RC Makalla: Nitaongea na Wadau ili daladala zinazoishia Kariakoo ziwe zinaishia Machinga Complex kesho ni mwisho wa kuhama!

RC Makalla: Nitaongea na Wadau ili daladala zinazoishia Kariakoo ziwe zinaishia Machinga Complex kesho ni mwisho wa kuhama!

Tayari huko. Mmoja wa migambo mnaowatuma kachezea huko mtaa wa swahili kapelekwa muhimbili mahututi . Kama hata_survive itabidi makala atunze familia yake. Hii ni vita kweli.
Ohho kimenuka? Tukio limetokea Swahili na mtaa gani?
 
Mzee Amos makala ni mtendaji mzuri sana shida yupo na chama ambacho si sahihi.

Unajua ili uweze kung'aa na uwezo au kipaji chako ni lazima uwe sehemu sahihi. Mtendaji mzuri sifa yake ya kwanza ni kusimamia utaratibu regardless watu mtamuonaje. Akitumika vibaya mtamchukia, akitumika vizuri mtampenda.
Tangu lini Amos Makalla akawa mzee?!
 
Kadhalika Makalla amesema ataongea na wadau wa Usafiri ili daladala zote zinazoishia Kariakoo ziwe zinaishia Machinga Complex ili kuchangamsha biashara katika eneo hilo.
Huo utakuwa unyanyasaji wa abiria..
Mtu anatoka Tegeta anaenda sokoni K'koo, unampeleka machinga complex kufanya mini?
 
Leo ndio mmeona madhara yao ila mmesahau matatizo ya kukosa mipangilio kwenye miji ndio mnashtuka .

Maana walipewa backup eti wakae popote sababu ndio wapiga kura
 
Back
Top Bottom