Huko Arusha Mkuu wa Mkoa huo Paul Makonda ameagiza kupewa kipaumbele kwa Viongozi wa dini na Wazee wote wa Mkoa wa Arusha pale watakapokuwa kwenye Ofisi zote za Umma Mkoani humo kwa ajili ya kutafuta huduma.
Mbele ya waumini wa Msikiti Mkuu wa Bondeni Jijini Arusha mwisho wa wiki, Ijumaa Oktoba 25, 2024, Makonda alisema: "Nawaomba viongozi wote wa Serikali hakuna kiongozi wa dini wala mzee wa Mkoa wa Arusha anayestahili kapanga foleni kwenye ofisi yoyote ya Umma anapotafuta huduma, Wazee wa miaka 60 wao wakifika wanaenda moja kwa moja kwenye ofisi, haya ni maagizo yangu"
Hapana, hii haikubaliki kabisa,
Huku ni kuchochea vurugu katika utoaji wa huduma katika ofisi za umma, hii nchi sio watu wote wana dini au wanaziheshimu hizi dini.
Huko Arusha Mkuu wa Mkoa huo Paul Makonda ameagiza kupewa kipaumbele kwa Viongozi wa dini na Wazee wote wa Mkoa wa Arusha pale watakapokuwa kwenye Ofisi zote za Umma Mkoani humo kwa ajili ya kutafuta huduma.
Mbele ya waumini wa Msikiti Mkuu wa Bondeni Jijini Arusha mwisho wa wiki, Ijumaa Oktoba 25, 2024, Makonda alisema: "Nawaomba viongozi wote wa Serikali hakuna kiongozi wa dini wala mzee wa Mkoa wa Arusha anayestahili kapanga foleni kwenye ofisi yoyote ya Umma anapotafuta huduma, Wazee wa miaka 60 wao wakifika wanaenda moja kwa moja kwenye ofisi, haya ni maagizo yangu"
Huko Arusha Mkuu wa Mkoa huo Paul Makonda ameagiza kupewa kipaumbele kwa Viongozi wa dini na Wazee wote wa Mkoa wa Arusha pale watakapokuwa kwenye Ofisi zote za Umma Mkoani humo kwa ajili ya kutafuta huduma.
Mbele ya waumini wa Msikiti Mkuu wa Bondeni Jijini Arusha mwisho wa wiki, Ijumaa Oktoba 25, 2024, Makonda alisema: "Nawaomba viongozi wote wa Serikali hakuna kiongozi wa dini wala mzee wa Mkoa wa Arusha anayestahili kapanga foleni kwenye ofisi yoyote ya Umma anapotafuta huduma, Wazee wa miaka 60 wao wakifika wanaenda moja kwa moja kwenye ofisi, haya ni maagizo yangu"