RC Makalla achana na Makonda vinginevyo utakwenda na maji

RC Makalla achana na Makonda vinginevyo utakwenda na maji

Baada ya ziara ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, ndugu Paul Makonda kufikia tamati huko Mkoani Mwanza, yapo maagizo halali ya Chama aliyoyaelekeza kwa Watendaji wa Serikali Mkoani humo wayatekeleze kwa maslahi mapana ya Wananchi.

Ajabu, Mkuu wa Mkoa huo ameanza kupuuza huku akimnanga bwana Makonda kwa kusema yeye atawajibika kwa Waziri Mkuu na Rais pekee na si vinginevyo.

Nakusihi ndugu yangu Makala, tafadhari, zizuie chuki zako ulizonazo kwa Makonda na pekee fanya ama tekeleza maagizo halali ya Chama kwako kama Mtendaji uliye chini ya CCM.

Wakati huu ni muhimu ukubaliane na halihalisi ya kuwa Makonda ni Kongozi wako wa Chama na kupuuza maagizo yake ni sawa na kukipuuza Chama!

Tenda ama tendwa. Chaguo ni lako.
Hii kitu ndio imempandisha Cheo Makala.
anajua uongozi na hierarch!
Hajali wala hatishiwi na jamaa siku zote yupo kwaajili ya Mama Tanganyika tofauti na wapora nyumba za GSM na wengine.
 
Eti Makala, chawa wa Makonda mpaka sasa wana amini mkuu wa Mkoa anaweza kumuagiza waziri mkuu.
Hawa chawa ilibidi wagaiwe ule mchele wa Msaada wa MAKAFIRI wa marekani medula zipate ufahamu.
 
Baada ya ziara ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, ndugu Paul Makonda kufikia tamati huko Mkoani Mwanza, yapo maagizo halali ya Chama aliyoyaelekeza kwa Watendaji wa Serikali Mkoani humo wayatekeleze kwa maslahi mapana ya Wananchi.

Ajabu, Mkuu wa Mkoa huo ameanza kupuuza huku akimnanga bwana Makonda kwa kusema yeye atawajibika kwa Waziri Mkuu na Rais pekee na si vinginevyo.

Nakusihi ndugu yangu Makala, tafadhari, zizuie chuki zako ulizonazo kwa Makonda na pekee fanya ama tekeleza maagizo halali ya Chama kwako kama Mtendaji uliye chini ya CCM.

Wakati huu ni muhimu ukubaliane na halihalisi ya kuwa Makonda ni Kongozi wako wa Chama na kupuuza maagizo yake ni sawa na kukipuuza Chama!

Tenda ama tendwa. Chaguo ni lako.
Mtoa post umesikia?
 
Baada ya ziara ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, ndugu Paul Makonda kufikia tamati huko Mkoani Mwanza, yapo maagizo halali ya Chama aliyoyaelekeza kwa Watendaji wa Serikali Mkoani humo wayatekeleze kwa maslahi mapana ya Wananchi.

Ajabu, Mkuu wa Mkoa huo ameanza kupuuza huku akimnanga bwana Makonda kwa kusema yeye atawajibika kwa Waziri Mkuu na Rais pekee na si vinginevyo.

Nakusihi ndugu yangu Makala, tafadhari, zizuie chuki zako ulizonazo kwa Makonda na pekee fanya ama tekeleza maagizo halali ya Chama kwako kama Mtendaji uliye chini ya CCM.

Wakati huu ni muhimu ukubaliane na halihalisi ya kuwa Makonda ni Kongozi wako wa Chama na kupuuza maagizo yake ni sawa na kukipuuza Chama!

Tenda ama tendwa. Chaguo ni lako.
Sasa Makonda naye ataagizwa na Makala.
Meza imepinduliwa
 
Wote hao ni wale wale tu !
Wamejaa kama pishi la mchele !
Na wanatucheza shere tu !
 
Baada ya ziara ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, ndugu Paul Makonda kufikia tamati huko Mkoani Mwanza, yapo maagizo halali ya Chama aliyoyaelekeza kwa Watendaji wa Serikali Mkoani humo wayatekeleze kwa maslahi mapana ya Wananchi.

Ajabu, Mkuu wa Mkoa huo ameanza kupuuza huku akimnanga bwana Makonda kwa kusema yeye atawajibika kwa Waziri Mkuu na Rais pekee na si vinginevyo.

Nakusihi ndugu yangu Makala, tafadhari, zizuie chuki zako ulizonazo kwa Makonda na pekee fanya ama tekeleza maagizo halali ya Chama kwako kama Mtendaji uliye chini ya CCM.

Wakati huu ni muhimu ukubaliane na halihalisi ya kuwa Makonda ni Kongozi wako wa Chama na kupuuza maagizo yake ni sawa na kukipuuza Chama!

Tenda ama tendwa. Chaguo ni lako.
Uzuri wa gwaride ukisikia nyuma geuka, wa Kwanza anajuwa wa mwisho na wa mwisho anakuwa wa Kwanza.

Ziara ya Kwanza ya Mwenezi Makala tunampangia Arusha aende kumpa maagizo Joyce wowowo.
 
Hii kitu ndio imempandisha Cheo Makala.
anajua uongozi na hierarch!
Hajali wala hatishiwi na jamaa siku zote yupo kwaajili ya Mama Tanganyika tofauti na wapora nyumba za GSM na wengine.
Ila Kasim Majaliwa ametia aibu Sana, Yani waziri mkuu mzima amekubali kuwa mnyonge Kwa Bashite?

Kuabudu madaraka ni kubaya Sana, Yani Majaliwa haamini kama kuna maisha nje ya uwaziri mkuu, ving'ora vimemzuzuwa kabisa.
 
Baada ya ziara ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, ndugu Paul Makonda kufikia tamati huko Mkoani Mwanza, yapo maagizo halali ya Chama aliyoyaelekeza kwa Watendaji wa Serikali Mkoani humo wayatekeleze kwa maslahi mapana ya Wananchi.

Ajabu, Mkuu wa Mkoa huo ameanza kupuuza huku akimnanga bwana Makonda kwa kusema yeye atawajibika kwa Waziri Mkuu na Rais pekee na si vinginevyo.

Nakusihi ndugu yangu Makala, tafadhari, zizuie chuki zako ulizonazo kwa Makonda na pekee fanya ama tekeleza maagizo halali ya Chama kwako kama Mtendaji uliye chini ya CCM.

Wakati huu ni muhimu ukubaliane na halihalisi ya kuwa Makonda ni Kongozi wako wa Chama na kupuuza maagizo yake ni sawa na kukipuuza Chama!

Tenda ama tendwa. Chaguo ni lako.
Nyie Bush Stars mliovamia mjini nadhani sasa mmeelewa
 
Makonda karudishwa na system kurekebisha mambo hasa Kanda ya Ziwa maana pale ndiyo penye mtaji wa kura na lijamaa limefanya kazi nzuri.Sasa wewe RC unaleta ngebe za kukwamisha mipango,si unaliwa kichwa asubuhi tu!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Acheni kuvamia miji ya watu nyie washamba.....ona sasa.
 
CHAWA unataka kumwambia RC-mwakilishi wa Rais Samia Jijini Mwanza atekeleze maagizo ya kajamba nane?

Unajua jambo fulani lifanyike na lisifanyike ni siri za rais na RC na huyo kajambanane hajui na wala hayupo kwenye mfumo na hapaswi kujua...?

Unamchukuliaje RC wa mkoa wowote, unataka kumlinganisha na mtu ambaye hata majukumu yake ya kazi si ya kutoa maagizo?

#Bastard.
Hawa Chawa tunawambia kila siku hawaelewi
 
WAtanzania Wachache hasa wenye mlengo wa Upinzani hatupendi kuona mtu mwenye mafanikio akiwa upande wa pili. Kwa sasa ukipita kwenye mitandao hasa JF utakuta Makonda anaanzishiwa nyuzi nyingi sana za matusi, lawama na kukatishwa tamaa. Kisa tu yupo kwenye CCM, Kama unaona natania tafuta nyuzi za LOWASA enzi akiwa CCM.. Na baadae usome nyuzi za LOWASA wa CDM.

Mind you... Watanzania tumekuwa brainwashed na Mlengo wa msukumo wa Ukereketwa wa Vyama vyetu vya Siasa. Hata mpinzani wake awe mzuri kiasi gani akiwa hai hamsifiii anasubiri afe ndipo aje atake hadi kuona kaburi.
We mwongo anapondwa kwa maovu yake......sasa kilichomkuta umekiona?

Acha uchawa wa kushabikia watu ambao Mungu kashawapiga Ban
 
WAtanzania Wachache hasa wenye mlengo wa Upinzani hatupendi kuona mtu mwenye mafanikio akiwa upande wa pili. Kwa sasa ukipita kwenye mitandao hasa JF utakuta Makonda anaanzishiwa nyuzi nyingi sana za matusi, lawama na kukatishwa tamaa. Kisa tu yupo kwenye CCM, Kama unaona natania tafuta nyuzi za LOWASA enzi akiwa CCM.. Na baadae usome nyuzi za LOWASA wa CDM.

Mind you... Watanzania tumekuwa brainwashed na Mlengo wa msukumo wa Ukereketwa wa Vyama vyetu vya Siasa. Hata mpinzani wake awe mzuri kiasi gani akiwa hai hamsifiii anasubiri afe ndipo aje atake hadi kuona kaburi.
BASHITE unamuita mtu mwenye mafanikio?
Mtu anayetuhumiwa damu za watu mikononi?
Mtu aliyepigwa ban kuingia MAREKANI sababu ikiwa ni kudhulumu maisha ya watu ?
Mtu aliyevamia CLOUDS MEDIA kwa mtutu akilazimisha fulani achafuliwe ?
Mtu anayetuhumiwa kumnanii....naniii kule Dodoma?


CHAWA ni wapuuzi sana nyie.
 
Baada ya ziara ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, ndugu Paul Makonda kufikia tamati huko Mkoani Mwanza, yapo maagizo halali ya Chama aliyoyaelekeza kwa Watendaji wa Serikali Mkoani humo wayatekeleze kwa maslahi mapana ya Wananchi.

Ajabu, Mkuu wa Mkoa huo ameanza kupuuza huku akimnanga bwana Makonda kwa kusema yeye atawajibika kwa Waziri Mkuu na Rais pekee na si vinginevyo.

Nakusihi ndugu yangu Makala, tafadhari, zizuie chuki zako ulizonazo kwa Makonda na pekee fanya ama tekeleza maagizo halali ya Chama kwako kama Mtendaji uliye chini ya CCM.

Wakati huu ni muhimu ukubaliane na halihalisi ya kuwa Makonda ni Kongozi wako wa Chama na kupuuza maagizo yake ni sawa na kukipuuza Chama!

Tenda ama tendwa. Chaguo ni lako.
Mkuu unaongeaje sasa.
Maagizo sasa atatoa Makal, na Makonda itabidi azingatie maagizo ya chama.
 
BASHITE unamuita mtu mwenye mafanikio?
Mtu anayetuhumiwa damu za watu mikononi?
Mtu aliyepigwa ban kuingia MAREKANI sababu ikiwa ni kudhulumu maisha ya watu ?

CHAWA ni wapuuzi sana nyie.
Yaani mtu akikuita chawa bora ufe anakuwa amekumaliza.....check huyo chawa anayoongea.
 
Kwakweli bado watoto wa mjini ndio wameshika mpini !

Lakini kila chenye mwanzo na mwisho upo tu. !
Just a matter of time .
Dunia ni rangilangire !🙏🙏
Ni kweli lkn siyo miaka ya karibuni. Labda rimoti ipotee
 
Siasa za kibongo ni za kipuuzi sana watu wenye akili tunakaa. mbali nazi
 
Back
Top Bottom