RC Makalla umeyamaliza ya wamachinga, lakini vipi kuhusu Mbuzi wazururaji wa Dar?

RC Makalla umeyamaliza ya wamachinga, lakini vipi kuhusu Mbuzi wazururaji wa Dar?

Tatizo la mbuzi wengi wa Dar, sio mbuzi kama mbuzi.

Wale ni binadamu ndio maana wanavuka barabara kwenye zebra, wanajua kufuata mataa ya kuongozea magari, wanaenda makaburini kuwaombea marehemu, wanakula nyama na mikate nk nk nk

Kama huamini siku moja jifanye kama zuzu umkamate mmoja afu umcharaze bakora. Ila usije ukasema sijakuonya
Kama nguruwe wa Mbeya. 😂
 
kama ni wa mpemba mbona wanallala barabarani usiku! wa manane huwa nawaona wale niko bwiii!
 
wale ni rahisi sana kuwa iba!! kamata mbayu wayu! then vua nguo zote nenda kinyume nyume kuwaelekea lazima wakufuate tu!! then mbio!! na wao mbio kukufuata! hakikisha unapo fanya hili zoezi hakuoni mtu!
 
Acha Imani potofu, hakuna cha mpemba wala nini, ni ujinga tu unawasumbua wengi kuamini uchawi wakati haupo, jifunze tabia za wanadamu na viumbe wengine, halafu jifunze jinsi mfumo wa dunia unavyo fanya kazi ili uondokane na Imani potofu
Trust me, unaweza kuta wewe ni mchawi pia. Binadamu ni wanafiki sana
 
Back
Top Bottom