mr chopa
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 5,297
- 13,678
Hawapo karantini wanazurura mitaani na kwenye mabaraIla si wapo karantini? Daah, sometimes huwa nawaza sijui wengine huwa wataishi milele?
Nashauri viongoz wawe na akiba ya maneno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawapo karantini wanazurura mitaani na kwenye mabaraIla si wapo karantini? Daah, sometimes huwa nawaza sijui wengine huwa wataishi milele?
Nashauri viongoz wawe na akiba ya maneno
Halafu wanazurura mitaani na kushinda kwenye mabaraUpinzani wa hovyo mno, eti kukimbia wajibu wao wa kibunge ndio approach yao ya kuwafikisha ikulu.
Wamekimbia maambukuzi ya corona wewe unaishi sayari gani!!?Upinzani wa hovyo mno, eti kukimbia wajibu wao wa kibunge ndio approach yao ya kuwafikisha ikulu.
Mkuu, hata Kama wanazurura kwenye magest na bar; kauli ya Mhe Makonda sio ya kheri, imekaa kisharishari hivi.Hawapo karantini wanazurura mitaani na kwenye mabar
Mkuu inawezekana wangetumia approach nyingine ila unaunga mkono huu upuuzi na ujinga wa Makonda?Upinzani wa hovyo mno, eti kukimbia wajibu wao wa kibunge ndio approach yao ya kuwafikisha ikulu.
Unawalipia bia?Hawapo karantini wanazurura mitaani na kwenye mabar
Yuko sawa tuMkuu, hata Kama wanazurura kwenye magest na bar; kauli ya Mhe Makonda sio ya kheri, imekaa kisharishari hivi.
maamuzi mengi wanayofanya chadema huwa ni ya mihemko, wanaendesha hiyo taasisi kiharakati mnoMkuu inawezekana wangetumia approach nyingine ila unaunga mkono huu upuuzi na ujinga wa Makonda?