MWANDENDEULE
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 4,099
- 7,466
Gari 200 zikiwa full vijana kama wanatoka out zilitakiwa ziwe zinadrploy vijana maeneo ya uswahilini uswahilini hadi muda huu ndani ya mji nadhani watu wangelala na amani leoHAKUNA kitu hapo.solution NI kumwaga vijana wa JKT na JWTZ mitaani wazurure zurure TU waache kukaa makambini.
Mawazo ya kipuuzi kbs na mawazo km haya ndy wanakuwa Nayo polisi baadhi wakishapewa kazi ya kuingia mtaani kutafuta wahalifu..Hawa watoto sio wa kuwapeleka polisi...solution nzuri ni kumalizana kabisa ili tuheshimiane.....
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Unahangaika kupata kipato siku nzima yote. Ukirudi nyumbani vibaka aichukue yote na kukuua kisa unafanya kazi.Mkuu wa mkoa umetumia lugha ya busara ila najuwa ujumbe wako kama Raisi alivyosema jana mnahatarisha maisha ya watoto zenu. Hawa mkiwa na uhakika ni wao naomba pigeni risasi mbwa hawa na wacha wapige kelele lakini mna support kwa watu wastaarabu mambo ya kizamani hapa hayana nafasi wafundishe adabu you have full support. Mimi simuonei huruma kibaka hawa ni wauwaji wanaweza kuuwa mtu kwa simu tu ni wakati kuunga mkono mkuu wa mkoa na serikali fanyeni kazi kuwaondoa hawa katika ramani ya dunia hii, na akitokea mzazi kujiliza mchapeni bakora zake washenzi hawa.
Sasa sielewi unaweza vipi kuthibitisha huyu ndiye huyu siye? hebu tuambie. Hawa vijana ni washenzi na hwana huruma na mtu serikali ni lazima tena wamechelewa sana mpaka jana Raisi kaamua kuliongelea hadharani IGP Sirro ajitafakari kama anastahili kuwepo hapo. Police wana mapungufu yao lakini kwa hili nawaunga mkono 100% mkijuwa ndio hawa nawaomba msijaze jela zetu piga wacha wakawazike hakuna huruma katika hili kama wewe mzazi hujui mwanao yuko wapi na makundi gani usije kujilaumu. Mtoto akikaa na wavuta bangi na yeye kama mvuta bangi kama yuko na makundi haya ni hao hao hakuna cha haki ya binadamu wala nini tembeza kipigo sawasawa. tutajuwa mchele ni upi na mchanga upi mbele ya safari.Hii kauli inatia shaka sn..
Katika nchi za kiafrika,ukisikia kiongozi ameongea kauli km hii, kinachofuata hapo ni mateso Kwa wanaohusika na wasiohusika..nguvu unayotumika inakuwa nyingi sn alafu akili kisoda
Wengi waneuawa Kwa staili hii Kwa kisingizio cha neno "tunafanya operation maalum"
Hapa mzazi km Una mtoto wako wa kiume kuanzia 8-21 years,wiki hii mkataze mitoko ya jioni hasa mambo ya mipira ya 'chandimu'..polisi wanasomba wote wanakuwa ktk vikundi vikundi,mtajieleza mkifika kituoni
Naongea Kwa experience kubwa Kwa sababu nimekulia uswahili Temeke,tandika,Sheraton,maputo,relini,buza na viunga vyake..Enzi za Yule Askari mbabe wa kuitwa Tyson,jamaa anawakamata,kisha anawatembeza Kwa miguu na Pingu hawafungi alafu anauliza ambae anajiona ana ubavu wa kupigana na Mimi ajitokeze,akinishinda namruhusu asepe..sijui Yuko wapi Yule jamaa siku hizi
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Unatetea upuuzi kabisa. Unasema vijana wote maskini wawe wahalifu?Mawazo ya kipuuzi kbs na mawazo km haya ndy wanakuwa Nayo polisi baadhi wakishapewa kazi ya kuingia mtaani kutafuta wahalifu..
Enzi hizo za wahuni wa Temeke Mimi nimewahi kusombwa polisi kisa tupo kitaani tunacheza draft na polisi wanatafuta vikundi vya kihalifu
Wangekuwa na mawazo km yako wengi tungekufa bila hatia
Km umezaliwa uswahilini wanakotokea hawa panya road,mburahati,kigogo,manzese,tandika nk haiwezi kuepuka kukutwa na majanga ya kihalifu ktk safari ya maisha yako..
Hao watoto wamejikuta Tu wamezaliwa uswahilini,hawakujichagulia wao wenyewe ingawa uhalifu ni Jambo walilolichagua..Polisi wakiingia mtaani wanachojua wanaenda kukamata panya road uswahilini,sasa mara kadhaa inatokea wanakamatwa na wasiohusika..Je,kuua ni solution?? Fikiria tena mkuu!!
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Ngoja wakugundue watakutembelea mtaani kwako soon.....huwa wanatumia nusu saa tu ..polisi wanafika baada ya lisaa limojaMkuu wa mkoa umetumia lugha ya busara ila najuwa ujumbe wako kama Raisi alivyosema jana mnahatarisha maisha ya watoto zenu. Hawa mkiwa na uhakika ni wao naomba pigeni risasi mbwa hawa na wacha wapige kelele lakini mna support kwa watu wastaarabu mambo ya kizamani hapa hayana nafasi wafundishe adabu you have full support. Mimi simuonei huruma kibaka hawa ni wauwaji wanaweza kuuwa mtu kwa simu tu ni wakati kuunga mkono mkuu wa mkoa na serikali fanyeni kazi kuwaondoa hawa katika ramani ya dunia hii, na akitokea mzazi kujiliza mchapeni bakora zake washenzi hawa.
Kazi ya jwtz ni kulinda mipaka ya nchi,siyo panya road Wala kukusanya koroshoHii imekaa poa! Nadhani pale Mgulani wakitoa hata 100 wanatosha sana.
hiyo geresha tu nenda kituo cha polisi ukiangalia kwa JICHO LA TATU utagundua ni nenda WODI NAMBA 26View attachment 2208639
Yaani mbinu nzuri ingekuwa ile ya kipindi cha Augustino, mzazi au ndugu unapewa taarifa kachukue maiti sehemu fulani au mochuari.
Hiyo ya nenda kituo cha polisi imekaa kama ina upendo fulani hivi!.
We waache tu watabanikwaUnatetea upuuzi kabisa. Unasema vijana wote maskini wawe wahalifu?
We waache tu watabanikwa
Huku uraiani
We umeshashasikia kuna msako wa kuwakamata wahalifu halafu unaenda kukesha vijiweni unacheza draft..hapo ukikamatwa unamlaumu nani sasaMawazo ya kipuuzi kbs na mawazo km haya ndy wanakuwa Nayo polisi baadhi wakishapewa kazi ya kuingia mtaani kutafuta wahalifu..
Enzi hizo za wahuni wa Temeke Mimi nimewahi kusombwa polisi kisa tupo kitaani tunacheza draft na polisi wanatafuta vikundi vya kihalifu
Wangekuwa na mawazo km yako wengi tungekufa bila hatia
Km umezaliwa uswahilini wanakotokea hawa panya road,mburahati,kigogo,manzese,tandika nk haiwezi kuepuka kukutwa na majanga ya kihalifu ktk safari ya maisha yako..
Hao watoto wamejikuta Tu wamezaliwa uswahilini,hawakujichagulia wao wenyewe ingawa uhalifu ni Jambo walilolichagua..Polisi wakiingia mtaani wanachojua wanaenda kukamata panya road uswahilini,sasa mara kadhaa inatokea wanakamatwa na wasiohusika..Je,kuua ni solution?? Fikiria tena mkuu!!
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Hapana mkuu dhambi dini haipend acha achaa tutaikosa pepo fildausHawa watoto sio wa kuwapeleka polisi...solution nzuri ni kumalizana kabisa ili tuheshimiane.....
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Haha, kuna watu wapuuzi sana. Watadai haki za kibinadamu zinavunjwa. Za wengine wanaofata sheria, wanaoibiwa,kupigwa, kuuawawa, kutoweza kutembea kwa uhuru hazivunji.We umeshashasikia kuna msako wa kuwakamata wahalifu halafu unaenda kukesha vijiweni unacheza draft..hapo ukikamatwa unamlaumu nani sasa
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla amesema "Kuanzia leo, baada ya tamko langu leo, usiku wa leo na kuendelea hakuna 'Panya Road' atasalimika katika mkoa wa Dar, oparesheni inayoanza usiku wa leo si salama kwa 'Panya Road', oparesheni inayoanza leo inaenda kuua uti wa mgongo wa mtandao mzima wa 'Panya Road"
Ameongeza "Niwasihi wazazi kwamba operesheni hii haitowaacha watoto wao wahalifu, kama mzazi ulizoea kupata zawadi kwa mtoto, TV bila kujua kipato chake, akudanganye 'amebeti', kawatafuteni watoto wenu kwenye vituo vya Polisi kuanzia kesho"
Amesisitiza "Kila Wilaya kwa mikoa ya Kipolisi, kutoa taarifa za kila siku za Operesheni ondoa 'Panya Road' na kudhibiti uhalifu katika mkoa wa Dar es Salaam kila siku, toeni taarifa tusipotoa taarifa watazitoa taarifa mbaya"
Ameyasema hayo siku moja baada ya kundi hilo la uvamizi kuvamia na kujeruhi watu 19 katika Maenel ya Mtongani, Kunduchi mkoani humo