RC Makalla: Kuanzia usiku wa leo hakuna Panya Road atasalimika, operesheni inayoanza si salama kwao

Hizo link za zoom ni za mda kidogo,nlifikiri ungenitajia duka maalum wanalouza recently
Kwakweli mkuu hata mie sijawahi kuzinunua kwa bongo. Mie nimezifahamu kutokana na kujifunza kwangu mbinu za self defense huku duniani. Kwahiyo jaribu tu kuulizia huenda ukazipata kwa hapo Dar.
 
Hakuna haki za binadam kwa majambazi.
 
Unaambiwa ni vijana wa 14- 18 years. Wanavuta bangi, kunywa pombe na kutumia madawa mengine ya kulevya. Umri huu ni kuwa wamekosa ajira ama wameasi masomo na kuingia mtaani kufanya uhalifu?

Umekwisema "unaambiwa" hivyo basi hujui ukweli kuhusu umri wao. Hata kama huo ndio umri wao, nani anahusika kuwaweka katika hali hiyo ya kuvuta bangi, kunywa pombe na kutumia madawa ya kulevya? Wahusika ndio wakushughulikia, la, Taifa litaendelea kuzalisha aina hiyo ya vijana.
 
Police walilala mbele
 
View attachment 2208639

Yaani mbinu nzuri ingekuwa ile ya kipindi cha Augustino, mzazi au ndugu unapewa taarifa kachukue maiti sehemu fulani au mochuari.

Hiyo ya nenda kituo cha polisi imekaa kama ina upendo fulani hivi!.

Fasihi imehusika. Subiri kufikia Jumamosi tutasoma nyuzi nyingi za matokeo ++ya kauli hii.

Wale wa Cuba-class of 'msamiati' tuelewane.
 
Upuuzi huu wa Viongozi wa kufanya Kazi kwa Mihemko na Zima Moto style utaukuta Tanzania tu kati ya nchi zote zilizoko duniani.
 
Na iende kuwa operesheni endelevu na yenye kuleta matokeo chanya maana tatizo limekuwa likijirudia mara kwa mara !!
Mbona unacomment kama vile ni tamko la leo?
Angalia tarehe
 
Ndio kusema panya wanatawala mpaka sasa, mkuu wa mkoa ana hoja gani?
 
Kama Hawa watoto wameanza kuua.wala sio wa kuonewa huruma.niwakuchemshwa supu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…