Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulu unina duhu kanyoo noya kukuchola ila tuzenga numba GamboshiHivi wewe nalya ke kutoka kwako ?Ulenichola chola sana. Nagugutwala Gamboshi. Lushindo lwako.
Habari bila source ni sawa na mipasho tu
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Dkt Anna Mghwira ametangaza kukutwa na maambukizi ya virusi vya Corona baada ya kufanyiwa vipimo siku tatu zilizopita.
Mama Mghwira anasema kuwa hajui amepata wapi na lini maambukizi hayo. Lakini amesema kuwa hana dalili zozote na aliamua tu kupima kujua afya yake.
Hivi wewe nalya ke kutoka kwako ?Ulenichola chola sana. Nagugutwala Gamboshi. Lushindo lwako.
Mama kesho twende amana tukapime woteUgonjwa upo kila mahali. Ni ngumu kujua aliupata wapi. Makonda nae anapambania afya yake.
Ohooooo !!!Kuna siku alikuwa anaongea na waandishi wa habari
Nikona hakuvaa mask ingawa alikuwa nayo
Mungu ampe afya njema
Tujilinde kwa mda wote View attachment 1434781
Sent from my iPhone using Tapatalk
👍👍💯✍️Mungu amlinde huyu Mama yetu ila Mungu hakikisha kuwa yule pilato wa Chato anapata Corona!
Si kila kitu upangiwe. Mengine ni kujiongeza.Amejitangazaje bila ruhusa ya Mwenyekiti au PM?
Mghwira kapanda nini akavuna nini?MUNGU hadhihakiwi, kile apandacho mtu ndicho atakachovuna
Data za serikali kipindi hiki zinapikwa sana.Kawaida tusitishane maana watu huwa kila siku hata kabla ya korona na wanaodai takwimu zinafichwa watupe hizo walizonanazo
Sent using Jamii Forums mobile app