Bia yetu
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 6,921
- 8,321
Haha lazima tuwafute Dar nyie wahuni
Kuna jambo nilitaka kusema kuhusu hizi tabia za Makonda kuropoka ropoka na kuzifananisha na kijana mmoja akiyeathirika baada ya kufanyiwa unyanyasaji na mabasha huko Mombasa lakini nimeahirisha kwani itakuwa personal assassination
Sent using Jamii Forums mobile app