana. Namtakia afya njema apone haraka...
Hapana. Unaweza kwenda pata maambukizi. Mimi mpaka sasa sina kabisa. Maana nashinda nyumbani.Mama kesho twende amana tukapime wote
Kiwavi huyo hajielewiHuyu mama amepanda nini na amevuna nini?
Hebu acheni ujuha!Mungu amlinde huyu mama. Ujasiri wa kujitangaza katika nchi hii hakuna. Ameweka ajira yake kwenye mstari kwa kujitangaza. Yule bwana akimsikia sijui kama atamwacha.
Wewe ni mkenya inajulikana hiyo..unajikomba komba kwa watz ili ujue kiswahili cha huku uzamie...hakuna mtz mwenye pigo za hivi...Nenda kwa manyang'au wenzio.Kaa kimya....Wewe sio mtz. Ni mtu kutoka JAMHURI YA WATU WA CHATO...
Hii serikali ya kishetani inakera sn ww jini......Msukule naona umecharukwa vp mwezi mchanga nini?
Tayari upo kwenye nyumba ya DJ hulioni hiloAmeonyesha ujasiri hongera,wengine wanaficha,ampigie Meko sasa amuekeze majani gani ya kujifukizia
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnaleta ukabila!!?Ulu unina duhu kanyoo noya kukuchola ila tuzenga numba Gamboshi
Utizonenela tuja.jaga ugang'wele u nkima wako agwine enyo.Ulu unina duhu kanyoo noya kukuchola ila tuzenga numba Gamboshi
AiseeeeMghwira kapanda nini akavuna nn?