KAYAFA MKUU
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 242
- 297
Hongera kwake kwa ujasiri,kwa kuwa ameishinda hofu,na hofu ndiyo ugonjwa mkubwa kuliko Corona,bila shaka atapona na kuwa kielelezo cha uwazi na ukweli kwa viongozi wenzake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wengine jamani mnatia vinyaa. Mtu kutangaza anajmwa anakatazwa na nani?Mungu amlinde huyu mama. Ujasiri wa kujitangaza katika nchi hii hakuna. Ameweka ajira yake kwenye mstari kwa kujitangaza. Yule bwana akimsikia sijui kama atamwacha.
Naona utofauti hapo!!"Dalili" na "symptomatic" tofauti yake nini?
The guy knows his shit! Nina wasiwasi sio mtu bali ni system nzima imekuwa created!Yule jamaa somehow yupo deep, jana nilijua ni uropokaji wake kumbe......
Get well soon madame Anna.
Mbona watu wanaponda sana Ndugu yangu? Tufanyeje sasa? Mnatuweka njia panda!!!Kukutwa 'positive" na vipimo vyetu vya corona hakumaanishi una Corona.
Kinaweza kuwa ni kirusi chochote. Cha kufanya ni kujifusha haraka sana na baada ya hapo kunywa mchanganyiko wa limao na tangawizi, uwe unakunywa moja kwa moja,
hiyo ina boost natural immunity yako na immunity yako inapambana na kirusi chochote ulichonacho haraka sana.
Wengine hawafahamu kuwa kujifusha kunakuongezea joto lamwili haraka na kuongeza joto la mwili ni njia nzuri sana ya ku boost natural immunity yako.
Kawaida tusitishane maana watu huwa kila siku hata kabla ya korona na wanaodai takwimu zinafichwa watupe hizo walizonanazo
Sent using Jamii Forums mobile app
Modes tunaomba sana mtuondolee haya maneno ya matusi-matusi. Kuna watu wengi wenye heshima zao humuNa samaki sharti aliwe pande zote mkuu,mpige kazi kisawasawa huyo.
Hivi wewe nalya ke kutoka kwako ?Ulenichola chola sana. Nagugutwala Gamboshi. Lushindo lwako.
Ohoooo!!! Uliza mambo yaliyotokea stand kuu ya mabasi Nyegezi Mwanza. MTU alidondoka watu wakalamba mbio kama swala wakidai alikuwa anapiga chafya mfululizo!!Nakushauri uache uzembe wa kutovaa barakoa, unaweza kupita sehemu mtu alipita akapiga chafya dakika 20 zilizopita, virusi viko hewani ukainhale hewa ikavipeleka moja kwa moja mapafuni bila kujijua.
Sanitizer ni kwa ajili ya virusi unavyovishika kwenye hard surface, mask ni kwa virusi vilivyoko hewani
Ok. Kumbe bado ni mgalatia?Hata mimi siipendi ila wapo baadhi ya watu kule wako makini pamoja na huyu. BTW huyu hayumo kwenye lile kundi.
Mkuu, Corona haichagui mtu, usidhani ni ya wale bali ni ya watu wote ikiwemo na wewe. Chukua hatua, jikinge na wakinge na wengineMUNGU hadhihakiwi, kile apandacho mtu ndicho atakachovuna
Angalia vizuri nimeandika ASYMPTOMATIC - HAUONYESHI DALILI..."Dalili" na "symptomatic" tofauti yake nini?
Aisee huyu mama ni mmoja wa wale wasio julikana? hapo hta kirusi chenyewe kitaogopaHahahaahahaaaa Faizaaaaaaaaaaa hahahahhaa tapeli wewe viwanja mbezi? hahahahahahha kama nakuona vile. Unavyoongea nakuona hapa na Mask yako
View attachment 1434947
Kuna siku alikuwa anaongea na waandishi wa habari
Nikona hakuvaa mask ingawa alikuwa nayo
Mungu ampe afya njema
Tujilinde kwa mda wote View attachment 1434781
Sent from my iPhone using Tapatalk
Mungu amlinde huyu Mama yetu ila Mungu hakikisha kuwa yule pilato wa Chato anapata Corona!