Premij canoon
JF-Expert Member
- May 27, 2018
- 1,203
- 2,771
Ohho kimenuka? Tukio limetokea Swahili na mtaa gani?Tayari huko. Mmoja wa migambo mnaowatuma kachezea huko mtaa wa swahili kapelekwa muhimbili mahututi . Kama hata_survive itabidi makala atunze familia yake. Hii ni vita kweli.
Tangu lini Amos Makalla akawa mzee?!Mzee Amos makala ni mtendaji mzuri sana shida yupo na chama ambacho si sahihi.
Unajua ili uweze kung'aa na uwezo au kipaji chako ni lazima uwe sehemu sahihi. Mtendaji mzuri sifa yake ya kwanza ni kusimamia utaratibu regardless watu mtamuonaje. Akitumika vibaya mtamchukia, akitumika vizuri mtampenda.
CCM haitegemei kura za machinga, inategemea wiziMachina watarudi tena tukikaribia uchaguzi.
Hilo ni jambo la muda tu.
Huo utakuwa unyanyasaji wa abiria..Kadhalika Makalla amesema ataongea na wadau wa Usafiri ili daladala zote zinazoishia Kariakoo ziwe zinaishia Machinga Complex ili kuchangamsha biashara katika eneo hilo.
Kariakoo hakuna vituo vya daladala!Huo utakuwa unyanyasaji wa abiria..
Mtu anatoka Tegeta anaenda sokoni K'koo, unampeleka machinga complex kufanya mini?
Mkuu kariakoo na machinga kuna umbali gani?Yaani Nia yangu ninkwenda Kariakoo, wewe unipeleke Machinga complex. Huyu ni Makala au Sakala?
Ajifunze kuheshimu haki za raia, sio kutupelekesha kiboya atakavyo
Membe huyuhuyu wa Musiba au mwanae?2030.. Twende na Membe
Wa ACT wazalendo!Membe huyuhuyu wa Musiba au mwanae?
Zitakapopaki zingneHapo Machinga zinapaki wapi??