RC Makalla atoa Wiki moja kukomeshwa biashara ya ngono, awataka Polisi kuvaa kiraia na kujifanya wateja

RC Makalla atoa Wiki moja kukomeshwa biashara ya ngono, awataka Polisi kuvaa kiraia na kujifanya wateja

Kuna shida hapa. Hii sio njia ya kukamata, hii ni njia ya kumtishia mtu. Kwa maana nyingine ni kwamba wanaojiuza wamepewa 'warning' na sasa hivu watakuwa 'alerted' kwamba sio kila mtu anaevaa kiraia ni mteja wengine ni makachero
 
Hivi anawajua askari wake na matamanio yao ya kimwili?

Malaya/Changudoa ni jina baya, lakini ukiondoa jina hilo wapo wanaovutia kuliko hata wake za hao askari anaowatuma waende kiraia.

Siyo biashara nzuri, lakini haihitaji majukwaa kupambana nayo, ni suala la kimkakati zaidi.
 
Kuna mkuu fulani wa mkoa kila anachosema kinapuuzwa ,mara barakoa lazima,mara level seat,mara wamachinga,mara makahaba,hakuna hata mwenye muda naye
 
Huyu toka apewe jiji kafanya nini cha maana?..
Achana na ukahaba unatusaidia kupunguza mashoga na upo dunia nzima...
Polisi waache wasome PGO kwanza...
 
makalla-12-1080x570-1.jpeg

Picha: Mkuu wa Mkoa Amos Makalla

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla ametoa Wiki moja kwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi kuhakikisha wanadhibiti watu wote wanaofanya biashara ya Ngono kwenye eneo la Manzese Uwanja wa Fisi baada ya suala hilo kulalamikiwa na Wananchi.

Malalamiko hayo yametolewa wakati wa Mwendelezo wa ziara ya kusikiliza na kutatua Migogoro ya Wananchi Jimbo la Kinondoni ambapo wamedai kuwa imefikia hatua biashara hiyo inahusha pia utumikishaji wa kingono kwa watoto wadogo Jambo ambalo ni kinyume na sheria na maadili.

Kutokana na hilo RC Makalla amewaelekeza Jeshi la Polisi kuwatuma askari watakaovaa nguo za Kiraia na kuwanasa watu wote wanaofanya biashara ya ngono.

Aidha RC Makalla ameelekeza Viongozi wa kata na Mtaa huo kuhakikisha wanatoa ushirikiano wa kutosha kumaliza suala hilo.

Bongo Five
Tatizo police baadhi yao japo si wote, wakiwakamata machangu police hao hao wana wananiliii...na mwishoe kuwaachia. Mheshimiwa makala unda tim ya kuwachunguza police wanapokuwa wako kitaa.

Adui anageuka kuwa mteja
 
Amekosa mambo ya msingi ya kufanya? Kumbe mtu huyu yuko namna hii kichwani?
 
Jamani, jamani, tukubaliane. Dunia imebadilika. We can not rewind it! Ni sawa na mto. Mto umetoka Nyanda za juu kusini na Sasa Karibu unakaribia kuingia baharini (siku za mwisho. Kumbukeni siku za Nuhu), halafu Leo unataka kuurudisha mto Nyanda za juu kusini? It's quite impossible! Acha wanaojiuza. Nyumba zetu zimeficha maovu mengi sana! Ngono za hovyohovyo! Kaka na dada, mjomba sijui na nani, nk, nk. Dunia imekwisha jamani, tuamini hilo?
Kaka na dada waliozaliwa na baba mmoja na mama mmoja au? Kaka na dada wa bamdogo labda na wa bamkubwa
 
sasa mkuu yy kachukizwa na uwanja wa fisi tu mi nilifikiri anataka kukomesha hiyo kwenye jiji lote kama ni hivyo atakuwa anawaonea
 
Au litengwe eneo lao ili serikali ichukue kodi. Kuna wanaopata kitita cha pesa, TRA chukueni chenu.
 
Mnapotaka Kuwaondoa hawa Makahaba ( Malaya ) hapa Dar es Salaam Sisi tusiojua Kutongoza ( Domo Zege ) ila tunajua tu Kuwanunua na Kuwabandua mmetufikiriaje?
Msalimie @gentamy
 
makalla-12-1080x570-1.jpeg

Picha: Mkuu wa Mkoa Amos Makalla

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla ametoa Wiki moja kwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi kuhakikisha wanadhibiti watu wote wanaofanya biashara ya Ngono kwenye eneo la Manzese Uwanja wa Fisi baada ya suala hilo kulalamikiwa na Wananchi.

Malalamiko hayo yametolewa wakati wa Mwendelezo wa ziara ya kusikiliza na kutatua Migogoro ya Wananchi Jimbo la Kinondoni ambapo wamedai kuwa imefikia hatua biashara hiyo inahusha pia utumikishaji wa kingono kwa watoto wadogo Jambo ambalo ni kinyume na sheria na maadili.

Kutokana na hilo RC Makalla amewaelekeza Jeshi la Polisi kuwatuma askari watakaovaa nguo za Kiraia na kuwanasa watu wote wanaofanya biashara ya ngono.

Aidha RC Makalla ameelekeza Viongozi wa kata na Mtaa huo kuhakikisha wanatoa ushirikiano wa kutosha kumaliza suala hilo.

Bongo Five
Labda apeleke ma WP ndio watakamata hao machangu lakini hii midume ni rushwa ya ngono hapo tu.
 
Hao polisi hawawezi kuwakamata hao wadada mana ishu utakuja hao wadada watakapowauliza polisi wataje ni kifungu kipi Cha PGO kinachowapa mamlaka hayo. Hapo ndo kila polisi atatawanyika kwa njia yake mana Kibatala shule yake imefika kwa kila mmoja na kila mtu anajua kuwa adui wa polisi kwa sasa ni PGO. RC Makala watumie mgambo.
 
Back
Top Bottom