Hivi mie siku zote humu najuwa nalumbana na dada Elli. Maana nna rafiki yangu anqitwa Elizabeth lakini mwenyewe anapenda tumuite Elli.Halafu unajiita mwislamu safi? Faiza, kweli unawadharau sana wanawake, eti Dada Elli, being Dada Elli au Kaka Elli haibadilishi hoja yoyote. hadi nikutie mimba ndio utajua kuwa Elli ni Dada au ni Kidume cha mbegu, tubaki kwenye mjadala ushamishe mada wewe kigagula kinachojificha kwenye mwamvuli wa Dini
Wewe basi Dio binaadam labda useme huna kirusi cha Corona aka covid 19. Lakini kutokuwa na virusi kabisa si kweli. Soma binti.Mimi sina virus bwana.
Mimi Barakoa sivai. Natoka sana tu. Sema nakaa mbali na binadamu wenzangu. Unajua Barakoa inaweza kukufanya uambukizwe. Ile kila mara unaishika kuirekebisha hapo hapo waweza jiwekea virus.Kila mara na sanitize mikono yangu,au kunawa mikono.
Kwahio kila unayechati nae anafanana na mwingine? Corona imekutafuna wewe na wewe kajitangaze tu, kumbuka uko kwenye hatari kubwa zaidi ya kupata Corona.Hivi mie siku zote humu najuwa nalumbana na dada Elli. Maana nna rafiki yangu anqitwa Elizabeth lakini kwenyewe anapenda tumuite Elli.
Hapo sasa.
Bwege tu wewe!MUNGU hadhihakiwi, kile apandacho mtu ndicho atakachovuna
Asante ndugu yake bwegeBwege tu wewe!
huyu si ccm kijani ni ccm wa zambarau ya ACT wazalendo.Miccm siipendi sana lkn Huyu mama amekua humble na muwazi sana. Namtakia afya njema apone haraka...
Kwa hiyo unaona huo ni ujanja sana! Mzembe we! Walioanza kupata tatizo hata magari yao wanashauliwa kufunga vioo, wewe unajivunia kutoka sana!Mimi Barakoa sivai. Natoka sana tu. Sema nakaa mbali na binadamu wenzangu. Unajua Barakoa inaweza kukufanya uambukizwe. Ile kila mara unaishika kuirekebisha hapo hapo waweza jiwekea virus.Kila mara na sanitize mikono yangu,au kunawa mikono.
Jina limefanana na la rafiki yangu Elizabeth.Kwahio kila unayechati nae anafanana na mwingine? Corona imekutafuna wewe na wewe kajitangaze tu, kumbuka uko kwenye hatari kubwa zaidi ya kupata Corona. Vipi vitendo Saccoss? Mlikula pesa za watu kw akivuli cha dini mkaingia mitini hahahha Faiza buana
utanitoa roho mwenzio kama hiyo avatar ni weweUgonjwa upo kila mahali. Ni ngumu kujua aliupata wapi. Makonda nae anapambania afya yake.
Unajua maana yake au unahorojeka tu kama vile umekua "Member of Parliament"?? Vipi kuhusu Vitendo Saccoss kukopeshan bila riba hahahah Faiza utachomwa moto LaivuJina limefanana na la rafiki yangu Elizabeth.
Ndiyo kwako mara ya kwanza nasikia mwanamme anajiita Elli. Samahani Sana Kwa kukuita dada kama u mwanamme.
Kigogo
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Dkt Anna Mghwira ametangaza kukutwa na maambukizi ya virusi vya Corona baada ya kufanyiwa vipimo siku tatu zilizopita.
Mama Mghwira anasema kuwa hajui amepata wapi na lini maambukizi hayo. Lakini amesema kuwa hana dalili zozote na aliamua tu kupima kujua afya yake.
Niko hapa ikulu ya mtaa wa ufipa [emoji23]Hii serikali ya kishetani inakera sn ww jini......
Wasalimie hapo Jamhuri ya watu wa chato.....
Yule jamaa somehow yupo deep, jana nilijua ni uropokaji wake kumbe......Kigogo.alikwisha toa taarifa tokea jana!
Ndio maana kapotea mitaani.Ugonjwa upo kila mahali. Ni ngumu kujua aliupata wapi. Makonda nae anapambania afya yake.
Toa roho nikupeleke ununio.utanitoa roho mwenzio kama hiyo avatar ni wewe
BoraToa roho nikupeleke ununio.
Huyu mama ni dokta?
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Dkt Anna Mghwira ametangaza kukutwa na maambukizi ya virusi vya Corona baada ya kufanyiwa vipimo siku tatu zilizopita.
Mama Mghwira anasema kuwa hajui amepata wapi na lini maambukizi hayo. Lakini amesema kuwa hana dalili zozote na aliamua tu kupima kujua afya yake.