Tetesi: RC Makonda ajimilikisha ekari 22.3 mkoani Dodoma, sawa na ukubwa wa viwanja 15 vya Soka

Kwa mkuu wa mkoa kumiliki viwanja au ekari hizo 22 sio jambo la ajabu
Shida kama kavipata hisivyo halali
 
Tatizo ni hulka ya ulafi, inakinzana na maadili ya utumishi
 
Sheria inataka aridhi uiendeleze ndani ya 36 month, ukishindwa unanyanganywa, je anaweza iendeleza??
 
Tulipoua Azimio la Arusha na misingi yake na kulipokea Azimio la Zanzibar, sisi wenye akili tulijua kuwa mwanzo wa utajiri kufuru unaingia Tanzania.
Kiongozi wa Umma hakujilimbikizia mali ( iwe amenunua,amerithi au amepora)
Tukamuona Julius Nyerere ni mhafidhina. Mzee aliona mbali.
Mwifwa! Paulo makonda alijaza fomu kuomba viwanja( vilitangazwa na mamlaka halali), akatafuta fedha ( kukopa kwenye taasisi za fedha) akalipia viwanja na kukabidhiwa viwanja vyake kihalali.
Analipa kodi ya ardhi na riba zake.
Kumsema huku itaonekana tuna wivu wa kimaskini.
Itaonekana chuki binafsi


Sent using Jamii Forums mobile app
 
yale yaliyo semwa ....kuwa Yajayo yanafurahisa nadhani yameanza kuwadiaa kidogo kidogo na yanafurahisa kwel kwel.....nausubir tena muda wa watu kupata tabu kwel kwel naona unawadia after 2020
 
ushahamisha goli
maskini bana
Wapi nimehamisha goli wewe mtumwa wa Bashite? Tatizo lenu vichwa mnavyo ila matumizi ndio tatizo, hakuna mtu anashida na Bashite kununua viwanja au kumiliki mali ila tatizo lipo kwenye uwazi katika umiliki kama sheria inavyomtaka kutamka kama kiongozi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha wehu, hiyo ni bei ya kulipia land rent sio kununua kiwanja. Ili ujue bei ya viwanja chukua hizo sqm zidisha na bei ya kawaida ya kiwanja i.e price per sqm katika eneo husika. Mfano kama bei ya kiwanja ni Tzs 5,000 per sqm basi zidisha hiyo na hizo total sqm. Hivi shule mnasomea ujinga?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Keshokutwa uje tena kutetea. Final glade wewe!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

kanunua lini?

wapi hajadeclare?..weka uthibitisho

lini inapaswa mtu atoe taarifa baada ya kununua?

mengine yako

kama huna any evidence, sheria, kanuni....unabwabwaja
 
kanunua lini?

wapi hajadeclare?..weka uthibitisho

lini inapaswa mtu atoe taarifa baada ya kununua?

mengine yako

kama huna any evidence, sheria, kanuni....unabwabwaja
Sasa kumbe hujui either ame declare au hajafanya hivyo unabwabwaja nini hapa?
Na ni jukumu langu kukuonyesha kama haja declare au ni lako wewe unayetaka uthibitisho?
Mimi nimeamini hivyo sasa wewe usiyeamini hivyo kwanini usiende kutafuta uthibitisho wako ukauweka hapa kama unona hiyo ndio njia nzuri?
Ujifunze siku nyingine kupinga kama umeamua kupinga kwa kumuwekea ushahidi aliyesema tofauti na unachojua wewe.
Simply ni jukumu lako wewe mfuasi wa Bashite kutuambia viwanja hivyo amevitaja kwenye orodha ya mali anazomiliki, sisi tunasema hajavitaja kama unaona tunamuonea kashtaki kwake sisi tunaojua tutakuja kumthibitishia yeye mwenyewe Bashite sio wewe mtumishi wake wa ndani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja niwaambie kitu kimoja, kuwa na mali ya udhalim ni dhambi kubwa sanaa, lakini ktk siku za leo kuna watu wanaofikilia kuwa kila kiongozi mwenye mali amepata kwa udhalimu, hii hapana, ukiwa mwaminifu ktk Mungu, Mungu huwa anabariki, mfano, humpa mtu mawazo mema ya kutambua fulsa na akisha itambua fulsa pia hulinda kipato cha mtu, hii ninamaanakuwa utashangaa mtu anakipato kidogo lakini anafanya mambo ya maendeleo kuliko yule mwenye kipato kikubwa, kuna watu wengine au wenye mamlaka wanatumia pesa hovyo , lakini wengine huwa wanajinyima sana na wanakitunza kile wanachokipata, sasa kwanini hawa wanaojinyima wasiwe na mafanikio?hata ktk maofisi watu kama hawa wapo,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu dogo anaangaika hata anunue wilaya nzima ya Chamwino sawa.
Ila ninachoamini mimi baada ya kipara kuondoka magogoni dogo hatokua na haki hata ya kupalilia kitalu cha hayo maeneo hayo ...zaidi ya kuozea jela au kuliwa kichwa.
Unless ni heri awekeze hivo viwanja ughaibuni / uhamishoni maana ndo itakua sehemu salama kwake kuishi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…