RC Kilimanjaro, Dkt. Anna Mghwira atangaza kuambukizwa Virusi vya Corona - COVID-19

RC Kilimanjaro, Dkt. Anna Mghwira atangaza kuambukizwa Virusi vya Corona - COVID-19

Unachanganya kuambukizwa corona, na kuugua covid-19 ni mambo mawili tofauti. Kwa maelezo haya, mama haumwi covid-19, ila anatembea akiwa ana maambukizi ya corona ambayo kutokana na wataalamu binaadamu anaweza kukaa nayo hadi siku 14 ndipo ama ataumwa, au hatoumwa.
Na wewe umechanganya.

Corona ni aina fulani ya virusi ambavyo vimegundulika na kupewa jina hilo miaka mingi iliyopita
Covid-19 ni "strain" fulani ya virus wa jamii ya corona. Huyu covid 19 kwa sasa ndio kashika kasi kwa hiyo tunamuita tu corona kama jamii yake ilivyo.

Mfano Chukulia kuwa Mbwa(kirusi) ni jamii ya wanyama, lakini mbwa wapo kabila nyingi tofauti.
 
Umekula za uso na kila mtu juu huko mpaka unaanza kubwabwaja na kuhororoja bila mpango, mara "tapeli", mara uweke picha ina mask.

Huko kote ni kushindwa hoja, tunawafahamu nyinyi. Na tuna nyinyi mpaka uchaguzi uishe tuchukuwe tena nchi kiulaini kabisa. Mna nini sasa hivi zaidi ya kukazania corona corona,mkishindwa mnaanza mara tapeli mara tapeli la Kimataifa. Utatapatapa kila namna.
Wewe huniwezi. Chezea hao wajukuu zako sio Mimi. Wewe ni tapeli,
aisee huyu mama ni mmoja wa wale wasio julikana? hapo hta kirusi chenyewe kitaogopa
Hahahaha Hahahaha
 
Wewe huniwezi. Chezea hao wajukuu zako sio Mimi. Wewe ni tapeli,

Hahahaha Hahahaha
Mnajulikana mkishindwa hoja mnamtukana kwa maneno ya kejeli na kishenzi hata Rais itakuwa mimi au Ana Mughira?

Juu huko umekuja na kejeli kwa huyu mama utafikiri wewe ndiye una ushirika na Mungu wako. Kwangu utadunda tu.

Punde utaijuwa nini nyungu aka kujifusha au kama asemavyo Magufuli "kujifukiza" Ati mpare unajifanya huijuwi.

Utakuwa ni mjinga wa kutupwa ambae huijuwi tiba ya kujifusha "steaming" ambayo dunia nzima wanaitumia mpaka kisayansi inakubalika, tena sana tu kwa maelfu ya miaka. Lakini mnaosomea ujinga ni mengi msiyoyajuwa, hatuwashangai, tutawapa darsa tu, ya hayo na mengi mengine. Tena shukuru leo umejifunza neno jipya kutoka kwangu, kuwa hiyo kujifusha aka nyungu kimombo ni "steaming".

Wewe sasa hivi huna hoja zaidi kwenye hii mada, umebamizwa kila kona, sasa njoo na uzushi, ushuzi, bwabwaja na kuhororoja upendavyo, watu washakuona fala tu. Huna zaidi.
 
Mnajulikana mkishindwa hoja mnamtukana kwa maneno ya kejeli na kishenzi hata Rais itakuwa mimi au Ana Mughira?

Juu huko umekuja na kejeli kwa huyu mama utafikiri wewe ndiye una ushirika na Mungu wako. Kwangu utadunda tu...
Hahahaha Fauza Maaa ya kujifukiza, naona unataka kunihamishia stress zako kwa kujifanya eti mnatukana Rais, huu ni ushenzi wa hali ya juu ulionao, wapi kwenye mabishano yangu mimi na wewe nimemtaja Rais? Acha ujinga wako wewe, simama kwenye hoja, wapi nimemtaja tangu tumeanza kulumbana mimi na wewe?

Sitaki mtu mnafiki aiseee kama umeshindwa usitake kuingiza watu wengine, huu ni ujinga na ushenzi wa hali ya juu! Hakuna sehemu hata moja nimemtaja, acha kuota wewe na kujifanya umefunga! Funga yako yote haina maana !Tena kama huwezi kuongea hadi uingize watu wengine you better shut up!
Umenikera sana wewe dume jike!
 
Tungekuwa na vipimo vya kutosha hakika takwimu ingeonesha kuwa watz wengi tun Corona jap haina madhara kwetu.
 
Me: Hallo mheshimiwa
Him: Hallo, habari yako
Me: Ni njema mheshimiwa, tunachapa kazi kwa DHATI kweri kweri, sema mh RC ndo anaumwa huku. Ana tatizo la upumuaji, AJIFUKIZE MAJANI GANI?
Him: Mipera na maganda ya malimao. Apige NYUNGU ya kutosha....
ME: Asante mheshiwa, Msalimie mtaalamu wa uvukizaji Dr. Kissenge..
Him: Hayakuhusu...
 
No wachache wenye Moyo huo wa kujiweka wazi. Mwenyezi Mungu amponye. Wengi hukaa kimya na ukimsema Sheria itachukua mkondo wake
 
Huyu mama ni uchochezi; karuhusiwa na nani kujitangaza ana Corona wakati anajua fika wanaotangaza Visa vyote chini ni watatu tu baada ya kuwasiliana na mmoja.

Mama sitashangaa nikukuona bechi.
 
Sitashangaa nikisikia amevuliwa cheo. Mkuu hataki kusikia publicity ya hii kitu kinaitwa Corona.
 
Huyu mama ni uchochezi; karuhusiwa na nani kujitangaza ana Corona wakati anajua fika wanaotangaza Visa vyote chini ni watatu tu baada ya kuwasiliana na mmoja.

Mama sitashangaa nikukuona bechi.
Mama kafanya kazi nzuri mno ya kusema ukweli na jasiri mkubwa huyu na ingewezekana akawa ndio mkuu kabisa kuliko yule aliyejificha kwao.
 
Mnajulikana mkishindwa hoja mnamtukana kwa maneno ya kejeli na kishenzi hata Rais itakuwa mimi au Ana Mughira?

Juu huko umekuja na kejeli kwa huyu mama utafikiri wewe ndiye una ushirika na Mungu wako. Kwangu utadunda tu.

Punde utaijuwa nini nyungu aka kujifusha au kama asemavyo Magufuli "kujifukiza" Ati mpare unajifanya huijuwi.

Utakuwa ni mjinga wa kutupwa ambae huijuwi tiba ya kujifusha "steaming" ambayo dunia nzima wanaitumia mpaka kisayansi inakubalika, tena sana tu kwa maelfu ya miaka. Lakini mnaosomea ujinga ni mengi msiyoyajuwa, hatuwashangai, tutawapa darsa tu, ya hayo na mengi mengine. Tena shukuru leo umejifunza neno jipya kutoka kwangu, kuwa hiyo kujifusha aka nyungu kimombo ni "steaming".

Wewe sasa hivi huna hoja zaidi kwenye hii mada, umebamizwa kila kona, sasa njoo na uzushi, ushuzi, bwabwaja na kuhororoja upendavyo, watu washakuona fala tu. Huna zaidi.
I guess wewe ni mtu ambaye uko middle aged probably with a good education too,kwanini unakuwaga na lugha zisizo na ustaarabu? Ni malezi au ni nini?
 
Back
Top Bottom