RC Makalla achana na Makonda vinginevyo utakwenda na maji

Hii kitu ndio imempandisha Cheo Makala.
anajua uongozi na hierarch!
Hajali wala hatishiwi na jamaa siku zote yupo kwaajili ya Mama Tanganyika tofauti na wapora nyumba za GSM na wengine.
 
Eti Makala, chawa wa Makonda mpaka sasa wana amini mkuu wa Mkoa anaweza kumuagiza waziri mkuu.
Hawa chawa ilibidi wagaiwe ule mchele wa Msaada wa MAKAFIRI wa marekani medula zipate ufahamu.
 
Mtoa post umesikia?
 
Sasa Makonda naye ataagizwa na Makala.
Meza imepinduliwa
 
Wote hao ni wale wale tu !
Wamejaa kama pishi la mchele !
Na wanatucheza shere tu !
 
Uzuri wa gwaride ukisikia nyuma geuka, wa Kwanza anajuwa wa mwisho na wa mwisho anakuwa wa Kwanza.

Ziara ya Kwanza ya Mwenezi Makala tunampangia Arusha aende kumpa maagizo Joyce wowowo.
 
Hii kitu ndio imempandisha Cheo Makala.
anajua uongozi na hierarch!
Hajali wala hatishiwi na jamaa siku zote yupo kwaajili ya Mama Tanganyika tofauti na wapora nyumba za GSM na wengine.
Ila Kasim Majaliwa ametia aibu Sana, Yani waziri mkuu mzima amekubali kuwa mnyonge Kwa Bashite?

Kuabudu madaraka ni kubaya Sana, Yani Majaliwa haamini kama kuna maisha nje ya uwaziri mkuu, ving'ora vimemzuzuwa kabisa.
 
Nyie Bush Stars mliovamia mjini nadhani sasa mmeelewa
 
Acheni kuvamia miji ya watu nyie washamba.....ona sasa.
 
Hawa Chawa tunawambia kila siku hawaelewi
 
We mwongo anapondwa kwa maovu yake......sasa kilichomkuta umekiona?

Acha uchawa wa kushabikia watu ambao Mungu kashawapiga Ban
 
BASHITE unamuita mtu mwenye mafanikio?
Mtu anayetuhumiwa damu za watu mikononi?
Mtu aliyepigwa ban kuingia MAREKANI sababu ikiwa ni kudhulumu maisha ya watu ?
Mtu aliyevamia CLOUDS MEDIA kwa mtutu akilazimisha fulani achafuliwe ?
Mtu anayetuhumiwa kumnanii....naniii kule Dodoma?


CHAWA ni wapuuzi sana nyie.
 
Mkuu unaongeaje sasa.
Maagizo sasa atatoa Makal, na Makonda itabidi azingatie maagizo ya chama.
 
BASHITE unamuita mtu mwenye mafanikio?
Mtu anayetuhumiwa damu za watu mikononi?
Mtu aliyepigwa ban kuingia MAREKANI sababu ikiwa ni kudhulumu maisha ya watu ?

CHAWA ni wapuuzi sana nyie.
Yaani mtu akikuita chawa bora ufe anakuwa amekumaliza.....check huyo chawa anayoongea.
 
Sasa ni zamu yake kutekeleza maagizo ya mtoto wa mjini...

Washamba wamewekwa pembeni na watoto wa mjini...
Ila wee babu una heka heka, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwakweli bado watoto wa mjini ndio wameshika mpini !

Lakini kila chenye mwanzo na mwisho upo tu. !
Just a matter of time .
Dunia ni rangilangire !🙏🙏
Ni kweli lkn siyo miaka ya karibuni. Labda rimoti ipotee
 
Siasa za kibongo ni za kipuuzi sana watu wenye akili tunakaa. mbali nazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…