RC Makonda atoa saa 24 kuwakamata Wabunge kama wazururaji endapo hawatarudi Bungeni. Wabunge wamjibu

Huyu mkongwe sana sio mwanafunzi mkuu.
Ila sikubaliani na logic yake,Mkuu wa mkoa hawezi kuropoka statements kama zile kimasihara kama anavyotuaminisha mtoa mada.Anataka kumsafisha Makonda mana anajua amekwisha feli kwenye kusudio lake.CHEZEA BITI LA ZITTO KABWE wewe!!!
Hivi nyie wanafunzi mnafungua lini shule?kwanini msisome hata online atleast muwe bze?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nipo zangu dar napata mchuzi wa pweza,
Bashite is just a CLOW -Sugu Moto chini a.k.a Deiwaka.

Ila huyu jamaa si mzima kichwani ienda ikawa dish limecheza,Yaani CCM kulikuwa na watu wa kupiga propaganda bwana lakini si huyu ch..ko, ccm imejifia kwa sasa hawana weledi wa kufanya Siasa na sasa kimekuwa kikundi cha kigaidi tu.hawana tofauti na Janjaweed.






Sent using Jamii Forums mobile app
 
Work From Home (WFH) kwa sasa ni kitu cha kawaida..... Sasa kama Mkuu kaamua kuWFM why not others.....!?
 
Umama ni kumsifia mwanaume mwenzako kwa ujinga
 
Na tusipotafuta Katiba mpya haraka, tutaangamia na watoto wetu, ndio maana hata Jiwe ana kiburi cha Herode tena hataki kuckia swala la katiba mpya.
 
Angalia maudhui. Makonda hata akisema kama ni kweli hawana cha kumfanya. Na Makonda hajawahi kutafuta kusafishwa.

Labda we mgeni nchini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitu cha kwanza kabisa unachotakiwa kujua ni kwamba, kwa wakati huu, wabunge walitakiwa kukutana kimtandao kutoka popote nchini.

Kujazana bungeni wakati Covid-19 ishaingia bungeni ni ujuha mkubwa sana.
 
Kima ktk ubora wake. Ukiona paya anacheza cheza sebuleni jua kuna shimo karibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…