RC Kilimanjaro, Dkt. Anna Mghwira atangaza kuambukizwa Virusi vya Corona - COVID-19

RC Kilimanjaro, Dkt. Anna Mghwira atangaza kuambukizwa Virusi vya Corona - COVID-19

Hahahaahahaaaa Faizaaaaaaaaaaa hahahahhaa tapeli wewe viwanja mbezi? hahahahahahha kama nakuona vile. Unavyoongea nakuona hapa na Mask yako

Unanini cha iutapeliwa wewe?

Hoja zimekushinda uunaanza viroja na kubwabwaja na kuhororoja hovyo. Hata haya huna?

Unafanya kila njia kuuharibu uzi. Kisa? Umegaragazwa na viroja vyako.

Hata unachosoma hukielewi, wapi nimeandika "mbezi"? Ujuha mwingine ni mzigo, kila unwpoona neno "beach" unajuwa ni "mbezi" tu. Kwi kwi kwi teh teh teh. Kuna beach zingine Tanzania hii siyo mbezi tu. Kalagabaho.
 
Unanini cha iutapeliwa wewe?

Hoja zimekushinda uunaanza viroja na kubwabwaja na kuhororoja hovyo. Hata haya huna?

Unafanya kila njia kuuharibu uzi. Kisa? Umegaragazwa na viroja vyako.
Hahahaa nimekuaoat tapeli la kimataifa kwa kivuli cha dini! Si unajifanya unajua kubadilisha mada? Mimi ni zaidi yako, naona akili zimekurudia sasa unataka turudi kwenye mada eeeh?

Usidhani watu wakinyamaza basi hawakuwezi, ghood kama umeona kuwa kuwa huwa unaharibu mada za watu kwa kuja na ujinga ujinga wako. Haya tuyaache haya nakuacha sasa. Pole ndio maisha yalivyo. Yameisha
 
FaizaFoxy,
Mtu akiwa na mafua inamaana ana virusi!Sasa kila mwenye mafua akipimwa Corona anakutwa positive kwasababu ana virusi vya mafua?

We bibi unazeeka vibaya!
 

Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Dkt Anna Mghwira ametangaza kukutwa na maambukizi ya virusi vya Corona baada ya kufanyiwa vipimo siku tatu zilizopita.

Mama Mghwira anasema kuwa hajui amepata wapi na lini maambukizi hayo. Lakini amesema kuwa hana dalili zozote na aliamua tu kupima kujua afya yake.
Amefanikiwa kutufikishia ujumbe kimatendo kabisa kuwa kuna watu wengi sana mitaani huko wanayo korona lakini hawana dalili zozote. Hao ukikumbana nao kwenye basi, sokoni, kanisani nk omba Mungu usiwe miongoni mwa wale watakaopata "changamoto ya upumuaji" maana ndiyo utaaga hivyoo!
 
So kwenye hao 480 unataka kusema sio kweli kwamba wamekutwa na Corona bali kuna ambao ni mafua tu ya kawaida?So unasema maabara zetu sio competent kwamba mtu anaweza pelekwa hospitali za Corona kwa vipimo visivyo sahihi ilihali ni mafua tu ya kawaida?We bibi unajua unachokiongea?
No sitaki kusema hivyo. Ninachotaka kusema ni kuwa kuwa vipimo vyankuoimwa kama hauna symptoms za Corona inaweza kweli usiwe na Corona na pia inawezekana kuwanunae corona.

Lakini cha muhimu ni kuchukuwa hatua zote za tahadhari uwe au usiwe nae mradi vipimo vinasoma upo positive Chukulia unae na ufaye masharti yote ya kujakikisha Una boost natural immunity itayonfanyw Corona adhibitiwe na kinga yako na au awe anaondoka mwilini haraka sana au anakuwa hana kabisa madhara mwilini mwako.

Corona yupo kweli.
 
Nampongeza Mama kwa kuthamini afya yake na wanaomzunguka.Hapa tunaona faida ya kupima mapema na kuchukua tahadhari mapema.
34 Esau aliposikia maneno ya babaye, akalia kilio kikubwa cha uchungu sana, akamwambia babaye, Nibariki na mimi, mimi nami, Ee babangu.
Mwanzo 27:34
 
Back
Top Bottom