Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Nani aliviweka? Je Machinga Complex Magari hayapaki barabarani?Yanapaki barabarani vile siyo vituo bwashee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani aliviweka? Je Machinga Complex Magari hayapaki barabarani?Yanapaki barabarani vile siyo vituo bwashee.
Kiuhalisia daladala zitaishia Gerezani!Nani aliviweka? Je Machinga Complex Magari hayapaki barabarani?
Usiwe boya poti. Hao wachuuzi waondolewe tu mji ubaki safiYaani Nia yangu ninkwenda Kariakoo, wewe unipeleke Machinga complex. Huyu ni Makala au Sakala?
Ajifunze kuheshimu haki za raia, sio kutupelekesha kiboya atakavyo
Kesho wataondolewa kwa lazima!Brother kariakoor bado kuchafu sana. Machinga hawajatoka
Kwani hajui kama wafanyabiashara walishindwa kupanga kwenye yale majengo sababu baada ya kukamilika vigogo wenzie walikodi kutoka nssf wakaanza kuwachaji wapangaji kwa pesa nyingi?Kabla hajazipeleka atanue kwanza barabara na ajenge kituo.
Hizo za kigambonj tu zishajaza eneo na kusababisha msongamano. Tatizo la machinga komplex hakuna nafasi ya kufanyia biashara. Mitaa yote inayozunguka yale majengo kuna vituo vya daladala na kutoka maeneo karibu yote ya Dar
LAkini kuna parking ya magari!Kariakoo hakuna vituo vya daladala!
Mbona wa kigamboni, chanika , machimbo , kisarawe ,viwandani na kitunda wanashukia machinga complex , sema kile kituo ni kidogo tu , ila sio mbali kama unavyoongea wwUnalijua joto la Dar na msongamano wa watu kuanzia Machinga Complex Hadi Kariakoo?
NdioKuna daladala inayoishia Kariakoo?
Ongeza na MabiboMagari ya Kawe, Makumbusho, Masaki, na Tegeta yanapaki inbox?
Hapo Machinga zinapaki wapi??Punguza povu..utachukua boda au bajaji kufika k.koo..pia kutembea sio mbaya kuweka mwili fit.
#MaendeleoHayanaChama
Hao watu hua wanalazimika kuja karume kupanda gari zinazoenda Muhimbili kwa wanao elekea msimbazi au Mnazi mmoja kwa wanao elekea congo ,ndio zinazo waingiza k/kooMbona wa kigamboni, chanika , machimbo , kisarawe ,viwandani na kitunda wanashukia machinga complex , sema kile kituo ni kidogo tu , ila sio mbali kama unavyoongea ww
Zipo kibao...toka kila kona ya mji labda kasoro toka Mbezi Mwisho na KigamboniKuna daladala inayoishia Kariakoo?
Kariakoo hakuna vituo vya daladala!
Miaka yote daladala mnaziangaliaga tu kupaki vituo visivyo rasmi? Na hata la makala lengo sio kutoa vituo vya daladala kwasaab hakuna vituo rasmi, lengo ni kusogeza daladala kwaajil ya machinga 😂😂😂😂.Yanapaki barabarani vile siyo vituo bwashee.