barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Unalitumia jina la Mungu vibaya sana.MUNGU hadhihakiwi, kile apandacho mtu ndicho atakachovuna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unalitumia jina la Mungu vibaya sana.MUNGU hadhihakiwi, kile apandacho mtu ndicho atakachovuna
AmenUnalitia jina la Mungu vibaya sana.
Hahahaahahaaaa Faizaaaaaaaaaaa hahahahhaa tapeli wewe viwanja mbezi? hahahahahahha kama nakuona vile. Unavyoongea nakuona hapa na Mask yako
Hahahaa nimekuaoat tapeli la kimataifa kwa kivuli cha dini! Si unajifanya unajua kubadilisha mada? Mimi ni zaidi yako, naona akili zimekurudia sasa unataka turudi kwenye mada eeeh?Unanini cha iutapeliwa wewe?
Hoja zimekushinda uunaanza viroja na kubwabwaja na kuhororoja hovyo. Hata haya huna?
Unafanya kila njia kuuharibu uzi. Kisa? Umegaragazwa na viroja vyako.
Juzi nilisoma sehemu amejiweka karantini nikataka niipandishe humu nikaona mods watamaindi nikaachana nayo,kumbe kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kivileee...
Safi sana......vipi ww na bashite ndo wanufaika wakuu wa 1.5tn?Niko hapa ikulu ya mtaa wa ufipa [emoji23]
kuna uwezakano huo pia, kwani hata corona ana dalili zote za mafua pia. Soma...Mtu akiwa na mafua inamaana ana virusi!Sasa kila mwenye mafua akipimwa Corona anakutwa positive kwasababu ana virusi vya mafua???We bibi unazeeka vibaya!
So kwenye hao 480 unataka kusema sio kweli kwamba wamekutwa na Corona bali kuna ambao ni mafua tu ya kawaida?So unasema maabara zetu sio competent kwamba mtu anaweza pelekwa hospitali za Corona kwa vipimo visivyo sahihi ilihali ni mafua tu ya kawaida?We bibi unajua unachokiongea?kuna uwezakano huo pia, kwani hata corona ana dalili zote za mafua pia. Soma...
FIG. 2. Coronavirus and influenza virus (A and B combined) detection...
Amefanikiwa kutufikishia ujumbe kimatendo kabisa kuwa kuna watu wengi sana mitaani huko wanayo korona lakini hawana dalili zozote. Hao ukikumbana nao kwenye basi, sokoni, kanisani nk omba Mungu usiwe miongoni mwa wale watakaopata "changamoto ya upumuaji" maana ndiyo utaaga hivyoo!
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Dkt Anna Mghwira ametangaza kukutwa na maambukizi ya virusi vya Corona baada ya kufanyiwa vipimo siku tatu zilizopita.
Mama Mghwira anasema kuwa hajui amepata wapi na lini maambukizi hayo. Lakini amesema kuwa hana dalili zozote na aliamua tu kupima kujua afya yake.
No sitaki kusema hivyo. Ninachotaka kusema ni kuwa kuwa vipimo vyankuoimwa kama hauna symptoms za Corona inaweza kweli usiwe na Corona na pia inawezekana kuwanunae corona.So kwenye hao 480 unataka kusema sio kweli kwamba wamekutwa na Corona bali kuna ambao ni mafua tu ya kawaida?So unasema maabara zetu sio competent kwamba mtu anaweza pelekwa hospitali za Corona kwa vipimo visivyo sahihi ilihali ni mafua tu ya kawaida?We bibi unajua unachokiongea?
Nampongeza Mama kwa kuthamini afya yake na wanaomzunguka.Hapa tunaona faida ya kupima mapema na kuchukua tahadhari mapema.Amejitangazaje bila ruhusa ya Mwenyekiti au PM???
34 Esau aliposikia maneno ya babaye, akalia kilio kikubwa cha uchungu sana, akamwambia babaye, Nibariki na mimi, mimi nami, Ee babangu.Nampongeza Mama kwa kuthamini afya yake na wanaomzunguka.Hapa tunaona faida ya kupima mapema na kuchukua tahadhari mapema.
Utakuwa ushazeeka sana mama,saiv penyewe kilometa zinazosoma sio habaSitaki mchezo kabisa. Afya kwanza. Nataka kuona wajukuu,vitukuu na watoto wa vitukuu wangu.