ngongoti2000
JF-Expert Member
- Nov 20, 2017
- 2,236
- 2,142
Wote tumeona kwamba mkuu wa mkoa RC Makalla na serikali kwa ujumla wamewakomalia wamachinga waondoke maeneo ambayo hawatakiwi kisheria.
Hiyo sawa; lakini kuna suala hili la mbuzi wa Dar ambao wanajichunga wenyewe Magomeni, Mbagala, Mbezi, Shekilango nk ambao nao wanaleta uchafuzi wa mazingira na sintofahamu ukizingatia wanajichunga wenyewe pamoja na kuwa na uwezo wa kufuata sheria za usalama barabarani kama trafic lights, zebra nk.
Lakini, hatujawahi sikia serikali ikitoa tamko juu ya hawa jamaa na sasa wanazidi kuongezeka mjini Dar. Labda RC Makalla angetuambia kwanini na hii mifugo isifukuzwe mitaani ili ikakae maeneo yanayowahusu kama walivyofanyiwa wamachinga?
Hiyo sawa; lakini kuna suala hili la mbuzi wa Dar ambao wanajichunga wenyewe Magomeni, Mbagala, Mbezi, Shekilango nk ambao nao wanaleta uchafuzi wa mazingira na sintofahamu ukizingatia wanajichunga wenyewe pamoja na kuwa na uwezo wa kufuata sheria za usalama barabarani kama trafic lights, zebra nk.
Lakini, hatujawahi sikia serikali ikitoa tamko juu ya hawa jamaa na sasa wanazidi kuongezeka mjini Dar. Labda RC Makalla angetuambia kwanini na hii mifugo isifukuzwe mitaani ili ikakae maeneo yanayowahusu kama walivyofanyiwa wamachinga?