Shoctopus
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 3,434
- 1,985
Hii ni dalili ya zoezi kukwama.
Machinga complex sio soko na haliwezi kuwa solution ya tatizo.
Huwezi kutatua problem kwa kuihamisha hamisha au kwa kubuni uozo mwingine. Hapa namaanisha kupeleka daladala 'machcomp' ni kuongeza traffic jams eneo hilo.
Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
Machinga complex sio soko na haliwezi kuwa solution ya tatizo.
Huwezi kutatua problem kwa kuihamisha hamisha au kwa kubuni uozo mwingine. Hapa namaanisha kupeleka daladala 'machcomp' ni kuongeza traffic jams eneo hilo.
Sent from my G80 using JamiiForums mobile app