RC Makalla atoa Wiki moja kukomeshwa biashara ya ngono, awataka Polisi kuvaa kiraia na kujifanya wateja

Haahah huyu nae sa hao askari si wanapewa mzigo tu tena bure kabisa tena wenyewe walivyo na ugwadu watamkamata nani? Hii biashara ni ya karne nyingi kabla hata ya mitume ni ngum sana kuitokomeza.
mhh! ulikuwepo ?🙄
 
Samahani mkuu kirefu cha "PGO" ni nini?
 
Kaka na dada waliozaliwa na baba mmoja na mama mmoja au? Kaka na dada wa bamdogo labda na wa bamkubwa
Tafuta humu. Mdada mmoja amejinyonga huko Singida. Kafumaniwa na mama mdogo akilala na baba mdogo. Tafuta, Mada hiyo imetoka Leo hii humu jf
 
Hawezi kuwatokomeza kamwe watawakamata ndio ila watatoka na pia wanambinu nyingi siku hizi, wanachotaka kufanya ni bei kupanda tu saiv buku tatu 1$ unachuja vizuri tu chumba chake ndom yake, sasa wakiwabuguth itabid guest kulipia elfu tano na wao elfu tano nafikir ubakaji utaongezeka
 
Polisi hawahawa wa night kali doria wakomeshe hii biashara
 
Tafuta chanzo cha tatizo, ufumbuzi utakuwa rahisi. Hakuna mwanamke kwa kawaida anapenda kujiuza. Ni kudharilika kulikopitiliza. Japo sasa ni shughuli rasmi, ikiwa mbadala kwa ukosefu wa shughuli nyingine yenye heshima kwa jamii.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Mnapotaka Kuwaondoa hawa Makahaba ( Malaya ) hapa Dar es Salaam Sisi tusiojua Kutongoza ( Domo Zege ) ila tunajua tu Kuwanunua na Kuwabandua mmetufikiriaje?
Tunaomba ufike kituo cha polisi tukupe maelekezo
 
Kwani makahaba wanakaa Road siku hizi
Makahaba wako kwenye maclub,majumbani nk
Na ukishawazuia makahaba kuingia kwwnye maclub,basi hapo ushaharibu biashara
Kuna biashara zingine zinaendana na anasa

Kwani siku hizi.ohio St,Tunisia Road kuna makahaba wanakaa

Ova
 
Dalili za kukosa ubunifu na kukosa kazi za kufanya.

Hii biashara imekuwapo hata kabla ya nabii Issa.

Hii biashara iko duniani kote na katika miji yote.

Wewe kama si mteja au mdau inakuhusu nini?

Hivi wa machinga kesha malizana nao?
Mtaka nyingi na saba hufikwa na mwingi msiba!

Muda upo, angeenda polepole na kwa uhakika kabisa!
 
Suala la biashara ya ngono kwa wanawake ni ngumu sana kudhibitiwa kwa sheria zilizopo,maana wakikamatwa watashtakiwa kama wazururaji na si watu wanaojiuza.

Mwaka 2012 suala hilo la kukamata Chagudoa lilizua sintofahamu iliyofikia kurushiana maneno baina ya aliyekuwa Kamanda wa Polisi Kinondoni Charles Kenyela na Wa Temeke Englibert Kiondo kwa namna kila mmoja alivyokuwa akiliendea.

Kiondo alitaka suala hilo lishughulikiwe kijamii zaidi kwa kuwa kuna sababu nyingi za kiwafanya wanaojiuza kujiuza na wanaonunua kununua.

Kenyela alitaka kukomesha kwa kuwakamata,lakini mwisho wa siku hakukuwa na kifungu kilichothibitisha kama yaliyokuwa yakifanyika ni biashara au makubaliano ya wapenzi na matokeo yake watuhumiwa walikuwa wanahamishiwa mahakama ya jiji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…