Na nakuthibitishia hawajatoka...wakitumia nguvu vurugu zitazuka...Mimi siendi huko kariakoo Wala city centre it is potentially very dangerous at the moment...Brother kariakoor bado kuchafu sana. Machinga hawajatoka
Hapana2030.. Twende na Membe
Akili za mlipuko zezeta, poor management, failure to manage the unexpected, failure to think expansively, traggedy of the commons and common of the traggedy. Mentally decomposing leaders at work.Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla amesema wamachinga waliogoma kuhama wataondolewa kwa lazima na vibanda vyao kuhamishwa. Kesho 30/10/2021 ndio siku ya mwisho kwa wamachinga wite kuhamia maeneo rasmi.
Kadhalika Makalla amesema ataongea na wadau wa Usafiri ili daladala zote zinazoishia Kariakoo ziwe zinaishia Machinga Complex ili kuchangamsha biashara katika eneo hilo.
Source: ITV habari
Ukweli ni kwamba hakuna daladala terminal kariakoo, ile terminal ambayo ilikuwepo gerezani imechukuliwa na Udart mwendokasi.Kuna daladala kibao zinaishia na kuanzia safari zake Kariakoo! Njoo field ujionee.
Mzee Amos makala ni mtendaji mzuri sana shida yupo na chama ambacho si sahihi.Akili za mlipuko zezeta, poor management, failure to manage the unexpected, failure to think expansively, traggedy of the commons and common of the traggedy. Mentally decomposing leaders at work.
Shehena ya mabasi mapya ya Mwendokasi ikiingia daladala zitaishia huko huko pembezoni!Ukweli ni kwamba hakuna daladala terminal kariakoo, ile terminal ambayo ilikuwepo gerezani imechukuliwa na Udart mwendokasi.
nyingi sana na zinapakia Kariakoo.Kuna daladala inayoishia Kariakoo?
Umedata[emoji54][emoji54][emoji54] kasema ziishie machinaYaani Nia yangu ninkwenda Kariakoo, wewe unipeleke Machinga complex. Huyu ni Makala au Sakala?
Ajifunze kuheshimu haki za raia, sio kutupelekesha kiboya atakavyo
Roho mbaya ya mwafrikaMbezi Beach huku bado kwenye residential plots bado wamejaa!! Makalla usipowaondoa hao utakuwa umelikoroga na hapo lazima awajibike diwani wa Kawe na wenyeviti wa mitaa husika kwani wao ni wadau wa hizi biashara ndio maana wana hujumu zoezi!.
Sasa Makalla usikae ofisini na kuitisha press conference tu, njo mtaani uone live!
Njoo na ushahidi kuonyesha machinga analipa kodi TRAMoja ya kosa tunalofanya ni kufikiri. Machinga hawalipi kodi..
La maana sana ni walikuwa wapiga kura wa mwendazake akawatengenezea vitambusho akawauzia akapiga pesa za kutosha baada ya hapo machinga wakawa hawatawaliki hata kwenye mifereji ya barabarani waliweka vibanda vyaoHivi hao Machinga wana lipi la maana hadi wawe kama wanabembelezwa wakati raia walipa kodi hawana upendeleo wowote kama hao wakepa kodi
Roho mbaya ya mwafrika
Zipo nyingi sanaKuna daladala inayoishia Kariakoo?
Hata hivyo hakuna kibali kinachotolewa sasa kwa daladala kuishia kariakoo ila zote zinaishia gerezani au machinga complex, ukiona daladala inaishi either kariakoo elewa sheria haija simamiwa ipasavyo.Yaani Nia yangu ninkwenda Kariakoo, wewe unipeleke Machinga complex. Huyu ni Makala au Sakala?
Ajifunze kuheshimu haki za raia, sio kutupelekesha kiboya atakavyo
Eenhee! Mnataka kila mtu awe shoeshiner mjini!? Au ndio yale ya kupunguza msongamano magerezani kwa kuondoa wezi wa kuku na kujaza machinga!? Huyo anayejiita makala hata mbeya alitusumbua sana sisi machinga. Machinga wa dsm tafuteni namna ya kupambana naye, kwa kuwa akili hana huyo jamaa.
Tayari huko. Mmoja wa migambo mnaowatuma kachezea huko mtaa wa swahili kapelekwa muhimbili mahututi . Kama hata_survive itabidi makala atunze familia yake. Hii ni vita kweli.Watapigwa tu hakuna namna.